Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Safi sana mchina!Mmarekani na wachambuzi wake kwenye maonyesho ya SILAHA za Anga huko Uchina, walimnanga Mchina juu ya hiki Chuma, wakasema bado sanaaaa
Sasa Mchina hatimaye kawa Nchi ya kwanza Duniani kufanya majarabio ya Kizazi hiki Cha ndege vita.
View attachment 3185858
Mbona hakuna maneuverability yoyote. Tunaomba sifa za hiyo ndege tafadhaliMmarekani na wachambuzi wake kwenye maonyesho ya SILAHA za Anga huko Uchina, walimnanga Mchina juu ya hiki Chuma, wakasema bado sanaaaa
Sasa Mchina hatimaye kawa Nchi ya kwanza Duniani kufanya majarabio ya Kizazi hiki Cha ndege vita.
View attachment 3185858
Tundelee kulinganisha na Mtanzania😀japo naukubali uthubutu wa china katika kila nyanja, ila bado sana kumlinganisha na marekani/kumuweka uzani sawa na marekani.
Ushapiga ulaka hapa wa mwanzo mwanzo huu mtogwa ukawakia kwenye Gia.Nasikia wachina asili Yao ni Tanganyika huku maeneo ya iringa kwa kina sanga ,ndio maana ni wafupi pia ,hivo hao ni sisi v😆😆😆😆
Mchina kaingia kwenye biashara ya silaha atauza sana. Na ili biashara iwe endelevu lazima watu waendelee kupigana vita.Mbona hatujawahi kuziona kwenye battle field hizo silaha zake?
Vita ipi silaha za mchina zilionesha ufanisi?Mchina kaingia kwenye biashara ya silaha atauza sana. Na ili biashara iwe endelevu lazima watu waendelee kupigana vita.
China wa pili kwa uzaji wa silahaMchina kaingia kwenye biashara ya silaha atauza sana. Na ili biashara iwe endelevu lazima watu waendelee kupigana vita.
japo naukubali uthubutu wa china katika kila nyanja, ila bado sana kumlinganisha na marekani/kumuweka uzani sawa na marekani.
T14 ArmataMmarekani na wachambuzi wake kwenye maonyesho ya SILAHA za Anga huko Uchina, walimnanga Mchina juu ya hiki Chuma, wakasema bado sanaaaa
Sasa Mchina hatimaye kawa Nchi ya kwanza Duniani kufanya majarabio ya Kizazi hiki Cha ndege vita.
View attachment 3185858