Wakati wa kufanya mapenzi ni kero gani huwa unakutana nayo?

Wakati wa kufanya mapenzi ni kero gani huwa unakutana nayo?

Kero kubwa huwa kabla ya tendo, kuliko kwenye tendo lenyewe. Kuna mizinga ya hela, mizinga ya njaa, mizinga ya vinywaji mara kabla tu ya tendo.

Halafu unakuta mdada anakuja ghetto na anajua appointment inahusu nini. Ila akifika anakaa sitting room kama vile yupo "CLINIC" kwenye mstari, anasubiri Nurse aje amwambia "HAYA ANAEFUATA AINGIE CHUMBANI".

Mdada ukifika ghetto ingia chumbani moja kwa moja, halafu fanya kilichokuleta story baadae.
Uwiiiii
 
Kero nyingine ni pale unapokata mauno kuongeza manjonjo afu li babe kumbe halipendi linakukataza linataka utulie tuli kama gogo! Aargh inakata stimu kinyama😂 na Lingine linang'ata nipples kama litoto linaloanza kuota meno. Atapigwa mtu makonzi😂

Wanawake wengine anaongea saana mpaka anaboa, yaani anakata mauno huku anaongea katoa macho mpaka unahisi hili lina igiza... linakutoa kwenye tendo.
 
Dah! Mi nakereka na kale katabia kakuweka chupi chini ya mto unaendelea kula mbunye kanakuja kaharufu ka mkojo stimu inakata mazima,sasa kuna moja hiyo ilinifunza tabia nikamchukua mrembo mpaka lodge kapendeza haswa kucha za bandia,kope nk, sasa tukarukiana romance hata nguo hatujavua baada ya kama nusu saa hivi nikamwambia my vua nguo nile tunda,chapu kwa upande wangu mimi nikawa nipo uchi sasa na yeye kesha vua kijinsi chake akatoa na chupi baada ya sekunde 30 nilihisi labda chini ya kitanda kuna box la ng'onda nikamwambia baby nimesahau kuchukua kondomu sije tukapeana mimba nipe dk5 nikavaa nguo zangu mazima sikurudi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]. Bila shaka wewe ni wakusini
 
Harufu ya makende na manyoya kuwa na rangi na nyeusi na nyeupe.Bado mdomo kama kagombana na mswaki Bado kikwapa utazani muwindaji kule kwa babu.kila upande una maswahibu yake.Tuvumiliane kwa utakachokutana nacho.
 
Harufu ya makende na manyoya kuwa na rangi na nyeusi na nyeupe.Bado mdomo kama kagombana na mswaki Bado kikwapa utazani muwindaji kule kwa babu.kila upande una maswahibu yake.Tuvumiliane kwa utakachokutana nacho.
Mapenzi uvumilivu au sio mkuu?
 
Back
Top Bottom