Wakati tunaingia 2023 Watanzania wenzangu tuzidi kujipa moyo Mungu yupo

Wakati tunaingia 2023 Watanzania wenzangu tuzidi kujipa moyo Mungu yupo

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Heri ya mwaka mpya 2023. Ndugu zangu watanzania tuzidi kujipa moyo Mungu yupo kutufuta machozi ktk kila nyakati. Tupunguze manung'uniko na lawama ili Mungu afanye kazi yake.

Hakuna chama wala mtu anaweza sema yeye ndio mwenye hati miliki ya hili Taifa ila kila mtu ana haki sawa ya utanzania wake kuwa sehemu katika urithi wa Taifa hili. Malalamiko na lawama vina mchelewesha Mungu kumaliza mpango wake kwa Taifa hili.

Niwakati wakusali na kumuomba Mungu kwa kesho ya Taifa hili.
Mungu anaenda kuinua vijana wengi wenye akili za ajabu ktk mifumo ya Taifa hili. Mungu ana enda kuinua wazee wachache wenye akili watakao lisaidia Taifa hili kwa namna haijawahi tokea.

Wale wanawaza juu ya matumbo yao na vizazi vyao wengi wakiwa ktk usingizi nakujuwa huu ndio muda wakuila nchi wengi watakuta nchi ikiwala wao kwa sababu Neno la Mungu haliwezi kwenda likarudi bure.

Kesho ya watanzania ni yabaraka na mafanikio mengi kila mtu akilifurahia Taifa hili kwa ajili ya Mungu.

Mjapo ona maisha yakawa machungu na pesa hamuioni basi kumbukeni huo ni mwazo wa utungu mara Tz mpya atazaliwa.

Happy new year 2023.
 
Good words but again words..This is simply the doctrine of docility and passiveness. No God will intercede on your behalf if you don't make the effort to save yourself!!
 
Heri ya mwaka mpya 2023. Ndugu zangu watanzania tuzidi kujipa moyo Mungu yupo kutufuta machozi ktk kila nyakati. Tupunguze manung'uniko na lawama ili Mungu afanye kazi yake. Hakuna chama wala mtu anaweza sema yeye ndio mwenye hati miliki ya hili Taifa ila kila mtu ana haki sawa ya utanzania wake kuwa sehem ktk urithi wa Taifa hili. Malalamiko na lawama vina mchelewesha Mungu kumaliza mpango wake kwa Taifa hili.
Niwakati wakusali na kumuomba Mungu kwa kesho ya Taifa hili.
Mungu anaenda kuinua vijana wengi wenye akili za ajabu ktk mifumo ya Taifa hili. Mungu ana enda kuinua wazee wachache wenye akili watakao lisaidia Taifa hili kwa namna haijawahi tokea.
Wale wanawaza juu ya matumbo yao na vizazi vyao wengi wakiwa ktk usingizi nakujuwa huu ndio muda wakuila nchi wengi watakuta nchi ikiwala wao kwa sababu Neno la Mungu haliwezi kwenda likarudi bure.
Kesho ya watanzania ni yabaraka na mafanikio mengi kila mtu akilifurahia Taifa hili kwa ajili ya Mungu.
Mjapo ona maisha yakawa machungu na pesa hamuioni basi kumbukeni huwo ni mwazo wa utungu mara Tz mpa atazaliwa.
Happy new year 2023.
Tupe viashiria kwamba utakuwa Mwaka wa Mungu na sio Mwaka wa shetani.
 
Heri ya mwaka mpya 2023. Ndugu zangu watanzania tuzidi kujipa moyo Mungu yupo kutufuta machozi ktk kila nyakati. Tupunguze manung'uniko na lawama ili Mungu afanye kazi yake. Hakuna chama wala mtu anaweza sema yeye ndio mwenye hati miliki ya hili Taifa ila kila mtu ana haki sawa ya utanzania wake kuwa sehem ktk urithi wa Taifa hili. Malalamiko na lawama vina mchelewesha Mungu kumaliza mpango wake kwa Taifa hili.
Niwakati wakusali na kumuomba Mungu kwa kesho ya Taifa hili.
Mungu anaenda kuinua vijana wengi wenye akili za ajabu ktk mifumo ya Taifa hili. Mungu ana enda kuinua wazee wachache wenye akili watakao lisaidia Taifa hili kwa namna haijawahi tokea.
Wale wanawaza juu ya matumbo yao na vizazi vyao wengi wakiwa ktk usingizi nakujuwa huu ndio muda wakuila nchi wengi watakuta nchi ikiwala wao kwa sababu Neno la Mungu haliwezi kwenda likarudi bure.
Kesho ya watanzania ni yabaraka na mafanikio mengi kila mtu akilifurahia Taifa hili kwa ajili ya Mungu.
Mjapo ona maisha yakawa machungu na pesa hamuioni basi kumbukeni huwo ni mwazo wa utungu mara Tz mpa atazaliwa.
Happy new year 2023.
IMG-20221231-WA0051.jpg
 
Mungu keshaibariki Tanzania..tupo kwenye baraka Tayari
 
Na ikawe hivyo. Kwa kifupi wapo vijana na watanzania wengi sana wenye uwezo na vipawa vya kuweza kulitumikia taifa lao lakini mifumo iliyopo sasa haiwabebi na hivyo kujikuta wakifanya mambo mengine ambayo kimsingi yanawafanya wasipate nafasi ya kuonyesha kile walichonacho. Kila mwenye nia njema na taifa hili anaombea tufikie ndoto hii ambayo sio tu wewe unaitamani bali mamia na maelfu ya watanzania wanatamani
 
Back
Top Bottom