screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima ucheke kwa hayo maneno yake kwenye kutafsiriR.i.p Kanali Mstaafu Derick Lufufu Mkandala Bila Wewe Picha Zote Walizo zitaja Wadau Hapo Juu Zisinge Noga...Bila Wewe Nani Angejua Kuwa:
a)Mguu wa Kuku-bastola
b)Mwani=risasi(mwani ni buni kwa kihaya)
c)mgele=mtama
d)marwa=pombe
e)mbaliga=matege
f)kukimbia kimbaliga mbaliga uku mbaliga zikiangalia kisogo=kukimbia haraka uku miguu ikugusa kisogo
g)nyumanju=nyuma ya nyumba
i)viazi=mabomu ya kurushwa na mikoo
j)
ahahaha,lufufu alikuwa noma!
Mungu Ampe Maisha Nikutane Mbinguni Hili Tuendelee Kutasfiri Muvi!
View attachment 342181 View attachment 342182 View attachment 342183 View attachment 342184 View attachment 342185
Wale watu wazima wenzagu, enzi hizo hakuna cha "Isidingo The Need" wala sijui Tamthilia za Kifilipino. Ilikuwa ni "mikanda" ya ngumi na ile ya kivita. Vurumai za makomandoo na vita vya Wavietnam na USA.
Huwezi kuongelea "mikanda" ya ngumi bila kumtaja Rambo, Bolo Yang(You are Next) na kina Rambo. Hawa jamaa walitisha sana,l akini leo hii ndio hali yao.
Ndio kwanza Nina miezi kazaa baada ya kuzaliwa duh shikamoo babuHuyu jamaa movie yake ya striker kwa Mara ya kwanza niliiona 1994 , naipenda mpk kesho
Usitishike mkuu, Awali I'd ya the businessman ilikuwa ina jina la Mwanga lutila nikaja nikabadilisha ikawa hiyo the businessmen. Baada ya kula ban ya mwezi mzima nikairudisha I'd ya Mwanga lutila.Kwenye Huu Uzi nimegundua Mwanga Lutila na The Businessman ni same person katika majibizano na NEXTLEVEL kama page ya sita post ya 111, 113 na 114.
Cc Moderator Bridger Invisible
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee nimecheka kwa sautiSiku hizi ni jambo la kawaida kumkuta kijana wa kiume kajikunyata na Dada zake sitting room anaangalia tamthilia za ki philipino za story za maigizo ya Mapenzi Kyoto wa kiume anatoa chozi na kila tamthilia haikosi character moja kuwa choko! Dunia inakaribia kufika Ubungo Bus terminal tushuke wote!
Bado yumo
Mumbai Uyu jamaa noma shah Rukh Khan second richest actor in the world![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mkuu unenikumbusha mbali sana !!!
Bridge of Dragons akiwa na Carl Hiroyuki Tagawa;Showdown in Little Tokyo akiwa na Brandon Lee na Tagawa hapa akaongezeka mwehu mmoja anaitwa Toshishiro Obata ebanaeeeeh daaaah maisha yako kasi sana......jamani nilikua nampenda Dolf aiseee ndio kawa hivyooo ila jamaaa alikua handsome ile movie yake ya scorpion au ile yupo na tagawa aaaarggghh mpaka roho inaniuma
"Double Impact" Bollo anamtupia mnyama Damme Pipa la mafuta mwanaume analirudisha lilikotoka kwa mguu tena mmoja......Umenikumbusha Bolo Yeung, movie aliyocheza na Van Damme inaitwa 'Blood Sport". Nimeangalia tena juzi, wala sikuchoka kuiangalia. Kweli kila zama na kitabu chake