Pre GE2025 Wakati mwingine wanasiasa natamani kuwapiga ngumi

Pre GE2025 Wakati mwingine wanasiasa natamani kuwapiga ngumi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
Jana nilipita sehemi kulikuwa na kampeni nafikiri Kwa sababu ya chaguzi za Serikali za mitaa.

Nikasikia mzungumzaji akisema eti Mh Samia ameshindwa kazi Kwa sababu vifo vya kinamama wanayojifungua viongezeka ..nilitamani kumpiga ngumi aisee.

Sasa vifo hivyo Rais anahusikaje Kwa mfano? Maana kifo kinaweza kutokea kwa sababu tatu:

Kuchelewa kufika hospitali kwa Maana ya infrastructures kuwa mbovu

Kuchelewa kutafuta hudumu

Kukosa huduma Bora hospitali.

Sasa unapowalisha sumu watu kwamba Samia ameshindwa kazi Kwa sababu vifo vimeongezeka unakuwa una unazungumzia upande gani katika hivyo vipengele vitatu?

Kuongoza watu ni shida sana
 
Jana nilipita sehemi kulikuwa na kampeni nafikiri Kwa sababu ya chaguzi za Serikali za mitaa.

Nikasikia mzungumzaji akisema eti Mh Samia ameshindwa kazi Kwa sababu vifo vya kinamama wanayojifungua viongezeka ..nilitamani kumpiga ngumi aisee.

Sasa vifo hivyo Rais anahusikaje Kwa mfano? Maana kifo kinaweza kutokea kwa sababu tatu:

Kuchelewa kufika hospitali kwa Maana ya infrastructures kuwa mbovu

Kuchelewa kutafuta hudumu

Kukosa huduma Bora hospitali.

Sasa unapowalisha sumu watu kwamba Samia ameshindwa kazi Kwa sababu vifo vimeongezeka unakuwa una unazungumzia upande gani katika hivyo vipengele vitatu?

Kuongoza watu ni shida sana
relax tu muungwana,

wala usimpige mtu ngumi, pole pole wanainchi wengi katika mamilioni yao hivi sasa wanaelewa na wanaendelea kuelewa taratibu wajibu wao na wajibu wa serikali katika kustawisha maisha yao...

Dr Samia suluhu Hassan anaaminika, anakubalika na kwakweli anafanya kazi nzuri sana za Maendeleo kwa maslahi mapana ya waTanzania wote..

Hastahili kulaumiwa na yeyote kwa chochote 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom