Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ngoja tuone kitita cha leoCcm inachezea sana wafanyakazi wa nchi hii
Kwamba Wafanyakazi hawatakiwi kupandishiwa mshahara?Mishahara kupanda kila mei mosi haiko sustainable. Hilo haliwezekani, anayesema otherwise anaamua tu kupotosha watu kwa maslahi yake.
Na gharama za maisha kupanda kila siku hiyo unaipa jina gani mtaalamu wa uchumi????ππππMishahara kupanda kila mei mosi haiko sustainable. Hilo haliwezekani, anayesema otherwise anaamua tu kupotosha watu kwa maslahi yake.
Unaambiwa gharama kupanda "siyo suistanable' Wasomi bhana !Na gharama za maisha kupanda kila siku hiyo unaipa jina gani mtaalamu wa uchumi????ππππ
Nchi hii kuna wasomi au kuna watu waliokariri tu notice?Unaambiwa gharama kupanda "siyo suistanable' Wasomi bhana !
Nani sio wa kuhurumia Tanzania hii ? Apart from wanasiasa ofcourse wanaokula zaidi ya urefu wa kamba zao....Hakika Wafanyakazi wa Tanzania ni wa kuhurumiwa mno!
Wanatakiwa kwa kufuata annual increment za kila mwaka kwenye salary scale zao na kwa kupandiswa madaraja muda ukifika. Hii haihitaji watu kuombaomba kila mwaka.Kwamba Wafanyakazi hawatakiwi kupandishiwa mshahara?
Annual increment zipo kwa ajili hiyo.Na gharama za maisha kupanda kila siku hiyo unaipa jina gani mtaalamu wa uchumi????ππππ
Yametimia !Nyongeza hamna lazima wapigwe porojo tu
Unajua annual increments huwa zinakuwa kiasi gani? Na je, huwa zinaringana na life expense increments?Annual increment zipo kwa ajili hiyo.
Mtaalamu wa uchumi hebu tuambie maana ya annual incrementAnnual increment zipo kwa ajili hiyo.
Kwa hiyo zile ahadi anazotoaga Rais kwenye mei mosi kuwa atapandisha mishahara unathibitisha kuwa ni porojo tu?Wanatakiwa kwa kufuata annual increment za kila mwaka kwenye salary scale zao na kwa kupandiswa madaraja muda ukifika. Hii haihitaji watu kuombaomba kila mwaka.
Swali KuntuKwa hiyo zile ahadi anazotoaga Rais kwenye mei mosi kuwa atapandisha mishahara unathibitisha kuwa ni porojo tu?
Si umeona ameingia mitini safari hii, ile 'pakeji' imeyeyuka.Kwa hiyo zile ahadi anazotoaga Rais kwenye mei mosi kuwa atapandisha mishahara unathibitisha kuwa ni porojo tu?
Wafanyakazi wa Tanzania walipogundua hakuna jipya wakaamua kuuchapaSi umeona ameingia mitini safari hii, ile 'pakeji' imeyeyuka.