Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama ya Kadhi ipo BAKWATA,aina ya Muungano lazima itambue haki za waTanganyika ikiwemo kumiliki ardhi na haki ya kuchagua na kuchaguliwa huko Kibandamaiti.Bila makubaliano na haya. Tutegemee kukwama tena
Haya ni maoni yako au ndio makubaliano?Mahakama ya Kadhi ipo BAKWATA,aina ya Muungano lazima itambue haki za waTanganyika ikiwemo kumiliki ardhi na haki ya kuchagua na kuchaguliwa huko Kibandamaiti.
WaZanzibar kurejeshwa kwao iwapo watakaidi haki za waTanganyika.
Majaji kuomba ajira,kufuta cheo cha ukuu wa Mkoa na Wilaya.
Kuondoa kinga ya kutoshitakuwa viongozi wote.
Ukomo wa uongozi ubunge,uwaziri na Rais.
Maoni ya waTanganyika wengi.Haya ni maoni yako au ndio makubaliano?
Naunga mkono ,iwepo serikali moja yenye majimbo na kama wazanzibar hawataki basi twende na tatu,Tanzania iwe moja haiwezekani US ijiunge na Hawaii ukasema ni muungano hapana