Wakati Ripoti ya Mwakyembe bado gizani, Law School of Tanzania waendelea kunoa 'wembe'. Watangaza ratiba ya mitihani inayohusisha supp

Wakati Ripoti ya Mwakyembe bado gizani, Law School of Tanzania waendelea kunoa 'wembe'. Watangaza ratiba ya mitihani inayohusisha supp

Hoja zako ni za msingi naona.
1. Ufundishwaji utoke Theory uwe practical
2. Fairness ya mitihani
3. Usahihishaji wa mitihani.
4. Assessment in General iwe realistic not business oriented. Lets hope Tume ita leta vitu vizuri. Tiyari naona kelele zimesaidia nafasi za kazi LST zilitangazwa.
Wanalipia kusoma practical based lakini wanafundishwa na kupimwa mitihani katika theory, sasa tume inahitaji nini zaidi?

Kuanzia hapo tu utaona hawa wanahitaji wawajibishwe vikali.kwanini wanafundishwa matheory tu sasa kuna faida gani kupitia tena law school baada ya chuo?

Kwanini wanaendelea na ratiba ya mitihani kipindi tume bado haijatoa ripoti kwa uma, uma unasubiri.
 
Fanya mtihani ufaulu. Marks za mezani hakuna. Huo ni ukweli, umeze
Hakuna anayefanya mtihani ili afeli, wote lengo ni kufaulu na ndio maana husikii kelele kwa wanafunzi 26 waliofaulu, tunasema walistahili kufaulu sababu lengo la kufanya mitihani ni kufaulu. Ila kwa kuwa mitihani mtu hajitungii, kuna uwezekano wa mwanafunzi kujibu SIVYO na kupelekea kufeli. Yeye mwanafunzi haamini kama alijibu SIVYO, anaona njia pekee ya kujihakikisha makosa yake ni kuona kile alichokiandika na majibu ya mwalimu yakoje. Mwalimu hataki kumwonesha mwanafunzi wala hataki kuonesha majibu yake anachofanya ni kutoa ratiba ya SUPP mwanafunzi akabahatishe. Hii ni hatari zaidi kwa Taifa.
 
Wanalipia kusoma practical based lakini wanafundishwa na kupimwa mitihani katika theory, sasa tume inahitaji nini zaidi?

Kuanzia hapo tu utaona hawa wanahitaji wawajibishwe vikali.kwanini wanafundishwa matheory tu sasa kuna faida gani kupitia tena law school baada ya chuo?
Shule inajiita ya vitendo ila uhalisia ni ya nadharia. Watu wapo busy kukusanya ada za wanafunzi na kuharibu future zao
 
Hakuna anayefanya mtihani ili afeli, wote lengo ni kufaulu na ndio maana husikii kelele kwa wanafunzi 26 waliofaulu, tunasema walistahili kufaulu sababu lengo la kufanya mitihani ni kufaulu. Ila kwa kuwa mitihani mtu hajitungii, kuna uwezekano wa mwanafunzi kujibu SIVYO na kupelekea kufeli. Yeye mwanafunzi haamini kama alijibu SIVYO, anaona njia pekee ya kujihakikisha makosa yake ni kuona kile alichokiandika na majibu ya mwalimu yakoje. Mwalimu hataki kumwonesha mwanafunzi wala hataki kuonesha majibu yake anachofanya ni kutoa ratiba ya SUPP mwanafunzi akabahatishe. Hii ni hatari zaidi kwa Taifa.
Fanya mtihani ufaulu, huo ujinga unaoandika haikusaidii.
 
Hoja zako ni za msingi naona.
1. Ufundishwaji utoke Theory uwe practical
2. Fairness ya mitihani
3. Usahihishaji wa mitihani.
4. Assessment in General iwe realistic not business oriented. Lets hope Tume ita leta vitu vizuri. Tiyari naona kelele zimesaidia nafasi za kazi LST zilitangazwa.
Sijui jamaa walifanikiwaje kuiua Bar Exams - ile kukutana na jopo la majaji kwa usahili wa ana kwa ana ilikuwa bora na vyema sana - majibu ni hapohapo hakuna kuoneana
 
Shule inajiita ya vitendo ila uhalisia ni ya nadharia. Watu wapo busy kukusanya ada za wanafunzi na kuharibu future zao
Inaskitisha sana lakini utaona wapuuzi kama hawa wanatetewa na baadhi ya watanzania, watasema hio ndio taaluma watu hata wakifeli wote ni sifa nzuri na fahari ya ubora wa elimu!

Hata mie ningefeli hapo kuna udhalimu mkubwa wa kimfumo hapo lakini siyo hao tu hata wale wa CPA wanafanya kama hawa law school.
 
Wanasheria na taaluma ya sheria kwa jumla, migogoro hutatuliwa kwa hoja na sio nguvu. Hoja za wanafunzi ni kuwa wanaonewa, mitihani haisahishwi kabisa ama haisahishwi ipasavyo - wanataka kuona booklet zao mchawi ajulikane kama ni mwanafunzi au usahishaji - hakuna anayeomba kufaulishwa - kinachodaiwa ni haki. Unafanya supp kwa njia zilezile ulizoelekezwa naq, wasahishaji walewale na utegemee matokeo tofauti
Nadhani wewe ni mmoja wa victim wa LST.
 
Napenda kujua kwanini karatasi za kujibia mitihani huwa hairudishwi kwa wanafunzi, kama kweli wanaamini wanafunzi wao hufeli kihalali, kwanini wafiche karatasi zilizotumika kujibia mitihani wazirudishe kwa wanafunzi?
 
Napenda kujua kwanini karatasi za kujibia mitihani huwa hairudishwi kwa wanafunzi, kama kweli wanaamini wanafunzi wao hufeli kihalali, kwanini wafiche karatasi zilizotumika kujibia mitihani wazirudishe kwa wanafunzi?
Hapa ndipo penye majibu ya mgogoro, hadidu hii moja ilitosha kabisa kutoa ripoti ya kina Mwakyembe. Na mkuu, ishu sio karatasi za majibu tu bali mpaka maksi anazopata mwanafunzi hawaweki, utaona tu una F, bila kujua ni F ya maksi 3 kwa 100 au F ya maksi 49 kwa 100. Jibu lao kubwa wanakuakuambia F ni F tu, iwe ni 0 au 40, wewe unataka uone ili ikusaidie nini?? Maajabu!! Mtihani si ni wa mwanafunzi, mpeni maksi yake aone. Wanafunzi wanaamini kuwa mitihani haisahishwi kwa hiyo maksi za matokeo yaliyopita zinaweza kuwa zinarejewa vilevile kwenye mitihani afanyayo mtu, ndio sababu ya kuomba booklet ili zihakikiwe
 
Hoja zako ni za msingi naona.
1. Ufundishwaji utoke Theory uwe practical
2. Fairness ya mitihani
3. Usahihishaji wa mitihani.
4. Assessment in General iwe realistic not business oriented. Lets hope Tume ita leta vitu vizuri. Tiyari naona kelele zimesaidia nafasi za kazi LST zilitangazwa.
Sawa ila angalia utendaji lazima wapitie nondo kwanza hapo LST
 
Sijui jamaa walifanikiwaje kuiua Bar Exams - ile kukutana na jopo la majaji kwa usahili wa ana kwa ana ilikuwa bora na vyema sana - majibu ni hapohapo hakuna kuoneana
Bora iyo inaleta mantiki kwa kada yao ...Ndo maana hapa bongo mtu anafaulu vizuri na marks za juu akienda utumishi kile kimitihani kimoja anafeli ndo Inakuwa mwisho wake na ajira hapati.
 
Jamaa ni untouchable aisee, kelele za wananchi kwao wanaziona kama za vyura tu..hazizuii ng'ombe kunywa maji
Nimesoma hoja zako zote na zina mashiko. Anayepinga basi hana akili
 
Nimesoma hoja zako zote na zina mashiko. Anayepinga basi hana akili
Ahsante mkuu kwa kuunga mkono hoja, ila ndio hivyo tena, wamefanya yao.

Safari hii ukiachana kufaulu wanafunzi 28 tu kati ya 800, kuna zaidi ya wanafunzi 300 wamedisko kabisa.
 
Back
Top Bottom