WAKATI UKUTA! Wacheza filamu za Kibabe wa zamani walivyo hivi sasa

Dah Nimecheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
saiv unaishi wapi kwani?
 
Enzi za kina power mabula (jitu la miraba minne kina power bernardo( tai kichaa )kina power iranda na power mwanza miaka yetu wahenga hiyo basi ikatokea pana mmoja akaamua kumtumikia muumba wake ni jambo jema sana hilo. Nguvu ni kitu cha kwisha leo hii hata uwezo wa kufungua kurasa ya biblia hana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…