Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mi sidhani kama uyu punda uko jela hii habari itamstua ebu msikie kauli yake aliyowahi kuitoa mwenyewe
Nilikosea, nikakurupuka kuolewa mapema bila kumchunguza tabia mpenzi wangu, uhusiano wetu ulidumu miezi mitano tu kisha tukafunga ndoa, lakini matokeo yake tabia hazikuendana na ndoa ikakosa uhai ndani ya muda mfupi, alisema Jack.
Punda afe mzigo wa bwana ufike.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums