Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu ni upuuzi tuu wa kufungwa kwenye mizizi ya historia na woga wa mabadilikoMsaada tutani:,TZ tunanufaika vipi kiuchumi Kwa Urusi?
Habari Wadau.
Wakati Nchi wanachama wa EAC Zikiunga Mkono azimio la Umoja la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuitaka Russia kuondoa Majeshi yake vamizi Nchini Ukraine,Tanzania imekimbia Kikao bila kutokea kwenye upigaji kura.
Kuliko Nchi yetu kuendelea kukimbia vikao vya UN mara kutopoga kura ni Bora ikatoka hadharani na kubainisha msimamo wake rasmi kwenye issue ya Ukraine kwamba inapendelea Russia hata kama haisemi kiuwazi wazi..
Dunia ya Sasa sio ya kuishi kwenye kifungo Cha Kihistoria Cha msimamo wa waasisi Bali ni Dunia ya kuangalia upande wa maslahi.
Viongozi Wetu kutwa kucha kujikomboa Kwa Wazungu na Marekani ila linapokuja suala la Kisiasa wanajificha na kuwa na kigugumizi ambacho ndani yake Kiko upande wa Russia.
Binafsi naona ni mambo ya ajabu kuegemea Russia ambayo Wala Haina Msaada wowote wa maaha hapa Tanzania kulinganisha na West,Sasa ni wakati wa kuwaunga mkono wale wenye maslahi na sisi.
Habari Wadau.
Wakati Nchi wanachama wa EAC Zikiunga Mkono azimio la Umoja la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuitaka Russia kuondoa Majeshi yake vamizi Nchini Ukraine,Tanzania imekimbia Kikao bila kutokea kwenye upigaji kura.
Kuliko Nchi yetu kuendelea kukimbia vikao vya UN mara kutopoga kura ni Bora ikatoka hadharani na kubainisha msimamo wake rasmi kwenye issue ya Ukraine kwamba inapendelea Russia hata kama haisemi kiuwazi wazi..
Dunia ya Sasa sio ya kuishi kwenye kifungo Cha Kihistoria Cha msimamo wa waasisi Bali ni Dunia ya kuangalia upande wa maslahi.
Viongozi Wetu kutwa kucha kujikomboa Kwa Wazungu na Marekani ila linapokuja suala la Kisiasa wanajificha na kuwa na kigugumizi ambacho ndani yake Kiko upande wa Russia.
Binafsi naona ni mambo ya ajabu kuegemea Russia ambayo Wala Haina Msaada wowote wa maaha hapa Tanzania kulinganisha na West,Sasa ni wakati wa kuwaunga mkono wale wenye maslahi na sisi.
Habari Wadau.
Wakati Nchi wanachama wa EAC Zikiunga Mkono azimio la Umoja la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuitaka Russia kuondoa Majeshi yake vamizi Nchini Ukraine,Tanzania imekimbia Kikao bila kutokea kwenye upigaji kura.
Kuliko Nchi yetu kuendelea kukimbia vikao vya UN mara kutopoga kura ni Bora ikatoka hadharani na kubainisha msimamo wake rasmi kwenye issue ya Ukraine kwamba inapendelea Russia hata kama haisemi kiuwazi wazi..
Dunia ya Sasa sio ya kuishi kwenye kifungo Cha Kihistoria Cha msimamo wa waasisi Bali ni Dunia ya kuangalia upande wa maslahi.
Viongozi Wetu kutwa kucha kujikomboa Kwa Wazungu na Marekani ila linapokuja suala la Kisiasa wanajificha na kuwa na kigugumizi ambacho ndani yake Kiko upande wa Russia.
Binafsi naona ni mambo ya ajabu kuegemea Russia ambayo Wala Haina Msaada wowote wa maaha hapa Tanzania kulinganisha na West,Sasa ni wakati wa kuwaunga mkono wale wenye maslahi na sisi.
Mtakanwa na Mungu mtakanwa na Shetani pia 😁😁Hatupo upande wowote ndio maana hatukuudhuria kikao
Btn East na West IPO TANZANIA.Kuijadili Tanzania ni sawa na kujadili kidevu cha kuku
Kuna wakati inakuwa kama inaatamia na wakati fulani inakuwa kama inanyonyesha ni kweli inahitaji umakini kuielewaBtn East na West IPO TANZANIA.
Nafasi ya Tanzania ktk siasa za Afrika Si Rahisi kuziona kama Si mtu makini.
What if Mungu hayupo upande pekee ea EAST Wala WEST?Mtakanwa na Mungu mtakanwa na Shetani pia 😁😁
Imani inataka uchukue upande,huo ni unafiki
Siasa haina imani mkuuMtakanwa na Mungu mtakanwa na Shetani pia 😁😁
Imani inataka uchukue upande,huo ni unafiki
Habari Wadau.
Wakati Nchi wanachama wa EAC Zikiunga Mkono azimio la Umoja la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuitaka Russia kuondoa Majeshi yake vamizi Nchini Ukraine,Tanzania imekimbia Kikao bila kutokea kwenye upigaji kura.
Kuliko Nchi yetu kuendelea kukimbia vikao vya UN mara kutopoga kura ni Bora ikatoka hadharani na kubainisha msimamo wake rasmi kwenye issue ya Ukraine kwamba inapendelea Russia hata kama haisemi kiuwazi wazi..
Dunia ya Sasa sio ya kuishi kwenye kifungo Cha Kihistoria Cha msimamo wa waasisi Bali ni Dunia ya kuangalia upande wa maslahi.
Viongozi Wetu kutwa kucha kujikomboa Kwa Wazungu na Marekani ila linapokuja suala la Kisiasa wanajificha na kuwa na kigugumizi ambacho ndani yake Kiko upande wa Russia.
Binafsi naona ni mambo ya ajabu kuegemea Russia ambayo Wala Haina Msaada wowote wa maaha hapa Tanzania kulinganisha na West,Sasa ni wakati wa kuwaunga mkono wale wenye maslahi na sisi.