Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakumbuka mara ya kwanza kununua friji ilikuwa siku nzuri sana kwangu kaduka kangu kadogo kakiwa ndio kanashamiri mtaani nikaamua kununua friji ili kuuza vinywaji baridi basi baada ya kuingiza dukani usiku mtu yeyote akiwa hajui nikafungua mlango wa friji nikaiwasha ili inipe ubaridi na joto la dar kumbuka nilikuwa nalala dukani basi kulipokucha asubuhi kafriji kameharibika na hakapozi tena nikaishia kusumbuana na mafundi
Ahaaaaaaaa ahaaaaa kweli ushamba mzigo.Aise kuna kijana alipofika town alikuwa akisalimia kila mtu yaani nilikuwa nasikia zinatoka kwa mkupuo kufuatana na vichwa anavyoviona shikamo....shikamo....shikamoo...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Wamenyuti wao wanasubiri thread za matatizo ya nguvu za kiume ndiyo wanazipenda.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Aise kuna kijana alipofika town alikuwa akisalimia kila mtu yaani nilikuwa nasikia zinatoka kwa mkupuo kufuatana na vichwa anavyoviona shikamo....shikamo....shikamoo...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me nilivyokuwa mdogo nikiingia kwny maduka ya nguo hata yale masanamu yanayovalishwa nguo nilikuwa nayasalimiaga[emoji38] [emoji38]