Wakati wa kufanya mapenzi ni kero gani huwa unakutana nayo?

Mkuu hebu nipe ujuzi na je chanzo chake ni nini?, kuna mmoja nishawahi kutoka naye akawa na hiyo alama ya kupauka huko, halafu pia mbususu yake ilikuwa inatoa harufu yaani tofauti na kawaida yake.
Fungus
 
Harufu ya ng'onda inasababishwa na wanaume wanaopaka mate kwenye mbususu. mate yana wadudu kibao. mbususu haitaki kupakwa mate ina kilainishi chake cha asili.
 
Harufu ya ng'onda inasababishwa na wanaume wanaopaka mate kwenye mbususu. mate yana wadudu kibao. mbususu haitaki kupakwa mate ina kilainishi chake cha asili.

Hapana mkuu mate sio sababu kuna watu wananyonywa mbususu 9+ na haijawi kunuka.. me nadhani ni fangasi + suala la usafi mkuu
Muda mwingine unakuja mwanamama anabadili wanaume sana inapelekea pia … sperm za kila aina within a week iyo mbususu labda uioshwe na jiki
 
..hivi demu kunuka mavi Kwa mku.ndu inakuwaje kero! Hivi anuke wapi hayo mavi? Ebu tuanzie hapo ..
S'tyms cio poo yenyewe ila ni jasho kali linalotiririka kwenye ule mfereji sasa km dem hakujiswafi vizuri unakuta jasho linachanganyika na harufu asili ya hapo nyuma ndo inazaa hiyo harufu nzito kama poo.

Hii ipo sana kwa mabonge. kiujumla ukiona una mpambano hlf dem hataki kujiosha huko chini basi usishangae hizo harufu za ajabuajabu. dem yoyote smart lazima atakuomba akanawe kwanza.
 
Ukiona hivyo ujue hata wewe hujajua mahali pankumshika/kumchezea akachanganyikiwa na kusahau madai hayo
 
ule mgando mgando unaotoka wakati wa tendo na wanawake vibonge(wanavibonge).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…