[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna Siku nilipanda chai maharage( daladala, mwaka 1995) kwenda kariakoo wakati wakurudi nilikaa kituoni kuisubilia gari hiyo hiyo mpaka ilipotokea tena.nilijua daladala inayotoka eneo hilo ni hiyo moja tu.kipindi hicho zilikuwa hazijaandikwa zinapokwenda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakumbuka mara ya kwanza kununua friji ilikuwa siku nzuri sana kwangu kaduka kangu kadogo kakiwa ndio kanashamiri mtaani nikaamua kununua friji ili kuuza vinywaji baridi basi baada ya kuingiza dukani usiku mtu yeyote akiwa hajui nikafungua mlango wa friji nikaiwasha ili inipe ubaridi na joto la dar kumbuka nilikuwa nalala dukani basi kulipokucha asubuhi kafriji kameharibika na hakapozi tena nikaishia kusumbuana na mafundi
Kijana wap bana sema ukwel, sio ww mwenyeweAise kuna kijana alipofika town alikuwa akisalimia kila mtu yaani nilikuwa nasikia zinatoka kwa mkupuo kufuatana na vichwa anavyoviona shikamo....shikamo....shikamoo...
Hii mazee noma sanaAise kuna kijana alipofika town alikuwa akisalimia kila mtu yaani nilikuwa nasikia zinatoka kwa mkupuo kufuatana na vichwa anavyoviona shikamo....shikamo....shikamoo...