Upopoyo unao wewe ambaye nimekupa hoja kwa data za BOT, umeshindwa kujadili hoja umeleta upopoyo.
Kama atafanya kazi vizuri na maendeleo ya kweli kupatikana itakuwa ni ujinga kundoka madarakani Tanzania hatuitaji shooo za kubadili maraisi bali raisi mchapa kazi na mwenye kujali nchihttps://www.facebook.com/Jana Magufuli amerudia tena kwamba kamwe hataki kuongeza hata siku moja, mara muda wake utakapo kamilika. Katika kuthibitisha hilo, amesema atahakikisha uchaguzi wa October mwaka huu utafanyika kama ulivyopangwa pamoja na kuwepo kwa Corona.
Hii ni kinyume kabisa na marais wa Rwanda na Uganda ambao tayari wameonyesha nia za kuendelea kubaki madarakani, wakati Uhuru Kenyatta akijijengea mazingira ya kuwa waziri mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba tumejiwekea wenyewe, hakuna sehemu inayoruhusu rais anayofanya vizuri kuongezewa muda, ni hatari Sana kubadilibadili katika ili kukidhi maslahi ya watu fulani kama wafanyavyo Kenya.Kama atafanya kazi vizuri na maendeleo ya kweli kupatikana itakuwa ni ujinga kundoka madarakani Tanzania hatuitaji shooo za kubadili maraisi bali raisi mchapa kazi na mwenye kujali nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Tabaka baya la watu lazima magufuli abaki kwa miaka 15 hivi ili ilo tabaka lipite vinginevyo tutakuja kulia na kusaga menoKatiba tumejiwekea wenyewe, hakuna sehemu inayoruhusu rais anayofanya vizuri kuongezewa muda, ni hatari Sana kubadilibadili katika ili kukidhi maslahi ya watu fulani kama wafanyavyo Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upumbavu tu, huna hoja yeyote ya maana.Hahahaha, I can feel the bitterness in you over him, Pole Sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli anaheshimu sana katibahttps://www.facebook.com/Jana Magufuli amerudia tena kwamba kamwe hataki kuongeza hata siku moja, mara muda wake utakapo kamilika. Katika kuthibitisha hilo, amesema atahakikisha uchaguzi wa October mwaka huu utafanyika kama ulivyopangwa pamoja na kuwepo kwa Corona.
Hii ni kinyume kabisa na marais wa Rwanda na Uganda ambao tayari wameonyesha nia za kuendelea kubaki madarakani, wakati Uhuru Kenyatta akijijengea mazingira ya kuwa waziri mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ana miaka 5 zaidi, relax please [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upumbavu tu, huna hoja yeyote ya maana.
Ni kweli, lakini ni hatari zaidi kuchezea katika, tukianza kuchezea katika, tunaendelea kufanya hivyo hata atakapopatikana kiongozi wa hovyo, mchezo wa kuchezea katiba ni mtamu sana kwa viongozi waliopo madarakani, tunaendelea kubadilisha na Kuomintang'a katiba kila mwaka, lazima tujifunze kutoka Kenya, tangu wanebadilisha katiba 2010, kila siku wanakuja na mapendekezo ya kuibadilisha tenaKuna Tabaka baya la watu lazima magufuli abaki kwa miaka 15 hivi ili ilo tabaka lipite vinginevyo tutakuja kulia na kusaga meno
Sent using Jamii Forums mobile app
M-mbabe hivi ukiwa na role model unafuata kila kitu chake hata kujamba? Nimesema kujamba kwakuwa sio jambo jema waweza tenda mbele za watu. Sisi tuna role model kwenye hili la miaka 10, Nyerere JK, Mwinyi AH, Mkapa BW, Kikwete JM, Salmin A, Karume AA,Soma maelezo yangu vizuri Sana, utagundua kwamba Kagame ni miongoni mwa marais niliowataja kubakia madarakani. Hilo la role model wake unalijua wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia akili kunatofauti kati ya kugombea uraisi na kushinda uraisi kama atumtaki kwanini tusimwondoe kwa kura siyo hoja ya miaka 10 maana hata sasa tunayo haki ya kutomchagua baada ya hii miaka 5 ya kwanza hivyo hivyo tusizuie haki zetu za kumchagua raisi tumtakaye kisa kamaliza miaka 10Ni kweli, lakini ni hatari zaidi kuchezea katika, tukianza kuchezea katika, tunaendelea kufanya hivyo hata atakapopatikana kiongozi wa hovyo, mchezo wa kuchezea katiba ni mtamu sana kwa viongozi waliopo madarakani, tunaendelea kubadilisha na Kuomintang'a katiba kila mwaka, lazima tujifunze kutoka Kenya, tangu wanebadilisha katiba 2010, kila siku wanakuja na mapendekezo ya kuibadilisha tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hopeless kwani huyo ni Magufuli? Nyinyi wanasaccos mnataabu sana rais anasema haongezi awamu ya tatu nyinyi mnakataa kwa hiyo mnataka nini sasa?yeah right....
embu msome huyu "role model" wake alivyotamka 2010 na kilichotokea 2017.
View attachment 1399817
Hopeless comment ever!Aondoke asiondoke hayatuhusu sisi, taarifa za kuondoka kwake umezileta humu wewe mwenyewe. Alipoingia hatukupinga wala kumpigia kampeni, tulikuwa bize na masuala ya nchi yetu. Kuhusu kutuburuza, ametuburuza kweli. Maanake tumefaidi kweli kweli na ubabe wake na sera zake mbovu, kibiashara kati ya Kenya-Tz. Ambapo mmevunja rekodi ya miaka miine, ya kununua bidhaa za Kenya kwa wingi, zaidi ya Kenya inavonunua kutoka kwenu, 'deficit' kwenye biashara kati ya nchi zetu imewalemea nyie kwa kiwango cha $35million.Tanzania trade with Kenya turns into deficit Ukuaji wa uchumi Kenya, 5.6% kwa miaka sita. Viwanda vimeongezeka na wawekezaji tunawapokea kila uchao.
Nimesema nchi lazima iongezwe na sheria, sio kila mtu anakurupuka toka usingizini na kuja na wazo lake. Katiba ndiyo inayoelekeza kupiga kura, kwanini tusiseme aendelee bila hata kuwepo kwa uchaguzi?Tumia akili kunatofauti kati ya kugombea uraisi na kushinda uraisi kama atumtaki kwanini tusimwondoe kwa kura siyo hoja ya miaka 10 maana hata sasa tunayo haki ya kutomchagua baada ya hii miaka 5 ya kwanza hivyo hivyo tusizuie haki zetu za kumchagua raisi tumtakaye kisa kamaliza miaka 10
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa vile huyu tunamjua.... hayuko consistent katika kauli zake kama yule (Kagame).Hopeless kwani huyo ni Magufuli? Nyinyi wanasaccos mnataabu sana rais anasema haongezi awamu ya tatu nyinyi mnakataa kwa hiyo mnataka nini sasa?
Kwanini ajiamini kuwa ni lazima apewe awamu ya pili ?. Unaweza ukawa Rais bora hata kwa kuongoza awamu moja. Mfano ni Jimmy Carter. Si lazima ufikirie kukaa awamu mbili .Hopeless kwani huyo ni Magufuli? Nyinyi wanasaccos mnataabu sana rais anasema haongezi awamu ya tatu nyinyi mnakataa kwa hiyo mnataka nini sasa?
Thank you!Hopeless comment ever!
JE UMEMWAMINI HATAGEUKA?https://www.facebook.com/Jana Magufuli amerudia tena kwamba kamwe hataki kuongeza hata siku moja, mara muda wake utakapo kamilika. Katika kuthibitisha hilo, amesema atahakikisha uchaguzi wa October mwaka huu utafanyika kama ulivyopangwa pamoja na kuwepo kwa Corona.
Hii ni kinyume kabisa na marais wa Rwanda na Uganda ambao tayari wameonyesha nia za kuendelea kubaki madarakani, wakati Uhuru Kenyatta akijijengea mazingira ya kuwa waziri mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app