Wakati tunasoma naye Chuo alikuwa na akili, lakini sasa nimekuja kutana naye.... Inasikitisha.

Wakati tunasoma naye Chuo alikuwa na akili, lakini sasa nimekuja kutana naye.... Inasikitisha.

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Wakati tunaanza chuo mwaka 2002 the guy alikuwa smart mpaka tunamaliza 2005. Nlikuwa naona ni moja ya watu ambao watakuja kufanya makubwa sana nchini.

Nimekuja kutana naye mwaka jana...kwanza nlishtuka. Amevaa tshirt ya chama na kofia. Nikamuuliza xxxx ni wewe au naota. Akaniambia ni mimi xxxx na wewe ni yyy. Nikasema ni kweli sijakuchanganya. Nikamuuliza ulipatwa na nini katika hii dunia? Mbona ulikuwa na akili sana kipindi kile tunasoma chuo?

Leo amevaa tshirt imeandikwa mama anatosha 2025 nikamuuliza kuna nini mpaka aseme hivyo kwani baba yake anataka oa mwanamke mwingine huo mwaka 2025? Akasema no angalia picha mama tunamaanisha mheshimiwa. Nikachoka sana... Jamaa yangu amepatwa na nini huyu?zamani alikuwa critical thinker sasa amekuwa boza kabisa.

Tukamuunga kwenye group letu la chuo mwaka 2005. Mambo anayopost. Utasikitika na kusikitikia wazazi wake. Jamaa amepatwa na nini?mpaka anavaa tshirt na kofia? Kabakiziwa akili za kuvukia barabara na kuvalia tu nguo.
 
Wakati tunaanza chuo mwaka 2002 the guy alikuwa smart mpaka tunamaliza 2005. Nlikuwa naona ni moja ya watu ambao watakuja kufanya makubwa sana nchini.

Nimekuja kutana naye mwaka jana...kwanza nlishtuka. Amevaa tshirt ya chama na kofia. Nikamuuliza xxxx ni wewe au naota. Akaniambia ni mimi xxxx na wewe ni yyy. Nikasema ni kweli sijakuchanganya. Nikamuuliza ulipatwa na nini katika hii dunia? Mbona ulikuwa na akili sana kipindi kile tunasoma chuo?

Leo amevaa tshirt imeandikwa mama anatosha 2025 nikamuuliza kuna nini mpaka aseme hivyo kwani baba yake anataka oa mwanamke mwingine huo mwaka 2025? Akasema no angalia picha mama tunamaanisha mheshimiwa. Nikachoka sana... Jamaa yangu amepatwa na nini huyu?zamani alikuwa critical thinker sasa amekuwa boza kabisa.

Tukamuunga kwenye group letu la chuo mwaka 2005. Mambo anayopost. Utasikitika na kusikitikia wazazi wake. Jamaa amepatwa na nini?mpaka anavaa tshirt na kofia? Kabikiziwa akili za kuvukia barabara na kuvalia tu nguo.
Anayevaa gwanda ndio ana akili sio.....!?
 
Mkuu tabia ya kuwauliza watu wamepatwa Nini kwenye Maisha Yao Naona ni umbea na kiherehere wewe yanakuhusu Nini??

Ety mbona ulikuwa na akili Sana chuo Sasa wewe kina kuhusu Nini??

Nyie ndio wale unakutana na MTU analopoka umekonda sana Fulani

Fata yako acha umbea na kiherehere kufatilia Maisha ya watu
 
Wakati tunaanza chuo mwaka 2002 the guy alikuwa smart mpaka tunamaliza 2005. Nlikuwa naona ni moja ya watu ambao watakuja kufanya makubwa sana nchini.

Nimekuja kutana naye mwaka jana...kwanza nlishtuka. Amevaa tshirt ya chama na kofia. Nikamuuliza xxxx ni wewe au naota. Akaniambia ni mimi xxxx na wewe ni yyy. Nikasema ni kweli sijakuchanganya. Nikamuuliza ulipatwa na nini katika hii dunia? Mbona ulikuwa na akili sana kipindi kile tunasoma chuo?

Leo amevaa tshirt imeandikwa mama anatosha 2025 nikamuuliza kuna nini mpaka aseme hivyo kwani baba yake anataka oa mwanamke mwingine huo mwaka 2025? Akasema no angalia picha mama tunamaanisha mheshimiwa. Nikachoka sana... Jamaa yangu amepatwa na nini huyu?zamani alikuwa critical thinker sasa amekuwa boza kabisa.

Tukamuunga kwenye group letu la chuo mwaka 2005. Mambo anayopost. Utasikitika na kusikitikia wazazi wake. Jamaa amepatwa na nini?mpaka anavaa tshirt na kofia? Kabikiziwa akili za kuvukia barabara na kuvalia tu nguo.
Kama vile upepo hubadilika!Au bhange?
 
Weka picha yake bila hivyo watasema
👇👇
 

Attachments

  • downloadfile-5.jpg
    downloadfile-5.jpg
    54.2 KB · Views: 5
Wakati tunaanza chuo mwaka 2002 the guy alikuwa smart mpaka tunamaliza 2005. Nlikuwa naona ni moja ya watu ambao watakuja kufanya makubwa sana nchini.

Nimekuja kutana naye mwaka jana...kwanza nlishtuka. Amevaa tshirt ya chama na kofia. Nikamuuliza xxxx ni wewe au naota. Akaniambia ni mimi xxxx na wewe ni yyy. Nikasema ni kweli sijakuchanganya. Nikamuuliza ulipatwa na nini katika hii dunia? Mbona ulikuwa na akili sana kipindi kile tunasoma chuo?

Leo amevaa tshirt imeandikwa mama anatosha 2025 nikamuuliza kuna nini mpaka aseme hivyo kwani baba yake anataka oa mwanamke mwingine huo mwaka 2025? Akasema no angalia picha mama tunamaanisha mheshimiwa. Nikachoka sana... Jamaa yangu amepatwa na nini huyu?zamani alikuwa critical thinker sasa amekuwa boza kabisa.

Tukamuunga kwenye group letu la chuo mwaka 2005. Mambo anayopost. Utasikitika na kusikitikia wazazi wake. Jamaa amepatwa na nini?mpaka anavaa tshirt na kofia? Kabikiziwa akili za kuvukia barabara na kuvalia tu nguo.
Ameshakata tamaa.

Ukishaona watu wanapost mambo ya chama kilichoshindwa over 63yrs ujue maisha hamewapiga sana
 
Mkuu tabia ya kuwauliza watu wamepatwa Nini kwenye Maisha Yao Naona ni umbea na kiherehere wewe yanakuhusu Nini??

Ety mbona ulikuwa na akili Sana chuo Sasa wewe kina kuhusu Nini??

Nyie ndio wale unakutana na MTU analopoka umekonda sana Fulani

Fata yako acha umbea na kiherehere kufatilia Maisha ya watu
Mku mbona kama umepaniki? Yeye mhusika wala hakupaniki. Why kama hili suala limekuwa too personal kwako?just relax mku. Mambo ya kawaida haya usiwe na ghadhabu za haraka haraka.
 
Wakati tunaanza chuo mwaka 2002 the guy alikuwa smart mpaka tunamaliza 2005. Nlikuwa naona ni moja ya watu ambao watakuja kufanya makubwa sana nchini.

Nimekuja kutana naye mwaka jana...kwanza nlishtuka. Amevaa tshirt ya chama na kofia. Nikamuuliza xxxx ni wewe au naota. Akaniambia ni mimi xxxx na wewe ni yyy. Nikasema ni kweli sijakuchanganya. Nikamuuliza ulipatwa na nini katika hii dunia? Mbona ulikuwa na akili sana kipindi kile tunasoma chuo?

Leo amevaa tshirt imeandikwa mama anatosha 2025 nikamuuliza kuna nini mpaka aseme hivyo kwani baba yake anataka oa mwanamke mwingine huo mwaka 2025? Akasema no angalia picha mama tunamaanisha mheshimiwa. Nikachoka sana... Jamaa yangu amepatwa na nini huyu?zamani alikuwa critical thinker sasa amekuwa boza kabisa.

Tukamuunga kwenye group letu la chuo mwaka 2005. Mambo anayopost. Utasikitika na kusikitikia wazazi wake. Jamaa amepatwa na nini?mpaka anavaa tshirt na kofia? Kabikiziwa akili za kuvukia barabara na kuvalia tu nguo.
Zitto Kabwe kila mtu anamshangaa, si wewe tu.
 
Back
Top Bottom