Wakati Waarabu wanaachana na biashara ya Mafuta na kukamata Sekta ya Bandari sisi Tanzania Ndio tumejikita kuuza magari ya Petrol na Diesel!

Aliekwambia waarabu wanaachana na biashara ya mafuta ni nani?
 
Nilishasema kabl mradi wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga kuwa mradi huo ni kuchezea fedha za maskini wa nchi hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…