Wakati ni sasa TFF kuitafutia Stars inter-continental friendlies

Wakati ni sasa TFF kuitafutia Stars inter-continental friendlies

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
679
Reaction score
870
Sijui ni inferiority au ni kukosa uthubutu.
Nimekuwa nikishangazwa na TFF kuendelea kung'ang'ania michezo ya kirafiki na mataifa yaleyale kama Burundi, Malawi, Kenya sijui Ethiopia kila kukicha.

Sibezi uwezo wa nchi hizi isipokuwa ifike mahali tutafute exposure na uzoefu mpya toka sehemu zingine duniani.

Hawa akina Sudan sijui Benin tumeshacheza nao mno sio rahisi kupata chochote kwao kama ilivyo vgumu hata na wao kupata lolote toka kwetu. Tutoke nasisi huko duniani ili kupata confidence kama wanavyofanya wenzetu.


Tusikaririshane kuwa nchi zote za ulaya au kwingineko zimetuacha mbali sana kisoka, huo ni uoga.

Nachokiamini Mimi ni kwamba;hata huko ulaya zipo nchi ambazo kiuhalisia ama hazipishani au zinafanana na Tanzania kisoka.Ni size yetu. Tunaweza kupambana Nazo popote bila kupata matokeo ya aibu.

Nchi kama Estonia, Lithuania, Moldova, Cyprus, Georgia, Albania , berarus, Iceland,Armenia hata Finland haziwezi kuifanya Tanzania chochote.Tunaogopa bure.

Hata kule America bado wapo akina Jamaica Honduras Panama Costa Rica au Venezuela nao sioni cha ziada sana kuibabaisha Tanzania kisoka. Kwanini tusianze na hawahawa?

Leo hii wenzetu Kenya wameifuata urusi kwao ktk friendly match.Majuzi DRC walicheza na Newzealand na kutoa safe kwao

Na kama tatizo ni umbali sio lazima waje au tuwafuate; bado tunaweza kukutana nao kwenye uwanja huru.

Hivi karibuni sept 2023 Kenya waliwafuata Qatar huko Doha na kushinda kwenye ardhi yao 1-2

Mfano mwingine tena wa karibu,ni Uganda. Mwaka 2017 Uganda walienda nchini Slovakia na kuwafunga wenyeji 1-3.sisi tunaogopa nini?

Haya Uganda hiyohiyo mwaka Jana wakiwa ugenini walidro na Iceland 1-1.

Zambia walicheza na Israel kwao na kufungwa 4-2.

Ethiopia wao waliifunga Guyana 2-0 ugenini

Moja kati ya vitu vinavyoigharimu timu yetu ni kukosa kujiamini inapocheza na timu zenye majina makubwa hata kama wakti Fulani hazina lolote.

jambo hili huwasababishia wacheze ovyo hasa wakiwa ugenini na kufungwa magoli ya mapema (rejea mechi zao)

Ushauri wangu kwa TFF waombe mialiko mingi nje ya ardhi ya Tanzania hasa ulaya au America ili kuwapa wachezaji wetu exposure na composure wakiwa ugenini.
 
Sijui ni inferiority au ni kukosa uthubutu.
Nimekuwa nikishangazwa na TFF kuendelea kung'ang'ania michezo ya kirafiki na mataifa yaleyale kama Burundi, Malawi, Kenya sijui Ethiopia kila kukicha...
Umeongea vzr.....sana ndugu yangu.... Nashangazwa sana binafsi na hawa TFF mechi nyingi za kirafiki za Taifa stars ni dhidi ya Sudan Ambao kwao Kuna vita...hawachezi mpira hawapo hata kwenye AFCON ya mwakani c masihara haya.....
 
tuombe hata na argentina huko... tff wamekariri vi friendly vya jirani havitusaidii, na kwa kweli vimekoda tija maana hakuna improvement yoyote, wachezaji wengi ni wale wale na matokeo ni yale yae, droo au moja bila. sijui targets zetu ni zipi kwa kila friendly
 
Labda ni gharama sana kucheza na timu zinhine na TFF hawana hiyo budget
 
Sijui ni inferiority au ni kukosa uthubutu.
Nimekuwa nikishangazwa na TFF kuendelea kung'ang'ania michezo ya kirafiki na mataifa yaleyale kama Burundi, Malawi, Kenya sijui Ethiopia kila kukicha.

Sibezi uwezo wa nchi hizi isipokuwa ifike mahali tutafute exposure na uzoefu mpya toka sehemu zingine duniani.

Hawa akina Sudan sijui Benin tumeshacheza nao mno sio rahisi kupata chochote kwao kama ilivyo vgumu hata na wao kupata lolote toka kwetu.
Tutoke nasisi huko duniani ili kupata confidence kama wanavyofanya wenzetu.


Tusikaririshane kuwa nchi zote za ulaya au kwingineko zimetuacha mbali sana kisoka, huo ni uoga.

Nachokiamini Mimi ni kwamba;hata huko ulaya zipo nchi ambazo kiuhalisia ama hazipishani au zinafanana na Tanzania kisoka.Ni size yetu.
Tunaweza kupambana Nazo popote bila kupata matokeo ya aibu.

Nchi kama Estonia, Lithuania, Moldova, Cyprus, Georgia, Albania , berarus, Iceland,Armenia hata Finland haziwezi kuifanya Tanzania chochote.Tunaogopa bure.

Hata kule America bado wapo akina Jamaica Honduras Panama Costa Rica au Venezuela nao sioni cha ziada sana kuibabaisha Tanzania kisoka.
kwanini tusianze na hawahawa?

Leo hii wenzetu Kenya wameifuata urusi kwao ktk friendly match.Majuzi DRC walicheza na Newzealand na kutoa safe kwao

Na kama tatizo ni umbali sio lazima waje au tuwafuate; bado tunaweza kukutana nao kwenye uwanja huru.

Hivi karibuni sept 2023 Kenya waliwafuata Qatar huko Doha na kushinda kwenye ardhi yao 1-2

Mfano mwingine tena wa karibu,ni Uganda.
Mwaka 2017 Uganda walienda nchini Slovakia na kuwafunga wenyeji 1-3.sisi tunaogopa nini?

Haya Uganda hiyohiyo mwaka Jana wakiwa ugenini walidro na Iceland 1-1.
Zambia walicheza na Israel kwao na kufungwa 4-2
Ethiopia wao waliifunga Guyana 2-0 ugenini

Moja kati ya vitu vinavyoigharimu timu yetu ni kukosa kujiamini inapocheza na timu zenye majina makubwa hata kama wakti Fulani hazina lolote.
jambo hili huwasababishia wacheze ovyo hasa wakiwa ugenini na kufungwa magoli ya mapema (rejea mechi zao)

Ushauri wangu kwa TFF waombe mialiko mingi nje ya ardhi ya Tanzania hasa ulaya au America ili kuwapa wachezaji wetu exposure na composure wakiwa ugenini.
Kikosi tu cha Taifa Stars wanakificha kama chupi kuukuu😂😅😂, sembuse mechi serious? Buloo ndo hali halisi.
 
Point nzuri sana naamini watabadirika japo ni wabishi hatari
 
Sijui ni inferiority au ni kukosa uthubutu.
Nimekuwa nikishangazwa na TFF kuendelea kung'ang'ania michezo ya kirafiki na mataifa yaleyale kama Burundi, Malawi, Kenya sijui Ethiopia kila kukicha.

Sibezi uwezo wa nchi hizi isipokuwa ifike mahali tutafute exposure na uzoefu mpya toka sehemu zingine duniani.

Hawa akina Sudan sijui Benin tumeshacheza nao mno sio rahisi kupata chochote kwao kama ilivyo vgumu hata na wao kupata lolote toka kwetu. Tutoke nasisi huko duniani ili kupata confidence kama wanavyofanya wenzetu.


Tusikaririshane kuwa nchi zote za ulaya au kwingineko zimetuacha mbali sana kisoka, huo ni uoga.

Nachokiamini Mimi ni kwamba;hata huko ulaya zipo nchi ambazo kiuhalisia ama hazipishani au zinafanana na Tanzania kisoka.Ni size yetu. Tunaweza kupambana Nazo popote bila kupata matokeo ya aibu.

Nchi kama Estonia, Lithuania, Moldova, Cyprus, Georgia, Albania , berarus, Iceland,Armenia hata Finland haziwezi kuifanya Tanzania chochote.Tunaogopa bure.

Hata kule America bado wapo akina Jamaica Honduras Panama Costa Rica au Venezuela nao sioni cha ziada sana kuibabaisha Tanzania kisoka. Kwanini tusianze na hawahawa?

Leo hii wenzetu Kenya wameifuata urusi kwao ktk friendly match.Majuzi DRC walicheza na Newzealand na kutoa safe kwao

Na kama tatizo ni umbali sio lazima waje au tuwafuate; bado tunaweza kukutana nao kwenye uwanja huru.

Hivi karibuni sept 2023 Kenya waliwafuata Qatar huko Doha na kushinda kwenye ardhi yao 1-2

Mfano mwingine tena wa karibu,ni Uganda. Mwaka 2017 Uganda walienda nchini Slovakia na kuwafunga wenyeji 1-3.sisi tunaogopa nini?

Haya Uganda hiyohiyo mwaka Jana wakiwa ugenini walidro na Iceland 1-1.

Zambia walicheza na Israel kwao na kufungwa 4-2.

Ethiopia wao waliifunga Guyana 2-0 ugenini

Moja kati ya vitu vinavyoigharimu timu yetu ni kukosa kujiamini inapocheza na timu zenye majina makubwa hata kama wakti Fulani hazina lolote.

jambo hili huwasababishia wacheze ovyo hasa wakiwa ugenini na kufungwa magoli ya mapema (rejea mechi zao)

Ushauri wangu kwa TFF waombe mialiko mingi nje ya ardhi ya Tanzania hasa ulaya au America ili kuwapa wachezaji wetu exposure na composure wakiwa ugenini.
Akili kubwa hii [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hata hawa palestina tuombe nao mechi... Wakati Israel wanawagonga kwenye vita sie tumewagongea uwanjani...
 
Sijui ni inferiority au ni kukosa uthubutu.
Nimekuwa nikishangazwa na TFF kuendelea kung'ang'ania michezo ya kirafiki na mataifa yaleyale kama Burundi, Malawi, Kenya sijui Ethiopia kila kukicha.

Sibezi uwezo wa nchi hizi isipokuwa ifike mahali tutafute exposure na uzoefu mpya toka sehemu zingine duniani.

Hawa akina Sudan sijui Benin tumeshacheza nao mno sio rahisi kupata chochote kwao kama ilivyo vgumu hata na wao kupata lolote toka kwetu. Tutoke nasisi huko duniani ili kupata confidence kama wanavyofanya wenzetu.


Tusikaririshane kuwa nchi zote za ulaya au kwingineko zimetuacha mbali sana kisoka, huo ni uoga.

Nachokiamini Mimi ni kwamba;hata huko ulaya zipo nchi ambazo kiuhalisia ama hazipishani au zinafanana na Tanzania kisoka.Ni size yetu. Tunaweza kupambana Nazo popote bila kupata matokeo ya aibu.

Nchi kama Estonia, Lithuania, Moldova, Cyprus, Georgia, Albania , berarus, Iceland,Armenia hata Finland haziwezi kuifanya Tanzania chochote.Tunaogopa bure.

Hata kule America bado wapo akina Jamaica Honduras Panama Costa Rica au Venezuela nao sioni cha ziada sana kuibabaisha Tanzania kisoka. Kwanini tusianze na hawahawa?

Leo hii wenzetu Kenya wameifuata urusi kwao ktk friendly match.Majuzi DRC walicheza na Newzealand na kutoa safe kwao

Na kama tatizo ni umbali sio lazima waje au tuwafuate; bado tunaweza kukutana nao kwenye uwanja huru.

Hivi karibuni sept 2023 Kenya waliwafuata Qatar huko Doha na kushinda kwenye ardhi yao 1-2

Mfano mwingine tena wa karibu,ni Uganda. Mwaka 2017 Uganda walienda nchini Slovakia na kuwafunga wenyeji 1-3.sisi tunaogopa nini?

Haya Uganda hiyohiyo mwaka Jana wakiwa ugenini walidro na Iceland 1-1.

Zambia walicheza na Israel kwao na kufungwa 4-2.

Ethiopia wao waliifunga Guyana 2-0 ugenini

Moja kati ya vitu vinavyoigharimu timu yetu ni kukosa kujiamini inapocheza na timu zenye majina makubwa hata kama wakti Fulani hazina lolote.

jambo hili huwasababishia wacheze ovyo hasa wakiwa ugenini na kufungwa magoli ya mapema (rejea mechi zao)

Ushauri wangu kwa TFF waombe mialiko mingi nje ya ardhi ya Tanzania hasa ulaya au America ili kuwapa wachezaji wetu exposure na composure wakiwa ugenini.
Kuna muda inabidi uchaguzi wa tff uwe wa kitaifa Ili wasikae kimazoea
 
Back
Top Bottom