Wakati Uingereza wanashinikiza Waziri Mkuu wao ajiuzulu, sisi hapa Tanzani, Polisi anamchoma sindano mfanyabiashara na kumuua tumekaa kimya!

Wakati Uingereza wanashinikiza Waziri Mkuu wao ajiuzulu, sisi hapa Tanzani, Polisi anamchoma sindano mfanyabiashara na kumuua tumekaa kimya!

Inasikitisha sana !! Mchoma sindano ameharibu career yake kizembe sana !!
Hata Uvccm wakati wanasema kuwa watamchoma Lissu sindano za sumu walikuwa hawatanii.
 
Itoshe tu kusema "sisi watanzania ni mapopoma", watatuburuza saana hawa kenge, sababu sisi hatujitambui wala hatuna nia ya dhati kujikomboa toka kwenye udhalimu.
Tanzania ni mtoto wa haramu na dhulma, hakuna jema litokanalo na haramu. Mlidhani roho zile za 1964 ndio ingekuwa basi hamna kitu kama hicho. Kinachokosekana na uzalendo wa kitanzania ambao ni illusion ya Nyerere tuu. Ingekuwa Tanganyika na Zanzibar ungeweza kuwa na normal national sense.

Ni hayo tuu kwa sasa 😉
 
Tanzania ni mtoto wa haramu na dhulma, hakuna jema litokanalo na haramu. Mlidhani roho zile za 1964 ndio ingekuwa basi hamna kitu kama hicho. Kinachokosekana na uzalendo wa kitanzania ambao ni illusion ya Nyerere tuu. Ingekuwa Tanganyika na Zanzibar ungeweza kuwa na normal national sense.

Ni hayo tuu kwa sasa 😉
Umeongea jambo zito chief, hii tabu imeanzia mbali ni kama laana vile kwa tukio lile la 64.
 
Analetwa tu Muroto anachimba biti wote wananywea.
Wengi wanaosema watanzania Ni waoga, sababu kubwa Ni kwamba hao watanzania Ni aidha wamekataa kutumika kwao au hawawatumikii upande wao.

Happy watanzania waoga lakini juzi tumeona machinga wa Karume wamwandamana na kuweka magogo barabarani kudai haki zao.

Sasa wafuasi wa mbowe wao wanataka watu waandamane eti kwakuwa mbowe kakamatwa. Upuuzi mtupu
 
Watanzania wengi waoga na wanafiki,japo maandamano sio jibu la tatizo.
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Sisi CCM imetujaza ujinga mtupu
 
Wengi wanaosema watanzania Ni waoga, sababu kubwa Ni kwamba hao watanzania Ni aidha wamekataa kutumika kwao au hawawatumikii upande wao.

Happy watanzania waoga lakini juzi tumeona machinga wa Karume wamwandamana na kuweka magogo barabarani kudai haki zao.

Sasa mbuzi wa mbowe wao wanataka rti watu waandamane eti kwakuwa mbowe kakamatwa. Upuuzi mtupu
Kuuliwa raia ni Mbowe aliuwawa huko Mtwara? shame on you
 
Wengi wanaosema watanzania Ni waoga, sababu kubwa Ni kwamba hao watanzania Ni aidha wamekataa kutumika kwao au hawawatumikii upande wao.

Happy watanzania waoga lakini juzi tumeona machinga wa Karume wamwandamana na kuweka magogo barabarani kudai haki zao.

Sasa mbuzi wa mbowe wao wanataka rti watu waandamane eti kwakuwa mbowe kakamatwa. Upuuzi mtupu
Siku akiuliwa mumeo usije hapa
 
Uingereza mpaka kufika hapo wametumia zaidi ya miaka mia mbili tangu ustaarab uanze kabla ya hapo mtu pekee aliyekua akiogopwa ni Papa na mfalme. Na hata wananchi wana elimu, wanajua kipi sahihi kipi sicho.

Sisi tuna miaka mingapi tangu uhuru (ndo ustaarab wetu) jirani yangu kaleta mdada wa kazi ana miaka 18, huyu mdada wa kazi hajui kusoma na kuandika.

Itachukua muda.
Hili swala la MADADA wa kazi ndani serikali inabidi ipige marufuku kabisa au iweke UTARATIBU maalumu wa Kisheria hii ni MODERN SLAVE kabisa japo kuwa hata sisi wengine tumetoka kwenye nyumba zenye MADADA wa kazi ndani lkn hili swala sio, kabisa hasa katika mazingira ya TANZANIA asilimia mia kubwa waajiri wengi wana take advantage kwa umasikini wao au uhitaji wao wa kazi lkn treatment wanazopata au wanayopitia ni mambo magumu sn.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
Hili swala la MADADA wa kazi ndani serikali inabidi ipige marufuku kabisa au iweke UTARATIBU maalumu wa Kisheria hii ni MODERN SLAVE kabisa japo kuwa hata sisi wengine tumetoka kwenye nyumba zenye MADADA wa kazi ndani lkn hili swala sio, kabisa hasa katika mazingira ya TANZANIA asilimia mia kubwa waajiri wengi wana take advantage kwa umasikini wao au uhitaji wao wa kazi lkn treatment wanazopata au wanayopitia ni mambo magumu sn.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Nimewahi kusoma stori za watu wanaotreat wadada hivyo ila siamini kama jirani yangu yupo hivyo
 
Kwa hiyo ulitaka na sisi tuandamane ili huyo askari ajiuzulu?
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Wewe ndio umelogwa, unataka nani ajiuzuru sasa? na watenda uhalifu si wamekamatwa na wako mahakamani!! au unawashwawashwa?
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Tanzania imejaa raia wasiotambua haki zao, ndio maana kutokana na elimu mbovu wanayoipata utakuta kutwa kuna mijitu inakesha kumsifia Rais kwa kutumia vizuri pesa za walipa kodi wa ndani na nje ya nchi, badala ya kuwapongeza walipaji wa hizo kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Tumekaa kimya na nani kama inakuuma si uende barabarani beba bango ukiongozana na mkeo na wanao, mambo ya Uingereza wapi na wapi na mambo ya huku kwetu.
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Swali langu sindano ya sumu nani alimpa? Je Polisi wanamiliki sindano za sumu za kuua watu kwa idhini ya Nani?...

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Ni jambo la kushangaza Sana, wakati wananchi wa Uingereza wakiandamana na kushinikiza Waziri Mkuu wao, Boris Johnson, ajiuzulu kwa ajili tu ya wafanyakazi wa Ikulu walifanya karamu wakati wa corona, hapa kwetu nchini, imedaiwa kuwa Askari Polisi amemchoma sindano ya sumu, mfanyibiashara, wa madini Musa Hamisi na kumwuua na maiti yake kuitosa Baharini na wakampora fedha yake shilingi milioni 60!

Ni tukio la kinyama mno na halifikiriki kuwa lingeweza kutekelezwa na watanzania wenzetu.

Wakati huko Uingereza wananchi wa huko wanafanya maandamano makubwa ya kumshinikiza Waziri wao mkuu ajiuzulu mara moja kutokana na kitendo hicho cha wafanyakazi wake wa Ikulu kuandaa karamu wakati wa corona.

Sisi watanzania tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida, wala hatustuki, utadhani kuwa hakuna tukio kubwa lililotokea hapa nchini!

Najiuliza hivi watanzania tumelogwa na nani, ambaye ametufanya tusijielewe na kuchukua hatua mara moja?
Kwani police watanzania mshahara wake bei gani.Mana police wetu wana tamaa kichiz
 
Back
Top Bottom