Hakuna movie za namna hiyo, siku hizi mambo ya animation, 3D yameshusha kiwango cha utamu wa movies.Hivi siku hizi kuna movie za kivita kweli kama zile za enzi zetu...Unakuta pale Eastern Condours pale Missing in Action, Delta Force, America Ninja, Fifty Fifty, President Man...
Pakiandikwa usiku pilau sio uende na ndizi ilikuwa mambo yale hakuna fix kila kitu cha kweli.mkuu,mie nimeanza kuzicheki pale tandale chama tangu the late 90s kwenda 2000s!halafu tunacheki mapicha,ikifika mida ya saa tatu usiku linawekwa "pilau" mpaka liamba!
Ni kitambo mkuu,kama umekulia uswazi hivi ni vitu vya kawaida kwa sie tulio kulia uswazi!!
Wale wakaka ni atar ukiongeza na wale wadada bla kuwasahau wale madogo na mzee wa sigara bila kumsahau ankooNdio movie iliyomtoa Samo hung...
Ongeza na blood sportHivi siku hizi kuna movie za kivita kweli kama zile za enzi zetu...Unakuta pale Eastern Condours pale Missing in Action, Delta Force, America Ninja, Fifty Fifty, President Man...
ahahaha,asante mkuuPakiandikwa usiku pilau sio uende na ndizi ilikuwa mambo yale hakuna fix kila kitu cha kweli.
Siku hizi hakuna movie za kibabe. Ni makompyuta tu meengi na upuuzi wa aina hiyo. Eti starring mkali wa kukimbiza gari na pikipiki! Zamani starring ni mkono kwenda mbele lazima awe mtu wa martial arts, mbavu nene, na mkatili fulani hv. Ndio maana enzi hizo akitoa Rambo wote mnaitafuta, akitoa Damme, Arnold ni gumzo mtaani.
Kua uyaone......Mkuu una fix hahahaaaa
We jamaa umeniua yeuwiiiiiiiiiiiie mbavu zangu jaman auwiiiiiiiiiiieSiku hizi ni jambo la kawaida kumkuta kijana wa kiume kajikunyata na Dada zake sitting room anaangalia tamthilia za ki philipino za story za maigizo ya Mapenzi Kyoto wa kiume anatoa chozi na kila tamthilia haikosi character moja kuwa choko! Dunia inakaribia kufika Ubungo Bus terminal tushuke wote!
hahaha maskini....Nguvu kitu cha kwisha mitaa ya kati tulikuwa na brother wetu mbavu nene kifua jumba sasa hakujua kama waqt hupita kuna siku kauvamia mfuko wa cement(dongo ulaya)kila akitaka kuunyanyua unarudi kila akikukuruka unarudi akabaki anautizama tukaenda kumsaidia tukakuta chozi linamtoka akasema enzi zangu mie sasa nimebaki django jina tu sio yule django mwenyewe.
aminaTumsifuni Yesu kristu
Yaah!ulikuwa ukimwita brother django anakwambia django limebaki jina tu mpaka ikawa ubini wake DJANGO JINA.hahaha maskini....
Nguvu kitu cha kwisha mitaa ya kati tulikuwa na brother wetu mbavu nene kifua jumba sasa hakujua kama waqt hupita kuna siku kauvamia mfuko wa cement(dongo ulaya)kila akitaka kuunyanyua unarudi kila akikukuruka unarudi akabaki anautizama tukaenda kumsaidia tukakuta chozi linamtoka akasema enzi zangu mie sasa nimebaki django jina tu sio yule django mwenyewe.
mimi nilianza kuangalia 2004 kiingilia ilikua n shilingi 20Hivi hizi movie zilizotafsiliwa zimeanza lini kwani maana mimi nimeanza kuzifahamu kama 2009 baada ya kuona watoto wananunua sana....