Wakati tunasoma naye Chuo alikuwa na akili, lakini sasa nimekuja kutana naye.... Inasikitisha.

Mku mbona kama umepaniki? Yeye mhusika wala hakupaniki. Why kama hili suala limekuwa too personal kwako?just relax mku. Mambo ya kawaida haya usiwe na ghadhabu za haraka haraka.
Hayo ni mawazo yako,hakuna aliyepaniki ila kufuatilia personal life ya mtu,mpaka kuja kumfungulia Uzi JF sio jambo la kufanywa na mtu anayejitambua.
 
Watu kama hawa huwa wanaathiri wenzao sana kisaikolojia! We pita na hamsini zako mambo ya imekuaje imekuaje hayo ni maisha binafsi ya mtu
 
Hayo ni mawazo yako,hakuna aliyepaniki ila kufuatilia personal life ya mtu,mpaka kuja kumfungulia Uzi JF sio jambo la kufanywa na mtu anayejitambua.
Mku mbona kama umepaniki? Yeye mhusika wala hakupaniki. Why kama hili suala limekuwa too personal kwako?just relax mku. Mambo ya kawaida haya usiwe na ghadhabu za haraka haraka.
 
Watu kama hawa huwa wanaathiri wenzao sana kisaikolojia! We pita na hamsini zako mambo ya imekuaje imekuaje hayo ni maisha binafsi ya mtu
Mku mbona kama umepaniki? Yeye mhusika wala hakupaniki. Why kama hili suala limekuwa too personal kwako?just relax mku. Mambo ya kawaida haya usiwe na ghadhabu za haraka haraka.
 
Kwa kuficha jina umeua story na kuifanya iwe umbea mwanangu. Weka jina hata kama ni Mohamed Mchengerwa.
 

Sasa kama ulikuwa na nyodo , matambo na kujiona umejiyapatia maisha kwa nini wadau wasio na mshipa wa aibu wasikutwange
 
Akili ya darasani inahusianaje na akili ya kuishi mtaani?

Live your life bro, Acha kufuatilia maisha ya watu, hupati faida yeyote.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…