Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
jf dotors naombani msaada
dada yangu alipata ijauzito lakini mimba ilipokua na wiki mbili ghafle alianza kupata period then alipoenda hospitali akaambiwa mimba imeharibika akasafishwa. baada ya muda alipata tena ujauzito pia hali kama ile ile ya mwanzo ikatokea mimba ikaharibika.baada ya kusafishwa alienda hospitali kufanya chekup na aliambiwa kwamba kizazi kipo sawa na hana tatizo lolote
alienda kwenye hospitali nyingine akafanyiwa vipimo dokta akamwambia kwamba ana kifafa ha mimba ambacho kinasukuma mimba na kusababisha itoke
sasa she is in onfusion haelewi afanye nini, kama kuna wataalamu humu naomba mnijuze haya mabo,au kama kuna mtu anamfahamu dokta yeyote ambaye ni bingwa wa mambo hayo please anijuze nitampataje, na je hili tatizo litatibikaje? nahitaji msaada wenu
dada yangu alipata ijauzito lakini mimba ilipokua na wiki mbili ghafle alianza kupata period then alipoenda hospitali akaambiwa mimba imeharibika akasafishwa. baada ya muda alipata tena ujauzito pia hali kama ile ile ya mwanzo ikatokea mimba ikaharibika.baada ya kusafishwa alienda hospitali kufanya chekup na aliambiwa kwamba kizazi kipo sawa na hana tatizo lolote
alienda kwenye hospitali nyingine akafanyiwa vipimo dokta akamwambia kwamba ana kifafa ha mimba ambacho kinasukuma mimba na kusababisha itoke
sasa she is in onfusion haelewi afanye nini, kama kuna wataalamu humu naomba mnijuze haya mabo,au kama kuna mtu anamfahamu dokta yeyote ambaye ni bingwa wa mambo hayo please anijuze nitampataje, na je hili tatizo litatibikaje? nahitaji msaada wenu