Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliwaambia watoto wake na wao watafute vya kwao maana yeye alipambana kuvisaka alivyonavyo wasibweteke kwa sababu Baba ni starSasa hiyo scandal inamhusu vipi The Legend?
No filterHiyo ni filter bwana..kazeeka sahivi
Mwamba alijua kutuweka busy
Kosa lipo wapi japo? Aliealea vyema, akawasomesha vizuri, kuna kosa gani kuwaambie wakatafute vyao ikiwa aliwapatia misingi yote muhimu?Aliwaambia watoto wake na wao watafute vya kwao maana yeye alipambana kuvisaka alivyonavyo wasibweteke kwa sababu Baba ni starView attachment 3116869
Aliwaambia hivyo baada ya kuona wanabweteka na utajiri wa BabaKosa lipo wapi japo? Aliealea vyema, akawasomesha vizuri, kuna kosa gani kuwaambie wakatafute vyao ikiwa aliwapatia misingi yote muhimu?
Safi sana, tena alisema kama ni watoto wake kweli hawatashindwa kujitafutiaAliwaambia hivyo baada ya kuona wanabweteka na utajiri wa BabaView attachment 3116892
Wale wahenga wenzangu mtakuwa mnamkumbuka huyu mwamba coz alitupa burudani wakati wa utoto wetu!Huu ndiyo muonekano wake wa sasa akiwa na umri wa miaka 70! Wakati ni ukuta!
View attachment 3116796
Daaaa yakwako mwenyewe hayo auKampuni za bima zikawa hazitaki akate bima kwao,maana kuumia uhakik
Vibaya sanaBila shaka na mkono bado anaweza kutembeza vizuri tu
Pamoja na uzee Bado at 70 ana muonekano mzuri na wenye Afya.Wale wahenga wenzangu mtakuwa mnamkumbuka huyu mwamba coz alitupa burudani wakati wa utoto wetu!Huu ndiyo muonekano wake wa sasa akiwa na umri wa miaka 70! Wakati ni ukuta!
View attachment 3116796
UkweliDaaaa yakwako mwenyewe hayo au
Akili za kijinga hizoSafi sana, tena alisema kama ni watoto wake kweli hawatashindwa kujitafutia
Mtoto wake ni mmoja wa kiume na mwingine wa kike wa kufikia kibongo tunaita mtoto wa kambo, ana watoto wawili tuSafi sana, tena alisema kama ni watoto wake kweli hawatashindwa kujitafutia
Mazoezi muhimu jamani tuache kula pizza na burger.Wale wahenga wenzangu mtakuwa mnamkumbuka huyu mwamba coz alitupa burudani wakati wa utoto wetu!Huu ndiyo muonekano wake wa sasa akiwa na umri wa miaka 70! Wakati ni ukuta!
View attachment 3116796
Pamoja na uzee Bado at 70 ana muonekano mzuri na wenye Afya.
Hata wewe utafika mwisho
Na kuzaazaa ovyoMazoezi muhimu jamani tuache kula pizza na burger.
Kwani kuzA ovyo kunazeeshajeNa kuzaazaa ovyoView attachment 3116910