Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Wanazi wa EPL mpo?
Isingekuwa mbeleko safari hii spain kusingekuwa na timu hata 1 nusu fainali. Na hapo man city na liver zimetoana zenyewe. Uwezekano ungeongezeka wa kubakisha timu 2 kama wasingekutana.