Wakati Marekani akiwa hajui hili wala lile , Mchina kaanza majaribio ya Fighter Jet yake ya Sixth Generation 'The B -Type'

Wakati Marekani akiwa hajui hili wala lile , Mchina kaanza majaribio ya Fighter Jet yake ya Sixth Generation 'The B -Type'

Wanakula vyura hawawezi kuwa sawa na jamii zilizostaaarabika
 
Huyo china ni kama masudi kipanya na gari sikerepa na tesla ya musk.mchona bado sana kwa us
 
Huyo china ni kama masudi kipanya na gari sikerepa na tesla ya musk.mchona bado sana kwa us
Kipindi wewe unaropoka hivyo ukiwa Temeke USA anaumiza kichwa usiku na mchana namna ya kumdhoofisha China in all trade aspects.
Msijiropokee tu ongeeni mkiwa mnajua mnachoongea.
 
Kipindi wewe unaropoka hivyo ukiwa Temeke USA anaumiza kichwa usiku na mchana namna ya kumdhoofisha China in all trade aspects.
Msijiropokee tu ongeeni mkiwa mnajua mnachoongea.
https://jamii.app/JFUserGuide u nigger compare gdp us vs china ndo unijibu pombi wewe
 
Wanaenda vizuri ila nilijaribu kusoma soma program ya Next Generation Air Dominance (NGAD) ya hao wamarekani hao jamaa wakija na kitu kinakuwa kitu hasa ebu fikiria
NGAD haitakuwa ndege moja pekee, bali mfumo unaojumuisha ndege na droni zinazoshirikiana.
Hii inajumuisha ndege zisizo na rubani (UCAVs) zinazoweza kufanya kazi sambamba na ndege za NGAD.

Uwezo wa Mseto wa Silaha:
Inatarajiwa kubeba silaha za hali ya juu, ikiwa ni pamoja na silaha za laser, makombora ya masafa marefu, na teknolojia ya hypersonic.

Uwezo wa Kujifunza na Kujibadilisha:
NGAD inatarajiwa kuwa na mfumo wa AI wa kusaidia maamuzi ya rubani na kuboresha ufanisi wa vita.
 
Unahama mada!?
Unakuja kwenye uchumi!?
Hivi unajua kama China ana dollar reserve kubwa kuliko USA!?
Hivi unajua kama China anamiliki deni la treasury bill kwa USA zaidi ya $ 3 trillions!?
Hivi unajua kama China ana purchasing power parity kubwa kuliko USA!?
Hivi unajua kama China ana contribute more than 45% ya global industrial goods asilimia zilizobaki ndio wanagawana dunia nzima ikiwemo USA!?

Wewe unakaa unashikilia GDP tu.
Una hii kijana ya hovyoo!!
Pia kuropoka sio tusi maana yake ni kuzungumza usichokua na uhakika nacho.
Hakuna lugha mbovu iliyotumika hapo kijana.
 
japo naukubali uthubutu wa china katika kila nyanja, ila bado sana kumlinganisha na marekani/kumuweka uzani sawa na marekani.
Hakuna nchi ya kufananisha na USA kwa nguvu ya kijeshi na kiteknolojia

Yes, Russia na China ni powerful lakini kwa U.S.A bado kabisa
 
Yupo jamaa mmoja ambaye aliwahi kuhudumu kama ofisa wa ngazi za juu kabisa Pentagon, alisema marekani ina silaha ikiwemo hizo ndege ambazo ziko mbele ya muda kama miaka hamsini hivi mbele, yaani Ili wengine wawe nazo itawachukua hiyo miaka siyo chini ya hamsini kuwa nazo, ameliongelea Hilo akiwa na uhakika mkubwa sana, nimeyapima maneno yake Kwa uzani mkubwa nikaona anamaanisha, lakini nadhani inaweza ikawa kweli au si kweli Kwa maana ya kuwa hata nchi nyingine nazo zina secrets projects zao vile vile ambazo zina madude ya kutisha na kuogofya sana kama zile za military contractors wa USA.
 
T14 Armata

Marekani kwenye hilo eneo yupo imara.
Marekani ana project ya NGAD. Tatizo Marekani ukimfanya apanick anaongeza bajeti na R&D anatoa kitu utakaa miaka mingi kukifikia.

Ilipotolewa Mig-25 kwa siri ikapambwa kupitiliza uwezo wake, Marekani akaingia kazini akaja na F-15. Mpaka leo F-15 ni unbeaten katika encounters zote. Hata Mig-31 haiikaribii
 
Mchina kaingia kwenye biashara ya silaha atauza sana. Na ili biashara iwe endelevu lazima watu waendelee kupigana vita.
Yaani anaingia kwenye biashara ya silaha huku akiwa anapenda upatanishi wakati wa vita sasa atawauzia nani hizo silaha? Mfanyabiashara ni Mzungu pekee.....
Biashara bila figisu utoboi
 
Russia nimziki mwingine sema tu hata kwa ukrein haijakunjua mbawa tu kuingia mazima ila kwa silaha Russia Iko mbali asikwambie mtu kwamba imeachwa na marekani siyo kweli
 
Russia nimziki mwingine sema tu hata kwa ukrein haijakunjua mbawa tu kuingia mazima ila kwa silaha Russia Iko mbali asikwambie mtu kwamba imeachwa na marekani siyo kweli
USA zaidi ya B2 na B52 wanakipi cha maana ya kuringia
 
Back
Top Bottom