Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi wewe unaropoka hivyo ukiwa Temeke USA anaumiza kichwa usiku na mchana namna ya kumdhoofisha China in all trade aspects.Huyo china ni kama masudi kipanya na gari sikerepa na tesla ya musk.mchona bado sana kwa us
https://jamii.app/JFUserGuide u nigger compare gdp us vs china ndo unijibu pombi weweKipindi wewe unaropoka hivyo ukiwa Temeke USA anaumiza kichwa usiku na mchana namna ya kumdhoofisha China in all trade aspects.
Msijiropokee tu ongeeni mkiwa mnajua mnachoongea.
china is a serious competitor.Wengi wana mtazamo kama wako. Lakini wamarekani wenyewe wanakili kwamba China is a serious competitor!
Unahama mada!?JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala u nigger compare gdp us vs china ndo unijibu pombi wewe
Hakuna nchi ya kufananisha na USA kwa nguvu ya kijeshi na kiteknolojiajapo naukubali uthubutu wa china katika kila nyanja, ila bado sana kumlinganisha na marekani/kumuweka uzani sawa na marekani.
USA huyu huyu anaye chapwa na waasi wa houthi kutoka Yemen?Hakuna nchi ya kufananisha na USA kwa nguvu ya kijeshi na kiteknolojia
Yes, Russia na China ni powerful lakini kwa U.S.A bado kabisa
Halafu hapo mpo behind enemy linesShida ya hawa jamaa zetu unaweza kwenda front line kitu kikagoma kutema mzigo.
Marekani ana project ya NGAD. Tatizo Marekani ukimfanya apanick anaongeza bajeti na R&D anatoa kitu utakaa miaka mingi kukifikia.
Ajabu sanaMzaramo wa Maneromango ujue, Marekani asijue!? Kichekesho cha Karne
Yaani anaingia kwenye biashara ya silaha huku akiwa anapenda upatanishi wakati wa vita sasa atawauzia nani hizo silaha? Mfanyabiashara ni Mzungu pekee.....Mchina kaingia kwenye biashara ya silaha atauza sana. Na ili biashara iwe endelevu lazima watu waendelee kupigana vita.
Naona Russia unamchukulia poa ? Tuambie taifa gani wanakitu cha oreshnik?? Usicheze narussia weweHakuna nchi ya kufananisha na USA kwa nguvu ya kijeshi na kiteknolojia
Yes, Russia na China ni powerful lakini kwa U.S.A bado kabisa
Hakuna nchi ya kufananisha na USA kwa nguvu ya kijeshi na kiteknolojia
Yes, Russia na China ni powerful lakini kwa U.S.A bado kabisa
USA zaidi ya B2 na B52 wanakipi cha maana ya kuringiaRussia nimziki mwingine sema tu hata kwa ukrein haijakunjua mbawa tu kuingia mazima ila kwa silaha Russia Iko mbali asikwambie mtu kwamba imeachwa na marekani siyo kweli
Kwahiyo kuwa na Oreshnik ndio kuwa na nguvu zaidi ya kijeshi?Naona Russia unamchukulia poa ? Tuambie taifa gani wanakitu cha oreshnik?? Usicheze narussia wewe