Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Mimi kati ya vitu ambavyo sitosahau ni pale nilipoenda mji mmoja hivi hapa nchini sasa bhana nikahisi barafu ni muwa nikanunua zile za kwenye kijiti badala ya kulamba mwenzio nikang'ata nusu yake nikajaribu kutafuna bhana weeee nilichokipata mwenyewe najua.
Nilishindwa kutema nikashindwa kumeza, nikasema nikitema askari alikuwa mbele yangu angesema nachafua mazingira.
Sikuwa na hamu na barafu tena hicho ndo kitu nakumbuka niliingia mjini kwa mara ya kwanza nilifanya.
(Ngumu kutafuna usiimeze haraka)
Na wewe sema nini kilikutokea
Nilishindwa kutema nikashindwa kumeza, nikasema nikitema askari alikuwa mbele yangu angesema nachafua mazingira.
Sikuwa na hamu na barafu tena hicho ndo kitu nakumbuka niliingia mjini kwa mara ya kwanza nilifanya.
(Ngumu kutafuna usiimeze haraka)
Na wewe sema nini kilikutokea