joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #41
Kuamini au kutoamini ni imani ya Mtu mwenyewe, kila mtu abaki na Imani yake.JE UMEMWAMINI HATAGEUKA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuamini au kutoamini ni imani ya Mtu mwenyewe, kila mtu abaki na Imani yake.JE UMEMWAMINI HATAGEUKA?
Kw akili yako uhuru awe mbunge tena[emoji23][emoji23]
Jana Magufuli amerudia tena kwamba kamwe hataki kuongeza hata siku moja, mara muda wake utakapo kamilika. Katika kuthibitisha hilo, amesema atahakikisha uchaguzi wa October mwaka huu utafanyika kama ulivyopangwa pamoja na kuwepo kwa Corona.
Hii ni kinyume kabisa na marais wa Rwanda na Uganda ambao tayari wameonyesha nia za kuendelea kubaki madarakani, wakati Uhuru Kenyatta akijijengea mazingira ya kuwa waziri mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeberu[emoji23][emoji23]Forbes na The times zimemtaja kuwa ndiye rais bora barani Africa mara mbili mfululizo, na mwaka huu pia huenda akawa mshindi, inaonekana wote hawa hawana akili kukuzidi wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi waliosema Kenya imefikia uchumi wa kati ni wakamba na mijikenda?, Nilidhani ni hao hao mabeberu, basi tusawaamini kumbe walitudanganya. Vipi nchi yenye uchumi wakati lakini watu wanakufa njaaMabeberu[emoji23][emoji23]
Na kila siku anawaaminishia km ndio wanawatumia wapinzani kuleta taharuki
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wenye akili zao makalio** katika ubora wenuMagufuli angeweza kuacha urais bila aibu angejiuzulu hata kesho.
Ni mtu ambaye urais umemshinda na yeye kashajua hilo.
Kilichobaki ni maigizo tu.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Hahahaha, hahahaha. Inabidi atokee hadharani akanushe, kwasababu wapambe wake ndio wanaosema na kutaka awe waziri mkuuUhuru amechoka, unamuona tu body language yake, huyo jamaa kamwe hataki tena madaraka ya uongozi anangoja 2022 ndo aruhusiwe kunywa kuanzia asubuhi hadi jioni bila kusummbuliwa na mtu.
Alafu unajua ofisi ya Prime Minister hua ina kazi nyingi kuliko hata ofisi ya Rais, kwahivyo ku suggest ati Uhuru anataku kurudi 2022 kama prime minister ni mawazo ya ndotoni
Hahahaaaa!!naona umekasirika kwel, ugua pole pole jombaHivi waliosema Kenya imefikia uchumi wa kati ni wakamba na mijikenda?, Nilidhani ni hao hao mabeberu, basi tusawaamini kumbe walitudanganya. Vipi nchi yenye uchumi wakati lakini watu wanakufa njaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhyo uhuru awe mbunge tena[emoji3][emoji3][emoji3] manake waziri mkuu lazima awe mbunge then hatolipwa mara mbili..atabaki na ule ule mshahara wake wa ubunge tuHahahaha, hahahaha. Inabidi atokee hadharani akanushe, kwasababu wapambe wake ndio wanaosema na kutaka awe waziri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba tumejiwekea wenyewe, hakuna sehemu inayoruhusu rais anayofanya vizuri kuongezewa muda, ni hatari Sana kubadilibadili katika ili kukidhi maslahi ya watu fulani kama wafanyavyo Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana Magufuli amerudia tena kwamba kamwe hataki kuongeza hata siku moja, mara muda wake utakapo kamilika. Katika kuthibitisha hilo, amesema atahakikisha uchaguzi wa October mwaka huu utafanyika kama ulivyopangwa pamoja na kuwepo kwa Corona.
Hii ni kinyume kabisa na marais wa Rwanda na Uganda ambao tayari wameonyesha nia za kuendelea kubaki madarakani, wakati Uhuru Kenyatta akijijengea mazingira ya kuwa waziri mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna sheria ya kuwa ruhusu viongozi kuwa wezi ,mafisadi ,walarushwa,kama hakuna mbona viongozi wanafanya hayo na hakuna kitu wanafanya kipindi cha maraisi walio pita,sisi tunataka UTAWALA WA HAKI SIYO SHERIA kwasababu siyo haki kwa ajili ya sheria Bali ni sheria kwa ajili ya hakiNimesema nchi lazima iongezwe na sheria, sio kila mtu anakurupuka toka usingizini na kuja na wazo lake. Katiba ndiyo inayoelekeza kupiga kura, kwanini tusiseme aendelee bila hata kuwepo kwa uchaguzi?
Kama tunaheshimu katiba kwa kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano, kwanini hatutaki kuifuata katiba hiyoyhiyo inayosema rais atakuwa madarakani sio zaidi ya vipindi viwili vya miaka mitano mitano?
Sent using Jamii Forums mobile app
Prove God exists.Watu wenye akili zao makalio** katika ubora wenu
God save us
Tafuta speeches za Uhuru za hivi karibuni alafu ulinganishe na zile za hapo awali,(siongelei zile hotuba za kuandikwa, speeches zile anaongea tu yalio akilini) Huyo jamaa anakaa amechoka kusumbuliwa na watu...Hahahaha, hahahaha. Inabidi atokee hadharani akanushe, kwasababu wapambe wake ndio wanaosema na kutaka awe waziri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna video ambayo tayari nimeipost kwenye uzi huu. Ila wanajifanya kwamba hawaioni. Rais U.K. amesema live zaidi ya mara moja kwamba ataenda nyumbani na ata'retire' kabisa kutoka kwa siasa.Tafuta speeches za Uhuru za hivi karibuni alafu ulinganishe na zile za hapo awali,(siongelei zile hotuba za kuandikwa, speeches zile anaongea tu yalio akilini) Huyo jamaa anakaa amechoka kusumbuliwa na watu...