Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Timu ya soka ya taifa ya Uganda wamefanikiwa kuingia kwenye fainali za AFCON mwaka 2O17 baada ya kuifunga Comoros 1-O, mara ya mwisho Uganda kushiriki fainali hizo ilikuwa ni mwaka 1978
Sisi Tanzania TFF wapo busy kuwafungia wasemaji wa timu badala ya kuwekeza kwenye soka. Hii ndio Tanzania siasa mbele vitendo nyuma
Sisi Tanzania TFF wapo busy kuwafungia wasemaji wa timu badala ya kuwekeza kwenye soka. Hii ndio Tanzania siasa mbele vitendo nyuma