#COVID19 Wakati wa Magufuli Corona haikuwepo?

#COVID19 Wakati wa Magufuli Corona haikuwepo?

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Nimetafakari tu maneno ya Gwajima ila nimeamua kukaa kimya kwani leo ni siku ambayo nimewakumbuka. Marine Hassan, Mama Lwakatare, Balozi Mahiga, Joseph Kambangwa, Benard Lowasa, Maalim Seif, Venance Kusekwa, Richard Ndasa, Mr. Shaban (mhasibu ofisi ya M/mkoa Dar), NK.... Korona haipo ni uzushi wa wazungu mbona wakati wa magufuli hakuna aliyekufa?

FB_IMG_1627435122582.jpg


Pia nakumbuka maneno kama "Ni kawaida mwanadamu kuugua vimafua mafua hivi!" Tuliambiwa vimafua mafua hivi hamtumii akili?

FB_IMG_1627435258185.jpg
 
Unaweza kutuorodheshea waliofariki kabla ya ujio wa korona.

Ndani ya muda huo wa walio wafariki kipind cha korona
 
Nimetafakari tu maneno ya Gwajima ila nimeamua kukaa kimya kwani leo ni siku ambayo nimewakumbuka....Marine Hassan, Mama Lwakatare, Balozi Mahiga, Joseph Kambangwa, Benard Lowasa, Maalim Seif, Venance Kusekwa, Richard Ndasa, Mr. Shaban (mhasibu ofisi ya M/mkoa Dar), NK.... Korona haipo ni uzushi wa wazungu mbona wakati wa magufuli hakuna aliyekufa?View attachment 1871059

Pia nakumbuka maneno kama "Ni kawaida mwanadamu kuugua vimafua mafua hivi!" Tuliambiwa vimafua mafua hivi hamtumii akili?
Balozi kijazi pia, infact ata yeye mwenyewe yuko wapi?
 
Corona hamna Tz tuache kutishana kama mmekula pesa za wahisani mwaka huu zitawatokea puani. Hatuvai barakoa na hachanjwi mtu
Hatuzungumzii chanjo hiyo ni kama uzazi wa mpango tu anayetaka anapanga asiyetaka hapangi au anapanga kwa utaratibu wake nje ya ule Rasmi wa Hospitali.
 
Mwl Nyerere, Kawawa, Sokoine, Kambona, Lawrance Gama, DR. Khalid Mtavala, Tunteme Kisanga.... Kwa nyakati zinazopishana sana, Umeelewa?
Yaan huyo ni mpumbavu tu unapoteza mda nae bure.
 
Mjinga ni wewe unayetaka kufanyiwa chanjo ya majaribio ambayo haijafanyiwa utafiti wa kutosha
Wapumbavu bwana ujuaji mwingiii! Kumbe mambumbumbu tu kuchwani, haya nambie Hizo chanjo zingine amabazo zinatumika na hata wewe umechanjwa na umekunywa na umepeleka vitoto vyako na mkeo clinic kuchanja michanjo ya kutosha na midawa ya kunywa ya kutosha kila mara ulisha wahi ambiwa kuwa utafiti wake ulifanyikia wapi?

msiwe wajinga nyie huyo aliye waaminisha hayo asha kufa kwa ubishi na ujuaji wake ndio mamburura wake mmebaki hapa na mawazo yake yakipumbavu.
 
Back
Top Bottom