WAKATI UKUTA! Wacheza filamu za Kibabe wa zamani walivyo hivi sasa

Hivi siku hizi kuna movie za kivita kweli kama zile za enzi zetu...Unakuta pale Eastern Condours pale Missing in Action, Delta Force, America Ninja, Fifty Fifty, President Man...
Hakuna movie za namna hiyo, siku hizi mambo ya animation, 3D yameshusha kiwango cha utamu wa movies.
 
Pakiandikwa usiku pilau sio uende na ndizi ilikuwa mambo yale hakuna fix kila kitu cha kweli.
 
Huwezi pingana na muda na aging pia.Wote ndo njia yetu iwapo ukibahatika kuishi muda mrefu hapa duniani
 

Siku hizi ni jambo la kawaida kumkuta kijana wa kiume kajikunyata na Dada zake sitting room anaangalia tamthilia za ki philipino za story za maigizo ya Mapenzi Kyoto wa kiume anatoa chozi na kila tamthilia haikosi character moja kuwa choko! Dunia inakaribia kufika Ubungo Bus terminal tushuke wote!
 
We jamaa umeniua yeuwiiiiiiiiiiiie mbavu zangu jaman auwiiiiiiiiiiie
 
hahaha maskini....
 

Ha haaa...dah bro atakua amehuzunika sana yaani amerudi kuwa mnyonge tena...maisha haya si ya kuyatambia hata kidogo
 
Yupo Pawa Masikaga Mbeya kule walikuwa wanabeba mifuko ya cement aka sument hadi mitano at a go miaka hiyo leo zimebaki story tu, chezea ujana fainali uzeeni
 
editing hizo...tena zipo application kule playsore ambazo waweza kumzeesha mtu
 
nakumbuka enzi hizo kuangalia pilau kwenye vibanda umiza ilikua n kuanzia saa mbl usiku,mwenyekiti wa kijiji ndio alikua anasimama mlangoni akikagua ndevu kama huna hauingii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…