Wakati matajiri duniani wakitoa misaada kukabiliana na COVID-19, Mo Dewji yeye anauza vitakasa mikono

Wakati matajiri duniani wakitoa misaada kukabiliana na COVID-19, Mo Dewji yeye anauza vitakasa mikono

Swali la awali ni kwa nini atoe kwa sasa?Na serikali inasemaje kuhusu corona...inasema ipo under control,na je pesa za majanga zinatumikaje?Za tetemeko na misiba kama ule wa wanafunzi Arusha ilikuwaje?
Kuna kutoa kwa lengo la kujipatia umàarufu...Mo umaarufu anao wa kutosha,kuna kutoa msaada kwa malengo lukuki,mbali na umaarufu kuna kutoa huku ukijua inarudi vipi.
Ulaya(sijafika) naskia wananchi wanazingatia sana reciprocity japo sio lazima,yani baadae huwa wanakupa sapoti katika masuala yako iwe biashara au lolote unalofanya kama vile political will.
Jamii yetu hii kama kinyonga....watu yalishawapata wakaona wawe wagumu tu.Haujui kupatikana kwake labda kuliambatana na "makato ya fweza na maumivu kibao" huenda anawaza zile alizotoa ndio watumie😃😃😃.
Thats why hata wewe unaweza kuwa na "buku la haraka" kijana wa mtaani kwako usimfadhili barakoa akikwama kwa sababu ya mahusiano yenu.
Hali ikiwa tete atatoa sanitizer kwa bei nafuu labda janga bado halijaisha .... Mwanetu Adebayor kasema tu simple and clear hatatoa.Asalaam Aleykum
 
Ndo ujue bongo hamna matajiri.. Unaowaita matajiri nao wanapambana kutoka!!!
tusiishike mioyo ya watu mkononi,tutaishi kwa amani.hata hivyo alivyoamua kuwekeza kwenye sanitizer pia amejitolea pia,kumbuka hii bidhaa watu walivyokuwa wanainunua kwa wingi halafu wanailangua.ilipanda sana bei sababu ilikuwa chache
 
Sekta binafsi ni sehemu muhimu katika ujenzi wa nchi. Hapa kwetu, wameonekana ni maadui wa Serikali. Na wengine wamepitia magumu mengi awamu hii, baadhi hadi kufikia kiwango cha kufilisiwa. Matajiri waliofanyiwa hayo yote, usitegemee kushirikiana vizuri na Serikali. Hata wakitoa, ni kwa kujiosha tu lakini mioyoni mwao wamejaa simanzi. Tusiwalaumu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu! Cha kuongezea tu ni kwamba serikali imewapunguzia kodi!
Maana kwa kufanya hivo na wao wanapata unafuu ambao watauelekeza kwa wahitaji moja kwa moja! Tusiwalaumu sana maana na wao wanapitia ktk kipindi kigumu wakuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4. Mark Zuckerberg huyu ni mmiliki wa Facebook yeye katoa 231,440,000,000 kwa wafanyabiashara wadogowadogo
Nimesoma uzi wote, ila hebu weka sawa hapa kwa mark Zuckerberg, je hizo pesa alizotoa pesa ya wapi..?
TZS
USA
EURO
POUND
 
Sekta binafsi ni sehemu muhimu katika ujenzi wa nchi. Hapa kwetu, wameonekana ni maadui wa Serikali. Na wengine wamepitia magumu mengi awamu hii, baadhi hadi kufikia kiwango cha kufilisiwa. Matajiri waliofanyiwa hayo yote, usitegemee kushirikiana vizuri na Serikali. Hata wakitoa, ni kwa kujiosha tu lakini mioyoni mwao wamejaa simanzi. Tusiwalaumu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujataka kupepesa macho hata kidogo, Umemaliza Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni muongoza jahazi, hana nature ya kuweka watu Karibu. Na pia kwa sababu hatuna lockdown na watu bado wanachapa kazi na kujiingizia kipato mimi naona ni sawa tu kutuuzia hizo sanitizer maana shughuli za uchumi bado zinaendelea tofauti na wenzetu walioko lockdown.
 
Usimpangie mtu aina ya msaada wa kutoa.
Kuna misaada ya aina mbalimbali, kama fedha taslimu,vyakula mbalimbali,vifaa tiba, (mashine za Hospitali,vitanda,mavazi ya watumishi wa afya,magari ya wagonjwa).
Vile vile siyo lazima unapotoa ujitangaze(INGAWA Ina hasara sana kwa walengwa isiwafikie ,sababu kuna mchwa wa fursa hapo kati).
 
una hakika na unachokiandika?unawajua wangapi waliotoa misaada hapa Bongo?ulitaka akitoa akupigie simu?au akitoa inamnyima haki ya kuuza?MSD wanavyo hizo sabuni,wanatoa bure?
 
Hongera kwa Uzi wako. Nilijiuliza siku nyingi sana.

Binafsi sijawahi kumu Appreciat Mo for anything he does. He is always after something. He is good for nothing.

Ni watu maarufu wengi sana wameonesha upendo kwa raia. Serikali pekee yake haiwezi, lazima kuwe na misaada ya watu kama hao.

Hawa wasanii kama kina Daimond, these people are worthless creatures and selfish.

1. Nilitegemea kuona wasanii wote including bongo Movie wamejikusanya na kutoa hata laki 5 kila mmoja kisha kununua vifaa vya kujikinga na Corona kwa kuikabidhi serikali.

2. Nilitegemea kuona wachezaji mpira ambao ni wazawa kujikusanya na kuchanga hata laki 2 kwa timu zote zinazoshiriki VPL, Na kuikabidhi serikali kwa ajili ya vita ya Corona.

Tumeona Samuel Eto, Didier Drogba alichofanya kwenye. nchi zao.

Where is Samata?

3. Nilitegemea kuona wabunge na mawaziri wakiiomba serikali wakatwe angalau 10% ya mshahara wao kwa ajili ya mapambano ya Corona kwa kipindi chote cha Corona.

4. Nilitegemea kuona UKAWA wakijiunga na kuchangia pesa kwa ajili ya mapambano ya Corona. Where are they? Au kazi yao ni domo domo tu!

5. Nilitegemea kuona chama tawala CCM kutoa fungu lake kwa kuisaidia Serikali, where are they?

6. Nilitegemea kuona Rais akitangaza kukatwa 20% ya salary yake iende kwenye mapambano ya Corona. Where is he? Let’s be honest bhana haya mambo sio ya mchezo. Kama unadhani upo safe, subiri mtu wako wa karibu apate huenda tutakuwa na heshima.

7. Nilitegemea kuona waziri Mkuu na Makamu wa Rais wakifanya the same. Where are they?

8. Nilitegemea kuona wakurugenzi wa taasisi binafsi na za umma wakiomba kukatwa sehemu ya mshahara wao kwa kipindi chote cha Corona ili kusaidia maskini juu ya Corona.
9. Nilitegemea kuona Makanisa na Misikiti ikitoa sehemu ya zile sadaka ambazo hazina kodi kwenda Serikali na kuisaidia Serikali kupambana na Corona. Serikali pekee haiwezi hata ikitaka kuweza na ndio maana Mh Rais anaona wazi kuna hatari ya sisi kufa njaa kama tukifanya lockdown. Big Up John katika hili.

Leo hii manesi wamekosa motisha na kukimbia wagonjwa, sad but true.

Leo hii mawaziri tena madokta wapo busy ku twiti ujinga wao. No one give a damn about anyone else.

May they rotten in hell all of them. And May they die the ugliest death like you have never seen before for as long as they remain selfish.

F****K OFF!
Hawaamini matumizi sahihi ya fedha yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwamo
Wakati unamshangaa Mfanyabiashara Mohamed Dewji kuuza vitakasa mikono, je serikali inayochukua pesa yako kama kodi imegawa bure vitakasa mikono vingapi kwa raia wake?!

Hivi si juzi tu hapa nimezungumzia umuhimu wa Magu kuwa na emergency fiscal na monetary policies zitakazosaidia kupambana na COVID-19?!

Sasa kama Dewji ametengeneza vitakasa mikono kwa gharama za kampuni kwa 100%... no tax relief, no subsidies, no loans guarantee, no nothing bado unatarajia vitakasa kama hivyo agawe bure as if METL ni Charity Home?!

Kama biashara zingine haziendi kutokana na COVID-19, unatarajia biashara yenye uwezekano wa kutembea aigeuze kuwa "saidia maskini baba" wakati serikali yenyewe imegoma kufanya yale yatakayopunguza mapato yake?!

Ule Msemo wa wana-Lumumba kwa Mabeberu kwamba kila mmoja apambane na hali yake, ndo hiyo sasa!!

Na Rais keshasema "Hapa Kazi Tu", na "Hapa Kazi Tu" yenyewe ndo hiyo sasa... Hapa Kazi Tu, ukitaka sadaka nenda kanisani au msikitini!
kwani hiyo list ya baadhi ya mabillionea wanaotoa msaada kwa jamii hawalipi kodi katika serikali yao

sema Mo anamatatizo ndo maana ata wafanyakazi wake anawapa mishahara midogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwamokwani hiyo list ya baadhi ya mabillionea wanaotoa msaada kwa jamii hawalipi kodi katika serikali yao

sema Mo anamatatizo ndo maana ata wafanyakazi wake anawapa mishahara midogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabillionea gani?! Akina Rostam Azizi ambao watu tunachora tu nyendo zake kuangalia what's he up to!!

Kwamba analipa mishahara midogo... Inalipa tofauti na kima kinachopangwa na serikali, au?!

Kama jibu NDIYO, serikali ipo wapi?!

Btw, ni kampuni ipi inayolipa vizuri wafanyakazi wake?! Hiyo serikali yenyewe inalipa vizuri wafanyakazi wake?!

Again, serikali ina mipango ipi ya dharula kuhakikisha sekta binafsi haiathiriki kipindi hiki kigumu badala ya kusubiria kukusanya kodi na kuomba misaada?!
 
Sikutegemea katika hali Kama hii ya janga la Corona wale wenye Unafuu kwenye jamii yetu kufanya Biashara katika taharuki Kama hii. Nasikia hiki kitakasa Mikono Cha Mo Dewji anaviuza, sina shada naye kwa kuwa ni mfanyabiashara ameona hii ni Fursa. Matajiri wenzake wanafanyaje duniani?

View attachment 1430272

1. Jack Ma mwanzilishi wa Alibaba yeye kachangia mabilioni ya Shilingi kwa nchi yake ya China kupambana na Corona. Kavuka Mipaka kachangia hadi waafrika kwa mfano katoa ventilator 500, Nguo rasmi za wauguzi (Suits and face shields) 200,000, thermometer 2,000, Gloves 500,000 nk. Hivi katoa bure kabisa....

2.Bill Gates yeye na Mke wake Melinda wametoa offer ya Kujenga kituo Cha kufanya tafiti ya Chanjo ya Corona pale Marekani. Pia katoa mabilioni kadhaa kwa nchi yake kupambana na Corona. Hivi katoa Bure kabisa ....

3.Strive Masiyiwa huyu ni tajiri wa Zimbabwe yeye katoa Offer kwa wafanyakazi wa afya kawaongezea Posho US Dollar 200 Hadi 400 kwenye mihsahara yao kwa Miezi sita. Kawanunulia pia Nguo, amewapa Usafiri nk. Hivi katoa bure kabisa.

4. Mark Zuckerberg huyu ni mmiliki wa Facebook yeye katoa 231,440,000,000 kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Katoa pia mabilioni kibao kwa WHO na US center for Disease.

5.Jim Ratcliffe huyu ni bilionea wa Uingereza anamiliki Kiwanda cha Kemikali, katoa Senitiser kwa hospital zote bure UK.

6. Aliko Dangote ametoa N 200 Milioni kupambana na Usambaaji wa Corona Nigeria sawa na Shilingi Bilioni Moja Plus. Hizi naye katoa bure kabisa ....

7. Jeff Bezos huyu ni mmiliki wa Amazon (E- Commarce) yeye katoa US dollar 100 Milioni kwa ajili ya wanaopoteza Ajira.

List ni kubwa Sana ya waliojitoa Bure.

Hapo Kenya mfuatilieni Governor wa Mombasa Joho anachofanya pitia hii link kuona Instagram yake vitu alivyofanya:-

Hassan Ali Joho (@joho_001) • Instagram photos and videos

Anagawa hadi Chakula bure kabisa kwa wakenya wa Mombasa. Ameshirikiana na private Sector kutengeneza Centre ya Waathirika wa CORONA.

Mfuatilieni Mzee wa Mishe Sonko yeye anagawa Chakula Kenya bure kabisa na ameenda mbali anawagawia watu hadi Pombe.

Hapa Kwetu matajiri wapo wapi? Mo kashaamua kutuuzia vitakasa Mikono, siamini kwa jinsi tulivyomtafuta alivyopotea. Hakupaswa kuona Kama hii Ni fursa.

Wasanii wetu ambao ni Celebrate wapo wapi wanashindwa kujiunga kutoa hata kitu kwa jamii?

Wanasiasa wetu wapo wapi? Hapo Bungeni mnashindwa kujiunga hata mshahara au Posho ya Kikao kimoja mtoe?

Hawa ni watu wenye unafuu kwenye jamii yetu kwa nn msifanye kitu? Wafanyabiashara wadogowadogo wamepoteana, wafanyakazi sector binafsi baadhi wamepoteana, watoto yatima kwenye Kambi zao wamepoteana, watumishi wetu wa Afya tuwanunulie hata Mask za viwango jamani, ni wakati wa kurudisha kidogo kwa jamii.

Tusiiachie Serikali tu.
Hayo ni mawazo ya kimaskini! We we kazi yako iwe ni kumjaza mimba mkeo halafu utegemee mo aje kukisaidia?
Huu ujinga ndio uliojaa kichwani kwa Watanzania wengi. Tupambane kuzihudumia familia zetu...
Mwanaume ni kubeba majukumu ya familiar yako...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom