Wakati Kenya ikifanya uchaguzi kila baada ya miezi mitatu Tanzania inateka soko EAC Burundi na Congo

Wakati Kenya ikifanya uchaguzi kila baada ya miezi mitatu Tanzania inateka soko EAC Burundi na Congo

Kama kawaida yako huwa hutulii kuona kipi kinajadiliwa, hapa kinachojadiliwa sio utumiaji wa bandari ya Dar, kama ulisoma mleta huu uzi amesema Tanzania inaliteka soko la Burundi na DRC, hayo maonyesho yaliyofanyika Burundi ni kwa ajili ya kuzitambulisha bidhaa zinqzotengenezwa Tanzania, kama ambavyo Kenya inaenda kushiriki maonyesho ya biashara nchi mbalimbali, Kenya mnauza bidhaa zenu Rwanda, Burundi, Zambia, Sudan, na sasa hivi mnunuzi mkubwa wa bidhaa za Kenya ni Pakistan kuliko hata Uganda ambaye wlikua mnunuzi mkubwa wa bidhaa za Kenya, kwani biashara ni lazima muwe na ujirani, kwa utumiaji wa bandari hilo linaweza kuwa na maana, lakini sio katika kufanya biashara, leo china anauza bidhaa zake dunia nzima, kwani china imepakana na dunia nzima.

Ukweli ni kwamba, Kenya manufacturing sector imeathiriwa sana na vitu vifuatavyo
1)Bidhaa za china... ni cheap zaidi kuliko za Kenya hivyo kufanya wafanya biashara wengi kwenda kununua bidhaa china badala ya zile za Kenya
2)Viwanda vingi vya Kenya kufungwa kutokana na kushindwa kupambana na soko, vingi vinatumia tecknolojia ya kizamani sana
3)Gharama za uzalishaji Kenya kuwa juu ukilinganisha na Uganda na Tanzania
4)Uchumi wa Kenya kutetereka kutokana na sababu mbalimbali hivyo kufanya biashara nyingi kuhamia nchi zingine, hasa Tanzania
5)Manufacturing sector ya Tanzania na Uganda kukua kwa kasi, na kwasababu technologia inayotumika katika nchi hizi na kutoka china, bidhaa zinazozalishwa zinakua za bei nafuu sana

Tumia akili na kupanua uwezo wako wa kuelewa wacha kuwaza kama beberu anayefugwa kwenye zizi moja siku zote.
Nimetolea bandari kama mfano wa kuonyesha mlivyo mizembe maana majirani zenu wa hapo wanahangaika kukatiza nchi kadhaa hadi wafikie bandari ya Mombasa kisa nyie mumejaa uvivu na ukajanja mwingi.

Mrundi inabidi avuke mpaka aingie Rwanda na kukatiza nchi yote, avuke tena mpaka aingie Uganda na kukatza nchi yote, avuke tena Mpaka aingie Kenya na kukatiza nchi yote hadi afikie bandari ya Mombasa, ilhali hapo kwenu angevuka mpaka mmoja tu. Sasa hadi mwanabiashara afikie maamuzi mazito na ya gharama kiasi hicho, lazima utakua umemtamausha hadi hana lingine la kufanya.

Suala la uwekezaji, kwa nyie hapo kuingia DRC is a walking distance, lakini kwamba Mkenya anakuja kuwapa ushindani hadi huko inaonyesha mlivyo ovyo. Siku mkija kutupa ushindani Sudan Kusini nitaishia kuichukia nchi yangu.
 
Usilinganishe Uturuki, Japani ambao wamejitosheleza kiviwanda na nyie ambao hata sindano na pipi mnaagiza kutoka nje. Wale hata sarafu zao zisipokua imara hawana cha kupoteza maana hawategemei sana kununua bidhaa nje, viwanda vyao vimejitosheleza.
Nyie hapo sarafu yenu kajamba ipo useless balaa, halafu bado inabidi kuagiza karibu kila kitu na ambacho mnanunua kwa dola ya Kimarekani.

Kuna jamaa yangu hapo Tanzania amepoteza sana kwa ajili ya hilo. Alifanya quotation kwa kutumia shilingi ya Tanzania kama ilivyokua imeagizwa kwenye RFP, kwa ajili ya mradi ambao ulitegemea kununua vitu nje kwa dollar. Sasa mkamchelewesha kumpa mkataba kwa ajili Uswahili wenu mwingi, maana mara tender board wakae vikao, mara hiki mara kile, huku muda unasonga na shilingi yenu inazidi kupoteza thamani, wakati mnakuja kumpa mkataba tayari shilingi kwa dola ilikua imepokea mapigo ya kufa mtu, jamaa kuagiza vifaa aliingia hasara ya mamilioni ya Kitanzania.

Mumekaa hapa kizembe kutetea hizo pesa madafu zenu hamjui watu wanavyoingia hasara wakati wanafanya biashara zinazohusu miamala ya nje ya nchi. Serikali yenu inalazimisha financial proposals zifanywe kwa shilingi yenu ilhali mkandarasi ananunua vitu kwa dollar, halafu mnakawia kumpa kandarasi....anaishia majanga.
Tatizo ninaloliona kwako ni moja, wakati mwingine unaweza kuwa na hoja nzuri tu, ila unashindwa kuweka vizuri kwa sababu ya ushabiki na chuki uliyonayo hasa hasa juu ya Tanzania, pili hutulii kujenga hoja ili watu wwkuelewe, wewe lengo lako ni kushinda mjadala, na la mwisho unapaswa ujifunze mambo kwa undani zaidi, bado uelewa wako wa mambo haujakomaa.

Ninakukubalia ukisema kwamba sio sawa kulinganisha kushuka kwa thamani kwa pesa ya Japan, China na Turkey na hizi nchi zetu, kushuka thamani ya pesa kunasaidia sana kuongeza exports ya nchi na kupungunza imports, kwa hiyo ina maana sana kama nchi ina export zaidi kuliko inavyo imports, na kinyume chake, kama nchi ina imports zaidi kuliko exports, thamani ya pesa ikiwa ndogo inaleta madhara.

Tukija hapa EAC, Kenya itashindwa kuuza bidhaa zake nje kwa sababu zitakuwa ghali ukilinganisha na zile za nchi zengine za EAC, kwa sababu tu pesa ya Kenya inanguvu, ni kama USA inavyolalamikia Japan na China na kuwaomba wasishushe tena thamani ya pesa zao, vinginevyo Marekani atakuwa mnunuzi tu wa bidhaa za Japan na China.
 
Tumia akili na kupanua uwezo wako wa kuelewa wacha kuwaza kama beberu anayefugwa kwenye zizi moja siku zote.
Nimetolea bandari kama mfano wa kuonyesha mlivyo mizembe maana majirani zenu wa hapo wanahangaika kukatiza nchi kadhaa hadi wafikie bandari ya Mombasa kisa nyie mumejaa uvivu na ukajanja mwingi.

Mrundi inabidi avuke mpaka aingie Rwanda na kukatiza nchi yote, avuke tena mpaka aingie Uganda na kukatza nchi yote, avuke tena Mpaka aingie Kenya na kukatiza nchi yote hadi afikie bandari ya Mombasa, ilhali hapo kwenu angevuka mpaka mmoja tu. Sasa hadi mwanabiashara afikie maamuzi mazito na ya gharama kiasi hicho, lazima utakua umemtamausha hadi hana lingine la kufanya.

Suala la uwekezaji, kwa nyie hapo kuingia DRC is a walking distance, lakini kwamba Mkenya anakuja kuwapa ushindani hadi huko inaonyesha mlivyo ovyo. Siku mkija kutupa ushindani Sudan Kusini nitaishia kuichukia nchi yangu.
Bado hujibu hoja, unataka kuniambia hadi nchi mpakane nayo ndiyo mnafanya nao biashara zaidi, mbona mnafanya biashara zaidi na Pakistani kuliko Tanzania, au Kenya imepakana na Pakistan?, Kenya economy is the last kick of dying horse, soma gazeti la leo la Standard la Kenya uone KEPSA wanavyolalamika, mimi ninazungumzia kuuza bidhaa Burundi na DRC wewe unazungumzia matumizi wa Bandari, mbona Ethiopia wameiruka Kenya wameomba kuja kutumia bandari ya Dar, hiyo ina maana gani?.

Tell me the truth MK254, are you mentally retarded, sorry but I feel very sorry the way how you discuss and reply to my question, you seem to be very much occupied with jealous mentality and anger against Tanzania, let me tell you my brother, my intention is not to compare between Tanzania and Kenya, but if you force me to do that, you are very much welcome, lets choose very basic, important and measurable indicators and lets bring evidence from credible sources and see which country is doing better.
 
Bado hujibu hoja, unataka kuniambia hadi nchi mpakane nayo ndiyo mnafanya nao biashara zaidi, mbona mnafanya biashara zaidi na Pakistani kuliko Tanzania, au Kenya imepakana na Pakistan?, Kenya economy is the last kick of dying horse, soma gazeti la leo la Standard la Kenya uone KEPSA wanavyolalamika, mimi ninazungumzia kuuza bidhaa Burundi na DRC wewe unazungumzia matumizi wa Bandari, mbona Ethiopia wameiruka Kenya wameomba kuja kutumia bandari ya Dar, hiyo ina maana gani?.

Tell me the truth MK254, are you mentally retarded, sorry but I feel very sorry the way how you discuss and reply to my question, you seem to be very much occupied with jealous mentality and anger against Tanzania, let me tell you my brother, my intention is not to compare between Tanzania and Kenya, but if you force me to do that, you are very much welcome, lets choose very basic, important and measurable indicators and lets bring evidence from credible sources and see which country is doing better.

Wewe ndiye upo retarded maana unang'ang'ana kutujadili sisi wachangiaji zaidi ya kujadili hoja husika, nakuona unavyotumia nguvu nyingi kuwajibu kila mmoja huku kama mtu uliyeingiwa na ukichaa fulani.
Halafu ndio ujue wewe una matatizo ya kiakili, eti uchumi wa Kenya upo kwenye 'last kick of a dying horse', hivi unatumia maneno mazito kisa umeyaona yakitumiwa kwenye mitandao, au unaelewa maana yake.

Halafu nilishakuambia uwache kuweweseka kila ukisikia Tanzania inatajwa na kulinganishwa humu maana wewe hapo ni Mtanzania na unapojikita kujadili mada za kimataifa nje ya nchi yako, lazima unaowahoji waitazame na kujilinganisha na hiyo Tanzania unayokuja kututambia humu. Sasa sio kosa letu tunapolinganish na kukuta nyie hamnazo, ni maskini wa kutupwa na bado mnatajwa kwenye LDC, hivyo hamna ubavu wa kutuhoji sisi tunaocheza kwenye ligi ya wakubwa.

Kwa Kenya kufanya biashara zaidi na Pakistan kuliko Tanzania inategemea na balance of trade, nani anaagiza nini na parameters nyingi tu. Nimekuambia uwache kujilinganisha na nchi zilizotulia kiviwanda, tujadili haya ya hapa kwetu, mataifa yaliyopakana. Hiyo Pakistani balanca of trade baina yao na mataifa yaliyoizunguka sio kitu hata cha kulinganisha na biashara kati yao na sisi.

Hivyo tulia ndani ya EAC na SADC, tunawapa ushindani hata kwa nchi za hapo SADC ambapo nyie ni mwanachama na mumepakana nao, subiri nikipata nafasi nikuletee data za uwekezaji wa makampuni ya Kenya hapo DRC, nchi ambayo ipo mbali sana nasi, wakati nyie is a walking distance na mpo nao kwenye muungano.
 
Wewe ndiye upo retarded maana unang'ang'ana kutujadili sisi wachangiaji zaidi ya kujadili hoja husika, nakuona unavyotumia nguvu nyingi kuwajibu kila mmoja huku kama mtu uliyeingiwa na ukichaa fulani.
Halafu ndio ujue wewe una matatizo ya kiakili, eti uchumi wa Kenya upo kwenye 'last kick of a dying horse', hivi unatumia maneno mazito kisa umeyaona yakitumiwa kwenye mitandao, au unaelewa maana yake.

Halafu nilishakuambia uwache kuweweseka kila ukisikia Tanzania inatajwa na kulinganishwa humu maana wewe hapo ni Mtanzania na unapojikita kujadili mada za kimataifa nje ya nchi yako, lazima unaowahoji waitazame na kujilinganisha na hiyo Tanzania unayokuja kututambia humu. Sasa sio kosa letu tunapolinganish na kukuta nyie hamnazo, ni maskini wa kutupwa na bado mnatajwa kwenye LDC, hivyo hamna ubavu wa kutuhoji sisi tunaocheza kwenye ligi ya wakubwa.

Kwa Kenya kufanya biashara zaidi na Pakistan kuliko Tanzania inategemea na balance of trade, nani anaagiza nini na parameters nyingi tu. Nimekuambia uwache kujilinganisha na nchi zilizotulia kiviwanda, tujadili haya ya hapa kwetu, mataifa yaliyopakana. Hiyo Pakistani balanca of trade baina yao na mataifa yaliyoizunguka sio kitu hata cha kulinganisha na biashara kati yao na sisi.

Hivyo tulia ndani ya EAC na SADC, tunawapa ushindani hata kwa nchi za hapo SADC ambapo nyie ni mwanachama na mumepakana nao, subiri nikipata nafasi nikuletee data za uwekezaji wa makampuni ya Kenya hapo DRC, nchi ambayo ipo mbali sana nasi, wakati nyie is a walking distance na mpo nao kwenye muungano.
Pole sana kwa kukuumiza niliposema Kenya economy is last kicks of dying horse, ila nilikuambia usome gazeti la leo la The Standard la huko Kenya, ukisoma wanavyozungumzia KEPSA, hutonihukumu tena mimi, japo utaumia lakini utakubaliana na mimi kwamba uchumi wa Kenya upo ICU, wanasema hakuna tena investors wanaokuja kuwekeza Kenya, badala yake wanafunga biashara wanakwenda kuwekeza nchi zingine, hizo za SADC unavyojipiga kifua kuwashinda watanzania kwa kutojua uchumi kwako, unaona ni jambo la maana sana kwa wakenya kuwekeza zaidi nchi zingine kuliko (Mungu akusaidie), conference and tourism indusries ambazo Kenya ilikua inajitutumua ndiyo zinakaribia kufa kabisa, kulikua na mkutano mkubwa wa Ukimwi ufanyike hivi karibuni, umefutiliwa mbali, hayo yamesemwa na KEPSA sio mimi.

Kila nchi duniani inajitahidi kuvutia uwekezaji na mitaji, sio kujisifia kwenda kuwekeza kwa mwenzako, ni mara ya kwanza kumsikia mtu kujisifia kwenda kujenga uchumi wa jirani yake, kwa taarifa yako, Kenya ni nchi ya pili kuwekeza Tanzania(Piga makofi), na Tanzania ni nchi ya pili kati ya nchi zinazo ziuzia bidhaa Kenya(Kenya's source of its imports), sasa ni nchi gani hapo inayofaidika, ukiondoa faida ya kupata sifa za kijinga, Tanzania inafaidika mara mbili dhidi ya Kenya, kwanza inapata FDI toka Kenya, pili inapata soko la bidhaa zinazotengenezwa Tanzania, sasa wewe endelea kufurahia kuizidi Tanzania kwa kuwekeza nchi za SADC wakati balance of trade kati ya Kenya na Tanzania inaipendelea Tanzania
 
Kulikuwa na kasoro ktk uhesabuji wa kura kwa njia ya kielectronics thus why matokeo yalifutwa sasa hapo Uhuru anahusikaje yeye ni mwenyekiti wa tume[emoji15]
Uhuru alikuwa bado madarakani, na aliganya kila liwezekanalo ili aendelee na muhula wa pili
 
Pole sana kwa kukuumiza niliposema Kenya economy is last kicks of dying horse, ila nilikuambia usome gazeti la leo la The Standard la huko Kenya, ukisoma wanavyozungumzia KEPSA, hutonihukumu tena mimi, japo utaumia lakini utakubaliana na mimi kwamba uchumi wa Kenya upo ICU, wanasema hakuna tena investors wanaokuja kuwekeza Kenya, badala yake wanafunga biashara wanakwenda kuwekeza nchi zingine, hizo za SADC unavyojipiga kifua kuwashinda watanzania kwa kutojua uchumi kwako, unaona ni jambo la maana sana kwa wakenya kuwekeza zaidi nchi zingine kuliko (Mungu akusaidie), conference and tourism indusries ambazo Kenya ilikua inajitutumua ndiyo zinakaribia kufa kabisa, kulikua na mkutano mkubwa wa Ukimwi ufanyike hivi karibuni, umefutiliwa mbali, hayo yamesemwa na KEPSA sio mimi.

Kila nchi duniani inajitahidi kuvutia uwekezaji na mitaji, sio kujisifia kwenda kuwekeza kwa mwenzako, ni mara ya kwanza kumsikia mtu kujisifia kwenda kujenga uchumi wa jirani yake, kwa taarifa yako, Kenya ni nchi ya pili kuwekeza Tanzania(Piga makofi), na Tanzania ni nchi ya pili kati ya nchi zinazo ziuzia bidhaa Kenya(Kenya's source of its imports), sasa ni nchi gani hapo inayofaidika, ukiondoa faida ya kupata sifa za kijinga, Tanzania inafaidika mara mbili dhidi ya Kenya, kwanza inapata FDI toka Kenya, pili inapata soko la bidhaa zinazotengenezwa Tanzania, sasa wewe endelea kufurahia kuizidi Tanzania kwa kuwekeza nchi za SADC wakati balance of trade kati ya Kenya na Tanzania inaipendelea Tanzania

Makampuni yanayokuja kuwekeza huko yanakua tayari yamewekeza Kenya vya kutosha sasa yatanua tu, ambalo ni jambo nzuri. Nchi kama yenu ambayo haina viwanda, labda hivi vya juzi vya cherehani ndio imejawa na makampuni ya kutoka nje, nchi kama Uingereza uchumi wake unaendeshwa pakubwa na uwekezaji wa makampuni ya kwao kule nje.

Mwisho wa siku makampuni yetu yakiteka soko la hapo kwenu, kwa njia moja au nyingine tunanufaika pia.

Halafu nimekuambia ujifunze maana ya maneno unayoyatumia, sio kuropokwa kama chizi, uchumi upi huo ambao upo kwenye 'last kick', ama ndio darasa mumepewa leo hapo kwenu. Ni vigumu kujadili nawe maana unaonekana una utahira wa kiaina.
Na ndio upo sahihi kusema imeniuma, inaniuma maana mimi ni mzalendo naipenda nchi yangu na uchumi wake ukitetereka lazima iniume, lakini pale kila.za asiyekua na habari anaibuka kutapika vijimaneno bila kujua maana yake inaninafanya nikuonee huruma.

Eti makampuni yote yanahama Kenya, kwa taarifa yako, nataka nikusaidie na hii ndio ya mwisho kukujibu maana naona una matatizo ya kiakili. Kuna makampuni makubwa yamezinduliwa Kenya mwaka huu tu, juzi hapa tumeleta taarifa za Peugeot kuzindua kiwanda chao Kenya mkaingiwa na wazimu na kujibu kwa matusi.
 
Makampuni yanayokuja kuwekeza huko yanakua tayari yamewekeza Kenya vya kutosha sasa yatanua tu, ambalo ni jambo nzuri. Nchi kama yenu ambayo haina viwanda, labda hivi vya juzi vya cherehani ndio imejawa na makampuni ya kutoka nje, nchi kama Uingereza uchumi wake unaendeshwa pakubwa na uwekezaji wa makampuni ya kwao kule nje.

Mwisho wa siku makampuni yetu yakiteka soko la hapo kwenu, kwa njia moja au nyingine tunanufaika pia.

Halafu nimekuambia ujifunze maana ya maneno unayoyatumia, sio kuropokwa kama chizi, uchumi upi huo ambao upo kwenye 'last kick', ama ndio darasa mumepewa leo hapo kwenu. Ni vigumu kujadili nawe maana unaonekana una utahira wa kiaina.
Na ndio upo sahihi kusema imeniuma, inaniuma maana mimi ni mzalendo naipenda nchi yangu na uchumi wake ukitetereka lazima iniume, lakini pale kila.za asiyekua na habari anaibuka kutapika vijimaneno bila kujua maana yake inaninafanya nikuonee huruma.

Eti makampuni yote yanahama Kenya, kwa taarifa yako, nataka nikusaidie na hii ndio ya mwisho kukujibu maana naona una matatizo ya kiakili. Kuna makampuni makubwa yamezinduliwa Kenya mwaka huu tu, juzi hapa tumeleta taarifa za Peugeot kuzindua kiwanda chao Kenya mkaingiwa na wazimu na kujibu kwa matusi.
Pole kwa kuumia, na kawaida ukweli unauma, japo hutaki kukubaliana na ukweli huo ambao wala sijausema mimi, kila nikikuambia usome gazeti lenu ili ujue ukweli unaogopa na kuendelea kutoamini, ila hata binadamu akipata habari kwamba yupo karibu kufa, anaanza kukubaliana na hiyo hali, ila ipo siku tena sio nyingi utakubaliana na ukweli. Kiwanda kimoja kufunguliwa wakati viwanda hamsini vinafungwa huo ndiyo uchumi kukua?, fuatilia statistics za biashara na uwekezaji za Kenya zinavyoenda, sasa kama hata chama cha hao wawekezaji wa Kenya kinakiri kwamba viwanda na biashara nyingi zinafungwa kuliko zinazofunguliwa, wewe unaebisha unapata wapi taarifa zinazokufanya uendelee na kubisha?, kumbe nilipohisi una mtindio wa ubongo sijakosea, au ulizaliwa na very low APGAR score, who knows.
 
Nilikuuliza kama mtego ili tujue uwezo wako/wenu wa kujibu maswali.
Majibu mazuri mnayo lakini mna kigugumizi gani kuwasweka lupango watoa rushwa kina Mnyeti na Gambo? Ushahidi dhahiri.
Nyie mna utindio wa Ubongo nje ya pumba za siasa hakuna mnalolijua tulia ufundishwe uchumi.
 
Usilinganishe Uturuki, Japani ambao wamejitosheleza kiviwanda na nyie ambao hata sindano na pipi mnaagiza kutoka nje. Wale hata sarafu zao zisipokua imara hawana cha kupoteza maana hawategemei sana kununua bidhaa nje, viwanda vyao vimejitosheleza.
Nyie hapo sarafu yenu kajamba ipo useless balaa, halafu bado inabidi kuagiza karibu kila kitu na ambacho mnanunua kwa dola ya Kimarekani.

Kuna jamaa yangu hapo Tanzania amepoteza sana kwa ajili ya hilo. Alifanya quotation kwa kutumia shilingi ya Tanzania kama ilivyokua imeagizwa kwenye RFP, kwa ajili ya mradi ambao ulitegemea kununua vitu nje kwa dollar. Sasa mkamchelewesha kumpa mkataba kwa ajili Uswahili wenu mwingi, maana mara tender board wakae vikao, mara hiki mara kile, huku muda unasonga na shilingi yenu inazidi kupoteza thamani, wakati mnakuja kumpa mkataba tayari shilingi kwa dola ilikua imepokea mapigo ya kufa mtu, jamaa kuagiza vifaa aliingia hasara ya mamilioni ya Kitanzania.

Mumekaa hapa kizembe kutetea hizo pesa madafu zenu hamjui watu wanavyoingia hasara wakati wanafanya biashara zinazohusu miamala ya nje ya nchi. Serikali yenu inalazimisha financial proposals zifanywe kwa shilingi yenu ilhali mkandarasi ananunua vitu kwa dollar, halafu mnakawia kumpa kandarasi....anaishia majanga.
Hahaha makubwa Kwahiyo nyie mnaenda kununua vitu ulaya kwa shilingi zenu?

Report inasema Tanzania imeshuka kwa 50% kununua bidhaa nje tena zenu za Kenya ndio tumesusha chini kabisa 20% na tupo kwenye mpango wa kusitisha kabisa.
 
Pole sana kwa kukuumiza niliposema Kenya economy is last kicks of dying horse, ila nilikuambia usome gazeti la leo la The Standard la huko Kenya, ukisoma wanavyozungumzia KEPSA, hutonihukumu tena mimi, japo utaumia lakini utakubaliana na mimi kwamba uchumi wa Kenya upo ICU, wanasema hakuna tena investors wanaokuja kuwekeza Kenya, badala yake wanafunga biashara wanakwenda kuwekeza nchi zingine, hizo za SADC unavyojipiga kifua kuwashinda watanzania kwa kutojua uchumi kwako, unaona ni jambo la maana sana kwa wakenya kuwekeza zaidi nchi zingine kuliko (Mungu akusaidie), conference and tourism indusries ambazo Kenya ilikua inajitutumua ndiyo zinakaribia kufa kabisa, kulikua na mkutano mkubwa wa Ukimwi ufanyike hivi karibuni, umefutiliwa mbali, hayo yamesemwa na KEPSA sio mimi.

Kila nchi duniani inajitahidi kuvutia uwekezaji na mitaji, sio kujisifia kwenda kuwekeza kwa mwenzako, ni mara ya kwanza kumsikia mtu kujisifia kwenda kujenga uchumi wa jirani yake, kwa taarifa yako, Kenya ni nchi ya pili kuwekeza Tanzania(Piga makofi), na Tanzania ni nchi ya pili kati ya nchi zinazo ziuzia bidhaa Kenya(Kenya's source of its imports), sasa ni nchi gani hapo inayofaidika, ukiondoa faida ya kupata sifa za kijinga, Tanzania inafaidika mara mbili dhidi ya Kenya, kwanza inapata FDI toka Kenya, pili inapata soko la bidhaa zinazotengenezwa Tanzania, sasa wewe endelea kufurahia kuizidi Tanzania kwa kuwekeza nchi za SADC wakati balance of trade kati ya Kenya na Tanzania inaipendelea Tanzania
Dah kwa kweli kiongozi kula likes bukj

Umeninyooshea mtu mpaka nimekupenda tena umelenga mulemule hili swala la Kenya kujjtamba wamewekeza Tanzania huwa siwaelewi ndio makampuni yenyewe ni ya wazungu wala hata sio yao Nafikiri yao ni 20%

Sasa hapa nashangaa kitu wanachojisifia nacho ni kitu gani wakati wameondoa ajira Kenya wamezileta Tanzania

Wameondoa mapato ya serikali Kenya wamezileta Tanzania

Wameisaidia Tanzania kutokununua Huduma na bidhaa nje sababu zinazalishwa ndani

Wameisaidia Tanzania kwenye kuuza bidhaa nje ya nchi

Sasa hapa ndio nashangaa badala ya kusikitika wanashangilia wakati kuna millions of jobless Kenyans wanahitaji investment za aina hii kwao sio kama wamewekeza Kenya nzima mpaka hakuna tena hitaji la wawekezaji hivyo nashangaa ni kipi wanashangilia?

Bank zao zinamwaga mikopo kwa watanzania na inachochea uchumi wa Tanzania vizuri sana sasa nashangaa yupi anaenufaika.

Naona fahari yao ni title kwamba hii company ni ya Kenya hahaha well we have multiple of companies from all over the world so Kenyan company is not an issue for us as long as they pay all that needed.
 
Nyie mna utindio wa Ubongo nje ya pumba za siasa hakuna mnalolijua tulia ufundishwe uchumi.
Mtu ana trade na anapata profit, inakuaje tena anaahidiwa kubebwa?
 
Kwanza Nafikiri mpaka bank ipatiwe leseni lazima wa deposits kiasi kikubwa cha pesa central bank millions of dollars sasa hizi pesa sio zinakaa tu central bank lazima zizunguke na nadhani faida au interest ni mali ya central bank.

Sasa banks mbili za Kenya zimetuletea Tanzania millions of dollars kwenye Central Bank of Tanzania ni nani anayenufaika MK254?

Hahaha you see, so we encourage you to come in dozens and pour out your money in the circulation of the economy, that who will stop you from doing so must be illiterate.
 
Kosa ulilolifanya....ni mada ya uchumi kuipa kichwa cha habari cha kisiasa.

All in all sijui ulitaka kulenga nini!
 
Dah kwa kweli kiongozi kula likes bukj

Umeninyooshea mtu mpaka nimekupenda tena umelenga mulemule hili swala la Kenya kujjtamba wamewekeza Tanzania huwa siwaelewi ndio makampuni yenyewe ni ya wazungu wala hata sio yao Nafikiri yao ni 20%

Sasa hapa nashangaa kitu wanachojisifia nacho ni kitu gani wakati wameondoa ajira Kenya wamezileta Tanzania

Wameondoa mapato ya serikali Kenya wamezileta Tanzania

Wameisaidia Tanzania kutokununua Huduma na bidhaa nje sababu zinazalishwa ndani

Wameisaidia Tanzania kwenye kuuza bidhaa nje ya nchi

Sasa hapa ndio nashangaa badala ya kusikitika wanashangilia wakati kuna millions of jobless Kenyans wanahitaji investment za aina hii kwao sio kama wamewekeza Kenya nzima mpaka hakuna tena hitaji la wawekezaji hivyo nashangaa ni kipi wanashangilia?

Bank zao zinamwaga mikopo kwa watanzania na inachochea uchumi wa Tanzania vizuri sana sasa nashangaa yupi anaenufaika.

Naona fahari yao ni title kwamba hii company ni ya Kenya hahaha well we have multiple of companies from all over the world so Kenyan company is not an issue for us as long as they pay all that needed.
Kitu kimoja kinachojitokeza ni kwamba, waliowengi hawana ufahamu wa ndani wa mambo mengi, wao kinachowasukuma katika mazungumzo ni kutaka kutoshindwa na uzalendo uliopitiliza, ni wachache wenye kukubali kwamba kunasehemu Kenya haifanyi vizuri, pili ni kutoamini kwamba Kenya inapoteza nafasi yake hapa Afrika mashariki, bora ipoteze kwa Ethiopia lakini isiwe Tanzania, hili linaeleweka kwa sababu ya vijembe kati ya Kenya na Tanzania, japo taratibu wanaanza kuelewa na kukubaliana na hiyo hali.
 
Natafuta soko la asali nje ya Tanzania naombeni msaada tafathali hasa Kenya,
 
Back
Top Bottom