Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Upopoyo unao wewe ambaye nimekupa hoja kwa data za BOT, umeshindwa kujadili hoja umeleta upopoyo.
Tena kwa kuandika "Nonesense".
Yani hata neno moja tu limekushinda kuandika.
Ndiyo maana umeshindwa kujadili hoja.
Kwa sababu wewe ni mtupu.
Jadili hoja, acha viroja.
Sent from my typewriter using Tapatalk