Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amevunjika vunjika zile movie zake alikua anaumia kweli baadhi ya ma-producer wanaogopa kufanya nae kazi kwa sababu hiobado yupo fit
Ondoa filterWale wahenga wenzangu mtakuwa mnamkumbuka huyu mwamba coz alitupa burudani wakati wa utoto wetu!Huu ndiyo muonekano wake wa sasa akiwa na umri wa miaka 70! Wakati ni ukuta!
View attachment 3116796
Kampuni za bima zikawa hazitaki akate bima kwao,maana kuumia uhakikAmevunjika vunjika zile movie zake alikua anaumia kweli baadhi ya ma-producer wanaogopa kufanya nae kazi kwa sababu hio
Ameumia sana kuna ile movie anaruka ghorofa moja kwenda ghorofa jingine pamoja na kuveshwa maogo ili asivunjike ila alivunjikaKampuni za bima zikawa hazitaki akate bima kwao,maana kuumia uhakik
Mwamba pilika nyingi sanaAmeumia sana kuna ile movie anaruka ghorofa moja kwenda ghorofa jingine pamoja na kuveshwa maogo ili asivunjike ila alivunjikaView attachment 3116824
Scandal wanazo watoto wake mtoto wake wa kiume ni mla unga mzuri sanaYuko vizuri sana japo najua filter imetembea ila najua yuko vizuri
Pamoja na utajiri mkubwa alio nao hana scandal za hovyo kama pdidy na mastar wengine hasa blacks
Sasa huyo ni mtoto sio yeyeScandal wanazo watoto wake mtoto wake wa kiume ni mla unga mzuri sanaView attachment 3116826
Sura ya under 20 kabisa hii.Wale wahenga wenzangu mtakuwa mnamkumbuka huyu mwamba coz alitupa burudani wakati wa utoto wetu!Huu ndiyo muonekano wake wa sasa akiwa na umri wa miaka 70! Wakati ni ukuta!
View attachment 3116796
Sasa hiyo scandal inamhusu vipi The Legend?Scandal wanazo watoto wake mtoto wake wa kiume ni mla unga mzuri sanaView attachment 3116826