Wakati matajiri duniani wakitoa misaada kukabiliana na COVID-19, Mo Dewji yeye anauza vitakasa mikono

Wakati matajiri duniani wakitoa misaada kukabiliana na COVID-19, Mo Dewji yeye anauza vitakasa mikono

Sikutegemea katika hali Kama hii ya janga la Corona wale wenye Unafuu kwenye jamii yetu kufanya Biashara katika taharuki Kama hii. Nasikia hiki kitakasa Mikono Cha Mo Dewji anaviuza, sina shada naye kwa kuwa ni mfanyabiashara ameona hii ni Fursa. Matajiri wenzake wanafanyaje duniani?

View attachment 1430272

1. Jack Ma mwanzilishi wa Alibaba yeye kachangia mabilioni ya Shilingi kwa nchi yake ya China kupambana na Corona. Kavuka Mipaka kachangia hadi waafrika kwa mfano katoa ventilator 500, Nguo rasmi za wauguzi (Suits and face shields) 200,000, thermometer 2,000, Gloves 500,000 nk. Hivi katoa bure kabisa....

2.Bill Gates yeye na Mke wake Melinda wametoa offer ya Kujenga kituo Cha kufanya tafiti ya Chanjo ya Corona pale Marekani. Pia katoa mabilioni kadhaa kwa nchi yake kupambana na Corona. Hivi katoa Bure kabisa ....

3.Strive Masiyiwa huyu ni tajiri wa Zimbabwe yeye katoa Offer kwa wafanyakazi wa afya kawaongezea Posho US Dollar 200 Hadi 400 kwenye mihsahara yao kwa Miezi sita. Kawanunulia pia Nguo, amewapa Usafiri nk. Hivi katoa bure kabisa.

4. Mark Zuckerberg huyu ni mmiliki wa Facebook yeye katoa 231,440,000,000 kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Katoa pia mabilioni kibao kwa WHO na US center for Disease.

5.Jim Ratcliffe huyu ni bilionea wa Uingereza anamiliki Kiwanda cha Kemikali, katoa Senitiser kwa hospital zote bure UK.

6. Aliko Dangote ametoa N 200 Milioni kupambana na Usambaaji wa Corona Nigeria sawa na Shilingi Bilioni Moja Plus. Hizi naye katoa bure kabisa ....

7. Jeff Bezos huyu ni mmiliki wa Amazon (E- Commarce) yeye katoa US dollar 100 Milioni kwa ajili ya wanaopoteza Ajira.

List ni kubwa Sana ya waliojitoa Bure.

Hapo Kenya mfuatilieni Governor wa Mombasa Joho anachofanya pitia hii link kuona Instagram yake vitu alivyofanya:-

Hassan Ali Joho (@joho_001) • Instagram photos and videos

Anagawa hadi Chakula bure kabisa kwa wakenya wa Mombasa. Ameshirikiana na private Sector kutengeneza Centre ya Waathirika wa CORONA.

Mfuatilieni Mzee wa Mishe Sonko yeye anagawa Chakula Kenya bure kabisa na ameenda mbali anawagawia watu hadi Pombe.

Hapa Kwetu matajiri wapo wapi? Mo kashaamua kutuuzia vitakasa Mikono, siamini kwa jinsi tulivyomtafuta alivyopotea. Hakupaswa kuona Kama hii Ni fursa.

Wasanii wetu ambao ni Celebrate wapo wapi wanashindwa kujiunga kutoa hata kitu kwa jamii?

Wanasiasa wetu wapo wapi? Hapo Bungeni mnashindwa kujiunga hata mshahara au Posho ya Kikao kimoja mtoe?

Hawa ni watu wenye unafuu kwenye jamii yetu kwa nn msifanye kitu? Wafanyabiashara wadogowadogo wamepoteana, wafanyakazi sector binafsi baadhi wamepoteana, watoto yatima kwenye Kambi zao wamepoteana, watumishi wetu wa Afya tuwanunulie hata Mask za viwango jamani, ni wakati wa kurudisha kidogo kwa jamii.

Tusiiachie Serikali tu.
Acha mawazo ya kimasikini. Kwani hao wanaotoa misaada wao umeambiwa hawafanyi biashara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe umetoa msaada
Sikutegemea katika hali Kama hii ya janga la Corona wale wenye Unafuu kwenye jamii yetu kufanya Biashara katika taharuki Kama hii. Nasikia hiki kitakasa Mikono Cha Mo Dewji anaviuza, sina shada naye kwa kuwa ni mfanyabiashara ameona hii ni Fursa. Matajiri wenzake wanafanyaje duniani?

View attachment 1430272

1. Jack Ma mwanzilishi wa Alibaba yeye kachangia mabilioni ya Shilingi kwa nchi yake ya China kupambana na Corona. Kavuka Mipaka kachangia hadi waafrika kwa mfano katoa ventilator 500, Nguo rasmi za wauguzi (Suits and face shields) 200,000, thermometer 2,000, Gloves 500,000 nk. Hivi katoa bure kabisa....

2.Bill Gates yeye na Mke wake Melinda wametoa offer ya Kujenga kituo Cha kufanya tafiti ya Chanjo ya Corona pale Marekani. Pia katoa mabilioni kadhaa kwa nchi yake kupambana na Corona. Hivi katoa Bure kabisa ....

3.Strive Masiyiwa huyu ni tajiri wa Zimbabwe yeye katoa Offer kwa wafanyakazi wa afya kawaongezea Posho US Dollar 200 Hadi 400 kwenye mihsahara yao kwa Miezi sita. Kawanunulia pia Nguo, amewapa Usafiri nk. Hivi katoa bure kabisa.

4. Mark Zuckerberg huyu ni mmiliki wa Facebook yeye katoa 231,440,000,000 kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Katoa pia mabilioni kibao kwa WHO na US center for Disease.

5.Jim Ratcliffe huyu ni bilionea wa Uingereza anamiliki Kiwanda cha Kemikali, katoa Senitiser kwa hospital zote bure UK.

6. Aliko Dangote ametoa N 200 Milioni kupambana na Usambaaji wa Corona Nigeria sawa na Shilingi Bilioni Moja Plus. Hizi naye katoa bure kabisa ....

7. Jeff Bezos huyu ni mmiliki wa Amazon (E- Commarce) yeye katoa US dollar 100 Milioni kwa ajili ya wanaopoteza Ajira.

List ni kubwa Sana ya waliojitoa Bure.

Hapo Kenya mfuatilieni Governor wa Mombasa Joho anachofanya pitia hii link kuona Instagram yake vitu alivyofanya:-

Hassan Ali Joho (@joho_001) • Instagram photos and videos

Anagawa hadi Chakula bure kabisa kwa wakenya wa Mombasa. Ameshirikiana na private Sector kutengeneza Centre ya Waathirika wa CORONA.

Mfuatilieni Mzee wa Mishe Sonko yeye anagawa Chakula Kenya bure kabisa na ameenda mbali anawagawia watu hadi Pombe.

Hapa Kwetu matajiri wapo wapi? Mo kashaamua kutuuzia vitakasa Mikono, siamini kwa jinsi tulivyomtafuta alivyopotea. Hakupaswa kuona Kama hii Ni fursa.

Wasanii wetu ambao ni Celebrate wapo wapi wanashindwa kujiunga kutoa hata kitu kwa jamii?

Wanasiasa wetu wapo wapi? Hapo Bungeni mnashindwa kujiunga hata mshahara au Posho ya Kikao kimoja mtoe?

Hawa ni watu wenye unafuu kwenye jamii yetu kwa nn msifanye kitu? Wafanyabiashara wadogowadogo wamepoteana, wafanyakazi sector binafsi baadhi wamepoteana, watoto yatima kwenye Kambi zao wamepoteana, watumishi wetu wa Afya tuwanunulie hata Mask za viwango jamani, ni wakati wa kurudisha kidogo kwa jamii.

Tusiiachie Serikali tu.
 
Ni tanzania au africa tuu ndio watu hupenda kumpangia mtu namna ya kutumia pesa zake. Mleta mada hafahamu na huwa haji kupongeza mo na foundation yake wanaposaidia watoto kupata matibabu muhimbili.

Mkuu hii ya mo ichukue kama changamoto kwako siku nyingine tafuta pesa nyingi uje kugawa kwenye kipindi kama iki.


IMG_8029.JPG



It is never to late to begin. Start now
 
Sikutegemea katika hali Kama hii ya janga la Corona wale wenye Unafuu kwenye jamii yetu kufanya Biashara katika taharuki Kama hii. Nasikia hiki kitakasa Mikono Cha Mo Dewji anaviuza, sina shada naye kwa kuwa ni mfanyabiashara ameona hii ni Fursa. Matajiri wenzake wanafanyaje duniani?

View attachment 1430272

1. Jack Ma mwanzilishi wa Alibaba yeye kachangia mabilioni ya Shilingi kwa nchi yake ya China kupambana na Corona. Kavuka Mipaka kachangia hadi waafrika kwa mfano katoa ventilator 500, Nguo rasmi za wauguzi (Suits and face shields) 200,000, thermometer 2,000, Gloves 500,000 nk. Hivi katoa bure kabisa....

2.Bill Gates yeye na Mke wake Melinda wametoa offer ya Kujenga kituo Cha kufanya tafiti ya Chanjo ya Corona pale Marekani. Pia katoa mabilioni kadhaa kwa nchi yake kupambana na Corona. Hivi katoa Bure kabisa ....

3.Strive Masiyiwa huyu ni tajiri wa Zimbabwe yeye katoa Offer kwa wafanyakazi wa afya kawaongezea Posho US Dollar 200 Hadi 400 kwenye mihsahara yao kwa Miezi sita. Kawanunulia pia Nguo, amewapa Usafiri nk. Hivi katoa bure kabisa.

4. Mark Zuckerberg huyu ni mmiliki wa Facebook yeye katoa 231,440,000,000 kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Katoa pia mabilioni kibao kwa WHO na US center for Disease.

5.Jim Ratcliffe huyu ni bilionea wa Uingereza anamiliki Kiwanda cha Kemikali, katoa Senitiser kwa hospital zote bure UK.

6. Aliko Dangote ametoa N 200 Milioni kupambana na Usambaaji wa Corona Nigeria sawa na Shilingi Bilioni Moja Plus. Hizi naye katoa bure kabisa ....

7. Jeff Bezos huyu ni mmiliki wa Amazon (E- Commarce) yeye katoa US dollar 100 Milioni kwa ajili ya wanaopoteza Ajira.

List ni kubwa Sana ya waliojitoa Bure.

Hapo Kenya mfuatilieni Governor wa Mombasa Joho anachofanya pitia hii link kuona Instagram yake vitu alivyofanya:-

Hassan Ali Joho (@joho_001) • Instagram photos and videos

Anagawa hadi Chakula bure kabisa kwa wakenya wa Mombasa. Ameshirikiana na private Sector kutengeneza Centre ya Waathirika wa CORONA.

Mfuatilieni Mzee wa Mishe Sonko yeye anagawa Chakula Kenya bure kabisa na ameenda mbali anawagawia watu hadi Pombe.

Hapa Kwetu matajiri wapo wapi? Mo kashaamua kutuuzia vitakasa Mikono, siamini kwa jinsi tulivyomtafuta alivyopotea. Hakupaswa kuona Kama hii Ni fursa.

Wasanii wetu ambao ni Celebrate wapo wapi wanashindwa kujiunga kutoa hata kitu kwa jamii?

Wanasiasa wetu wapo wapi? Hapo Bungeni mnashindwa kujiunga hata mshahara au Posho ya Kikao kimoja mtoe?

Hawa ni watu wenye unafuu kwenye jamii yetu kwa nn msifanye kitu? Wafanyabiashara wadogowadogo wamepoteana, wafanyakazi sector binafsi baadhi wamepoteana, watoto yatima kwenye Kambi zao wamepoteana, watumishi wetu wa Afya tuwanunulie hata Mask za viwango jamani, ni wakati wa kurudisha kidogo kwa jamii.

Tusiiachie Serikali tu.

Hongera kwa Uzi wako. Nilijiuliza siku nyingi sana.

Binafsi sijawahi kumu Appreciat Mo for anything he does. He is always after something. He is good for nothing.

Ni watu maarufu wengi sana wameonesha upendo kwa raia. Serikali pekee yake haiwezi, lazima kuwe na misaada ya watu kama hao.

Hawa wasanii kama kina Daimond, these people are worthless creatures and selfish.

1. Nilitegemea kuona wasanii wote including bongo Movie wamejikusanya na kutoa hata laki 5 kila mmoja kisha kununua vifaa vya kujikinga na Corona kwa kuikabidhi serikali.

2. Nilitegemea kuona wachezaji mpira ambao ni wazawa kujikusanya na kuchanga hata laki 2 kwa timu zote zinazoshiriki VPL, Na kuikabidhi serikali kwa ajili ya vita ya Corona.

Tumeona Samuel Eto, Didier Drogba alichofanya kwenye. nchi zao.

Where is Samata?

3. Nilitegemea kuona wabunge na mawaziri wakiiomba serikali wakatwe angalau 10% ya mshahara wao kwa ajili ya mapambano ya Corona kwa kipindi chote cha Corona.

4. Nilitegemea kuona UKAWA wakijiunga na kuchangia pesa kwa ajili ya mapambano ya Corona. Where are they? Au kazi yao ni domo domo tu!

5. Nilitegemea kuona chama tawala CCM kutoa fungu lake kwa kuisaidia Serikali, where are they?

6. Nilitegemea kuona Rais akitangaza kukatwa 20% ya salary yake iende kwenye mapambano ya Corona. Where is he? Let’s be honest bhana haya mambo sio ya mchezo. Kama unadhani upo safe, subiri mtu wako wa karibu apate huenda tutakuwa na heshima.

7. Nilitegemea kuona waziri Mkuu na Makamu wa Rais wakifanya the same. Where are they?

8. Nilitegemea kuona wakurugenzi wa taasisi binafsi na za umma wakiomba kukatwa sehemu ya mshahara wao kwa kipindi chote cha Corona ili kusaidia maskini juu ya Corona.
9. Nilitegemea kuona Makanisa na Misikiti ikitoa sehemu ya zile sadaka ambazo hazina kodi kwenda Serikali na kuisaidia Serikali kupambana na Corona. Serikali pekee haiwezi hata ikitaka kuweza na ndio maana Mh Rais anaona wazi kuna hatari ya sisi kufa njaa kama tukifanya lockdown. Big Up John katika hili.

Leo hii manesi wamekosa motisha na kukimbia wagonjwa, sad but true.

Leo hii mawaziri tena madokta wapo busy ku twiti ujinga wao. No one give a damn about anyone else.

May they rotten in hell all of them. And May they die the ugliest death like you have never seen before for as long as they remain selfish.

F****K OFF!
 
Hongera kwa Uzi wako. Nilijiuliza siku nyingi sana.

Binafsi sijawahi kumu Appreciat Mo for anything he does. He is always after something. He is good for nothing.

Ni watu maarufu wengi sana wameonesha upendo kwa raia. Serikali pekee yake haiwezi, lazima kuwe na misaada ya watu kama hao.

Hawa wasanii kama kina Daimond, these people are worthless creatures and selfish.

1. Nilitegemea kuona wasanii wote including bongo Movie wamejikusanya na kutoa hata laki 5 kila mmoja kisha kununua vifaa vya kujikinga na Corona kwa kuikabidhi serikali.

2. Nilitegemea kuona wachezaji mpira ambao ni wazawa kujikusanya na kuchanga hata laki 2 kwa timu zote zinazoshiriki VPL, Na kuikabidhi serikali kwa ajili ya vita ya Corona.

Tumeona Samuel Eto, Didier Drogba alichofanya kwenye. nchi zao.

Where is Samata?

3. Nilitegemea kuona wabunge na mawaziri wakiiomba serikali wakatwe angalau 10% ya mshahara wao kwa ajili ya mapambano ya Corona kwa kipindi chote cha Corona.

4. Nilitegemea kuona UKAWA wakijiunga na kuchangia pesa kwa ajili ya mapambano ya Corona. Where are they? Au kazi yao ni domo domo tu!

5. Nilitegemea kuona chama tawala CCM kutoa fungu lake kwa kuisaidia Serikali, where are they?

6. Nilitegemea kuona Rais akitangaza kukatwa 20% ya salary yake iende kwenye mapambano ya Corona. Where is he? Let’s be honest bhana haya mambo sio ya mchezo. Kama unadhani upo safe, subiri mtu wako wa karibu apate huenda tutakuwa na heshima.

7. Nilitegemea kuona waziri Mkuu na Makamu wa Rais wakifanya the same. Where are they?

8. Nilitegemea kuona wakurugenzi wa taasisi binafsi na za umma wakiomba kukatwa sehemu ya mshahara wao kwa kipindi chote cha Corona ili kusaidia maskini juu ya Corona.
9. Nilitegemea kuona Makanisa na Misikiti ikitoa sehemu ya zile sadaka ambazo hazina kodi kwenda Serikali na kuisaidia Serikali kupambana na Corona. Serikali pekee haiwezi hata ikitaka kuweza na ndio maana Mh Rais anaona wazi kuna hatari ya sisi kufa njaa kama tukifanya lockdown. Big Up John katika hili.

Leo hii manesi wamekosa motisha na kukimbia wagonjwa, sad but true.

Leo hii mawaziri tena madokta wapo busy ku twiti ujinga wao. No one give a damn about anyone else.

May they rotten in hell all of them. And May they die the ugliest death like you have never seen before for as long as they remain selfish.

F****K OFF!
hahaha hapo kwenye namba 5 hapo ndo balaa linapoanzia
 
Sikutegemea katika hali Kama hii ya janga la Corona wale wenye Unafuu kwenye jamii yetu kufanya Biashara katika taharuki Kama hii. Nasikia hiki kitakasa Mikono Cha Mo Dewji anaviuza, sina shada naye kwa kuwa ni mfanyabiashara ameona hii ni Fursa. Matajiri wenzake wanafanyaje duniani?

View attachment 1430272

1. Jack Ma mwanzilishi wa Alibaba yeye kachangia mabilioni ya Shilingi kwa nchi yake ya China kupambana na Corona. Kavuka Mipaka kachangia hadi waafrika kwa mfano katoa ventilator 500, Nguo rasmi za wauguzi (Suits and face shields) 200,000, thermometer 2,000, Gloves 500,000 nk. Hivi katoa bure kabisa....

2.Bill Gates yeye na Mke wake Melinda wametoa offer ya Kujenga kituo Cha kufanya tafiti ya Chanjo ya Corona pale Marekani. Pia katoa mabilioni kadhaa kwa nchi yake kupambana na Corona. Hivi katoa Bure kabisa ....

3.Strive Masiyiwa huyu ni tajiri wa Zimbabwe yeye katoa Offer kwa wafanyakazi wa afya kawaongezea Posho US Dollar 200 Hadi 400 kwenye mihsahara yao kwa Miezi sita. Kawanunulia pia Nguo, amewapa Usafiri nk. Hivi katoa bure kabisa.

4. Mark Zuckerberg huyu ni mmiliki wa Facebook yeye katoa 231,440,000,000 kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Katoa pia mabilioni kibao kwa WHO na US center for Disease.

5.Jim Ratcliffe huyu ni bilionea wa Uingereza anamiliki Kiwanda cha Kemikali, katoa Senitiser kwa hospital zote bure UK.

6. Aliko Dangote ametoa N 200 Milioni kupambana na Usambaaji wa Corona Nigeria sawa na Shilingi Bilioni Moja Plus. Hizi naye katoa bure kabisa ....

7. Jeff Bezos huyu ni mmiliki wa Amazon (E- Commarce) yeye katoa US dollar 100 Milioni kwa ajili ya wanaopoteza Ajira.

List ni kubwa Sana ya waliojitoa Bure.

Hapo Kenya mfuatilieni Governor wa Mombasa Joho anachofanya pitia hii link kuona Instagram yake vitu alivyofanya:-

Hassan Ali Joho (@joho_001) • Instagram photos and videos

Anagawa hadi Chakula bure kabisa kwa wakenya wa Mombasa. Ameshirikiana na private Sector kutengeneza Centre ya Waathirika wa CORONA.

Mfuatilieni Mzee wa Mishe Sonko yeye anagawa Chakula Kenya bure kabisa na ameenda mbali anawagawia watu hadi Pombe.

Hapa Kwetu matajiri wapo wapi? Mo kashaamua kutuuzia vitakasa Mikono, siamini kwa jinsi tulivyomtafuta alivyopotea. Hakupaswa kuona Kama hii Ni fursa.

Wasanii wetu ambao ni Celebrate wapo wapi wanashindwa kujiunga kutoa hata kitu kwa jamii?

Wanasiasa wetu wapo wapi? Hapo Bungeni mnashindwa kujiunga hata mshahara au Posho ya Kikao kimoja mtoe?

Hawa ni watu wenye unafuu kwenye jamii yetu kwa nn msifanye kitu? Wafanyabiashara wadogowadogo wamepoteana, wafanyakazi sector binafsi baadhi wamepoteana, watoto yatima kwenye Kambi zao wamepoteana, watumishi wetu wa Afya tuwanunulie hata Mask za viwango jamani, ni wakati wa kurudisha kidogo kwa jamii.

Tusiiachie Serikali tu.
Na serikali imetoa kiasi gani? Tunaona nchi nyingine zimetenga bajeti mahsusi nankutoa financial incentives. Serikali kimya!
 
Sekta binafsi ni sehemu muhimu katika ujenzi wa nchi. Hapa kwetu, wameonekana ni maadui wa Serikali. Na wengine wamepitia magumu mengi awamu hii, baadhi hadi kufikia kiwango cha kufilisiwa. Matajiri waliofanyiwa hayo yote, usitegemee kushirikiana vizuri na Serikali. Hata wakitoa, ni kwa kujiosha tu lakini mioyoni mwao wamejaa simanzi. Tusiwalaumu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na huu ndo ukweli 100% tusimlaumu kabisa MO hatujui nyuma ya pazia kakumbana na vitu gani kutoka kwa serikali.
 
Sikutegemea katika hali Kama hii ya janga la Corona wale wenye Unafuu kwenye jamii yetu kufanya Biashara katika taharuki Kama hii. Nasikia hiki kitakasa Mikono Cha Mo Dewji anaviuza, sina shada naye kwa kuwa ni mfanyabiashara ameona hii ni Fursa. Matajiri wenzake wanafanyaje duniani?

View attachment 1430272

1. Jack Ma mwanzilishi wa Alibaba yeye kachangia mabilioni ya Shilingi kwa nchi yake ya China kupambana na Corona. Kavuka Mipaka kachangia hadi waafrika kwa mfano katoa ventilator 500, Nguo rasmi za wauguzi (Suits and face shields) 200,000, thermometer 2,000, Gloves 500,000 nk. Hivi katoa bure kabisa....

2.Bill Gates yeye na Mke wake Melinda wametoa offer ya Kujenga kituo Cha kufanya tafiti ya Chanjo ya Corona pale Marekani. Pia katoa mabilioni kadhaa kwa nchi yake kupambana na Corona. Hivi katoa Bure kabisa ....

3.Strive Masiyiwa huyu ni tajiri wa Zimbabwe yeye katoa Offer kwa wafanyakazi wa afya kawaongezea Posho US Dollar 200 Hadi 400 kwenye mihsahara yao kwa Miezi sita. Kawanunulia pia Nguo, amewapa Usafiri nk. Hivi katoa bure kabisa.

4. Mark Zuckerberg huyu ni mmiliki wa Facebook yeye katoa 231,440,000,000 kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Katoa pia mabilioni kibao kwa WHO na US center for Disease.

5.Jim Ratcliffe huyu ni bilionea wa Uingereza anamiliki Kiwanda cha Kemikali, katoa Senitiser kwa hospital zote bure UK.

6. Aliko Dangote ametoa N 200 Milioni kupambana na Usambaaji wa Corona Nigeria sawa na Shilingi Bilioni Moja Plus. Hizi naye katoa bure kabisa ....

7. Jeff Bezos huyu ni mmiliki wa Amazon (E- Commarce) yeye katoa US dollar 100 Milioni kwa ajili ya wanaopoteza Ajira.

List ni kubwa Sana ya waliojitoa Bure.

Hapo Kenya mfuatilieni Governor wa Mombasa Joho anachofanya pitia hii link kuona Instagram yake vitu alivyofanya:-

Hassan Ali Joho (@joho_001) • Instagram photos and videos

Anagawa hadi Chakula bure kabisa kwa wakenya wa Mombasa. Ameshirikiana na private Sector kutengeneza Centre ya Waathirika wa CORONA.

Mfuatilieni Mzee wa Mishe Sonko yeye anagawa Chakula Kenya bure kabisa na ameenda mbali anawagawia watu hadi Pombe.

Hapa Kwetu matajiri wapo wapi? Mo kashaamua kutuuzia vitakasa Mikono, siamini kwa jinsi tulivyomtafuta alivyopotea. Hakupaswa kuona Kama hii Ni fursa.

Wasanii wetu ambao ni Celebrate wapo wapi wanashindwa kujiunga kutoa hata kitu kwa jamii?

Wanasiasa wetu wapo wapi? Hapo Bungeni mnashindwa kujiunga hata mshahara au Posho ya Kikao kimoja mtoe?

Hawa ni watu wenye unafuu kwenye jamii yetu kwa nn msifanye kitu? Wafanyabiashara wadogowadogo wamepoteana, wafanyakazi sector binafsi baadhi wamepoteana, watoto yatima kwenye Kambi zao wamepoteana, watumishi wetu wa Afya tuwanunulie hata Mask za viwango jamani, ni wakati wa kurudisha kidogo kwa jamii.

Tusiiachie Serikali tu.
Mi naona hata bora hajatoa msaada...... AZIZI watuwanamkejeli kwa zile machine zake

Tz hatuna jema
 
Back
Top Bottom