Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,160
- 1,359
Swali la awali ni kwa nini atoe kwa sasa?Na serikali inasemaje kuhusu corona...inasema ipo under control,na je pesa za majanga zinatumikaje?Za tetemeko na misiba kama ule wa wanafunzi Arusha ilikuwaje?
Kuna kutoa kwa lengo la kujipatia umàarufu...Mo umaarufu anao wa kutosha,kuna kutoa msaada kwa malengo lukuki,mbali na umaarufu kuna kutoa huku ukijua inarudi vipi.
Ulaya(sijafika) naskia wananchi wanazingatia sana reciprocity japo sio lazima,yani baadae huwa wanakupa sapoti katika masuala yako iwe biashara au lolote unalofanya kama vile political will.
Jamii yetu hii kama kinyonga....watu yalishawapata wakaona wawe wagumu tu.Haujui kupatikana kwake labda kuliambatana na "makato ya fweza na maumivu kibao" huenda anawaza zile alizotoa ndio watumie😃😃😃.
Thats why hata wewe unaweza kuwa na "buku la haraka" kijana wa mtaani kwako usimfadhili barakoa akikwama kwa sababu ya mahusiano yenu.
Hali ikiwa tete atatoa sanitizer kwa bei nafuu labda janga bado halijaisha .... Mwanetu Adebayor kasema tu simple and clear hatatoa.Asalaam Aleykum
Kuna kutoa kwa lengo la kujipatia umàarufu...Mo umaarufu anao wa kutosha,kuna kutoa msaada kwa malengo lukuki,mbali na umaarufu kuna kutoa huku ukijua inarudi vipi.
Ulaya(sijafika) naskia wananchi wanazingatia sana reciprocity japo sio lazima,yani baadae huwa wanakupa sapoti katika masuala yako iwe biashara au lolote unalofanya kama vile political will.
Jamii yetu hii kama kinyonga....watu yalishawapata wakaona wawe wagumu tu.Haujui kupatikana kwake labda kuliambatana na "makato ya fweza na maumivu kibao" huenda anawaza zile alizotoa ndio watumie😃😃😃.
Thats why hata wewe unaweza kuwa na "buku la haraka" kijana wa mtaani kwako usimfadhili barakoa akikwama kwa sababu ya mahusiano yenu.
Hali ikiwa tete atatoa sanitizer kwa bei nafuu labda janga bado halijaisha .... Mwanetu Adebayor kasema tu simple and clear hatatoa.Asalaam Aleykum