Wakati wa kufanya mapenzi ni kero gani huwa unakutana nayo?

Wakati wa kufanya mapenzi ni kero gani huwa unakutana nayo?

Harufu ya Ngo'nda isikie kwa jirani! Hivi wale samaki hua wanatoka wapi?? Maana Dar Es Salaam hawapo na kuna Bahari,lakini nenda Lindi na Mtwara Ngo'nda wapo! Wana harufu kali mno wale samaki jamani! Harufu ya mbunye hua inatoa watu kwenye stimu kabisa,unaweza kua una ugwadu wa miaka 5,lakini ile harufu tu,hua inatutoa kwenye race

Sent using Jamii Forums mobile app
Harufu ya ng'onda inasababishwa na wanaume wanaopaka mate kwenye mbususu. mate yana wadudu kibao. mbususu haitaki kupakwa mate ina kilainishi chake cha asili.
 
Harufu ya ng'onda inasababishwa na wanaume wanaopaka mate kwenye mbususu. mate yana wadudu kibao. mbususu haitaki kupakwa mate ina kilainishi chake cha asili.

Hapana mkuu mate sio sababu kuna watu wananyonywa mbususu 9+ na haijawi kunuka.. me nadhani ni fangasi + suala la usafi mkuu
Muda mwingine unakuja mwanamama anabadili wanaume sana inapelekea pia … sperm za kila aina within a week iyo mbususu labda uioshwe na jiki
 
..hivi demu kunuka mavi Kwa mku.ndu inakuwaje kero! Hivi anuke wapi hayo mavi? Ebu tuanzie hapo ..
S'tyms cio poo yenyewe ila ni jasho kali linalotiririka kwenye ule mfereji sasa km dem hakujiswafi vizuri unakuta jasho linachanganyika na harufu asili ya hapo nyuma ndo inazaa hiyo harufu nzito kama poo.

Hii ipo sana kwa mabonge. kiujumla ukiona una mpambano hlf dem hataki kujiosha huko chini basi usishangae hizo harufu za ajabuajabu. dem yoyote smart lazima atakuomba akanawe kwanza.
 
Wakati uko bize na maandalizi ya kugegeda, Demu anaanza maswali eti mbona hujanyoa ndevu?, Midevu kama Osama!. Au anatumia muda huo kuomba fedha ili akasuke.

Badala ya kujikita kwenye kutoa ushirikiano wa maandalizi ya mgegedo wao wanatumia muda huo kwa mambo mengine.
Ukiona hivyo ujue hata wewe hujajua mahali pankumshika/kumchezea akachanganyikiwa na kusahau madai hayo
 
ule mgando mgando unaotoka wakati wa tendo na wanawake vibonge(wanavibonge).
 
Back
Top Bottom