Wazalendo wa Tanzania unawaita mizuzu? 😆😆😆😆mizuzu inajipa moyo kabisa kuwa itawafunga na kumaliza na points sita na kuendelea na hatua nyingine ya mashindano
Hv kwanza tulfikaje huko AFCON aseeh
Daah alituponza bana sasa tunatiana aibu hvhv huko AFCONAlgeria alituachia mechi ya mwisho tukasare. Maana alikuwa ameshafuzu.
Kazi yetu kuwasifia wachezaji wa mataifa mbalimbali wanaosajiliwa Simba na Yanga.Wazalendo wa Tanzania unawaita mizuzu? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Anyway kuna mambo wala hayahitaji Uzalendo. Tanzania hamna mpira ukiondoa tuliyozoea ya Simba, Azam, Yanga.
nakubaliana nawe kwa 100% mkuuNingekuwa Rais wa Tanzania Leo.Ningeamru Taifa stars kurudi Nyumbani haraka na budget yake ningeenda kucheka Zahanati moja nzuri kijijini kuweka kumbukumbu vizuri.Huko tunapoteza muda na pesa
ccm, rais samia na serikali yake watawajibikaTutapigwa kama ngoma