Wakati unaingia mjini kitu gani ulifanya na hutosahau?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aise kuna kijana alipofika town alikuwa akisalimia kila mtu yaani nilikuwa nasikia zinatoka kwa mkupuo kufuatana na vichwa anavyoviona shikamo....shikamo....shikamoo...
Kijana wap bana sema ukwel, sio ww mwenyewe
 
Nakumbuka Posta nlikutana na maulid kitenge nkamuuliza hivi nshakuonaga wapi?tabora eeh?akajibu labda kwenye tv......nkasema ooookeeey
 
Ktk mizunguko niko na mwenyeji wangu tukawa tunaingianyumba moja ina gate kali. Mara kwa nje naona switch, nikasema yaani hawa washamba kweli wanawekaje switch ya taa nje ya nyumba, alinicheka kweli. Kumbe kengere bhana. Huwa nikikumbuka najiona kweli mi msukuma wa kuja tu mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…