Nakumbuka wakati Jenerali akiwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Wilaya hii iliongoza kwa uchafu Tanzania nzima, malundo ya taka, madampo, barabara chafu, zenye mashimo, usimamizi wa hovyo kabisa wa shughuli za umma na ufisadi ulitamalaki.
Katika utawala wake, hakuna mradi wowote wa maendeleo ulizinduliwa wilaya ya Ilala. Wilaya ilikothiri kwa umangimeza.
Uamuzi wa Mzee Mwinyi ulikuwa ni kumfurusha na kwenda kumtupa singida. Malalamiko yalikithiri kutokana na uongozi usioridhisha.
#Historia
Chuki binafsi.kwa hiyo unatakaje?Nakumbuka wakati Jenerali akiwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Wilaya hii iliongoza kwa uchafu Tanzania nzima, malundo ya taka, madampo, barabara chafu, zenye mashimo, usimamizi wa hovyo kabisa wa shughuli za umma na ufisadi ulitamalaki.
Katika utawala wake, hakuna mradi wowote wa maendeleo ulizinduliwa wilaya ya Ilala. Wilaya ilikothiri kwa umangimeza.
Uamuzi wa Mzee Mwinyi ulikuwa ni kumfurusha na kwenda kumtupa singida. Malalamiko yalikithiri kutokana na uongozi usioridhisha.
#Historia
Huyo jamaa alikua anajiona kapewa cheo kidogo sana wakati ambition yake ilikua kubwa sana kwenye nchi wala sio yake maana alikuja gunduliwa wala sio raia wa nchi hii. Alikua mkimbizi tu.Nakumbuka wakati Jenerali akiwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Wilaya hii iliongoza kwa uchafu Tanzania nzima, malundo ya taka, madampo, barabara chafu, zenye mashimo, usimamizi wa hovyo kabisa wa shughuli za umma na ufisadi ulitamalaki.
Katika utawala wake, hakuna mradi wowote wa maendeleo ulizinduliwa wilaya ya Ilala. Wilaya ilikothiri kwa umangimeza.
Uamuzi wa Mzee Mwinyi ulikuwa ni kumfurusha na kwenda kumtupa singida. Malalamiko yalikithiri kutokana na uongozi usioridhisha.
#Historia
Mkuu wa wilaya ndiye anaye-allocate hela za miradi eeh?Nakumbuka wakati Jenerali akiwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Wilaya hii iliongoza kwa uchafu Tanzania nzima, malundo ya taka, madampo, barabara chafu, zenye mashimo, usimamizi wa hovyo kabisa wa shughuli za umma na ufisadi ulitamalaki.
Katika utawala wake, hakuna mradi wowote wa maendeleo ulizinduliwa wilaya ya Ilala. Wilaya ilikothiri kwa umangimeza.
Uamuzi wa Mzee Mwinyi ulikuwa ni kumfurusha na kwenda kumtupa singida. Malalamiko yalikithiri kutokana na uongozi usioridhisha.
#Historia
Ni raia,huo ugunduzi wa mkapa(mmakua wa msumbiji) kwamba ulimwengu siyo raia ni baada ya ulimwengu kuandika ufisadi wa mkapa kwenye gazeti lake la Rai,maana mkapa aliruhusu uwekezaji uwanja wa ndegge DIA wenye Thamani ya beberu 11 ukiacha uwekezaji mwingine wa kipopoma alifanya kiasi Cha kumliza baba wa taifaHuyo jamaa alikua anajiona kapewa cheo kidogo sana wakati ambition yake ilikua kubwa sana kwenye nchi wala sio yake maana alikuja gunduliwa wala sio raia wa nchi hii. Alikua mkimbizi tu.
Askofu wa Kanisa Katoliki Severin Niwemugizi baada ya kuikosoa serikali naye pia walimtuhumu si raia. It's a known trend.Ni raia,huo ugunduzi wa mkapa(mmakua wa msumbiji) kwamba ulimwengu siyo raia ni baada ya ulimwengu kuandika ufisadi wa mkapa kwenye gazeti lake la Rai,maana mkapa aliruhusu uwekezaji uwanja wa ndegge DIA wenye Thamani ya beberu 11 ukiacha uwekezaji mwingine wa kipopoma alifanya kiasi Cha kumliza baba wa taifa
Hii maana yake nn?umangimeza
Je wakati huo alikuwa ameshapata uraia wa Tanzania au alikuwa bado. Kama alikuwa bado yawezekana hakuwa na uchungu wa nchiNakumbuka wakati Jenerali akiwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Wilaya hii iliongoza kwa uchafu Tanzania nzima, malundo ya taka, madampo, barabara chafu, zenye mashimo, usimamizi wa hovyo kabisa wa shughuli za umma na ufisadi ulitamalaki.
Katika utawala wake, hakuna mradi wowote wa maendeleo ulizinduliwa wilaya ya Ilala. Wilaya ilikothiri kwa umangimeza.
Uamuzi wa Mzee Mwinyi ulikuwa ni kumfurusha na kwenda kumtupa singida. Malalamiko yalikithiri kutokana na uongozi usioridhisha.
#Historia
Thibitisha au futa kauli hii.Nakumbuka wakati Jenerali akiwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Wilaya hii iliongoza kwa uchafu Tanzania nzima, malundo ya taka, madampo, barabara chafu, zenye mashimo, usimamizi wa hovyo kabisa wa shughuli za umma na ufisadi ulitamalaki.
Katika utawala wake, hakuna mradi wowote wa maendeleo ulizinduliwa wilaya ya Ilala. Wilaya ilikothiri kwa umangimeza.
Uamuzi wa Mzee Mwinyi ulikuwa ni kumfurusha na kwenda kumtupa singida. Malalamiko yalikithiri kutokana na uongozi usioridhisha.
#Historia