ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Habari Wadau.
Wakati Nchi wanachama wa EAC Zikiunga Mkono azimio la Umoja la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuitaka Russia kuondoa Majeshi yake vamizi Nchini Ukraine,Tanzania imekimbia Kikao bila kutokea kwenye upigaji kura.
Kuliko Nchi yetu kuendelea kukimbia vikao vya UN mara kutopoga kura ni Bora ikatoka hadharani na kubainisha msimamo wake rasmi kwenye issue ya Ukraine kwamba inapendelea Russia hata kama haisemi kiuwazi wazi..
Dunia ya Sasa sio ya kuishi kwenye kifungo Cha Kihistoria Cha msimamo wa waasisi Bali ni Dunia ya kuangalia upande wa maslahi.
Viongozi Wetu kutwa kucha kujikomboa Kwa Wazungu na Marekani ila linapokuja suala la Kisiasa wanajificha na kuwa na kigugumizi ambacho ndani yake Kiko upande wa Russia.
Binafsi naona ni mambo ya ajabu kuegemea Russia ambayo Wala Haina Msaada wowote wa maaha hapa Tanzania kulinganisha na West,Sasa ni wakati wa kuwaunga mkono wale wenye maslahi na sisi.
Wakati Nchi wanachama wa EAC Zikiunga Mkono azimio la Umoja la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuitaka Russia kuondoa Majeshi yake vamizi Nchini Ukraine,Tanzania imekimbia Kikao bila kutokea kwenye upigaji kura.
Kuliko Nchi yetu kuendelea kukimbia vikao vya UN mara kutopoga kura ni Bora ikatoka hadharani na kubainisha msimamo wake rasmi kwenye issue ya Ukraine kwamba inapendelea Russia hata kama haisemi kiuwazi wazi..
Dunia ya Sasa sio ya kuishi kwenye kifungo Cha Kihistoria Cha msimamo wa waasisi Bali ni Dunia ya kuangalia upande wa maslahi.
Viongozi Wetu kutwa kucha kujikomboa Kwa Wazungu na Marekani ila linapokuja suala la Kisiasa wanajificha na kuwa na kigugumizi ambacho ndani yake Kiko upande wa Russia.
Binafsi naona ni mambo ya ajabu kuegemea Russia ambayo Wala Haina Msaada wowote wa maaha hapa Tanzania kulinganisha na West,Sasa ni wakati wa kuwaunga mkono wale wenye maslahi na sisi.