johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sina hakika kama pale Wizara ya viwanda na biashara kitengo cha Mipango na Maendeleo ya Biashara wanajua kinachoendelea duniani
Cha kushangaza Watanzania wenye mitaji Ndio wamejikita kufanya Biashara zilizopitwa na wakati
Hebu angalia Yadi za kuuza magari ya Petrol na Diesel zilivyojazana hadi vichochoroni kabisa Tandale huko ilhali Ulaya kwa mfano magari hayo yashapigwa Marufuku
Congo Vijana wao walizubaaga hivi hivi 🐼
Jumaa Karim 😄
Cha kushangaza Watanzania wenye mitaji Ndio wamejikita kufanya Biashara zilizopitwa na wakati
Hebu angalia Yadi za kuuza magari ya Petrol na Diesel zilivyojazana hadi vichochoroni kabisa Tandale huko ilhali Ulaya kwa mfano magari hayo yashapigwa Marufuku
Congo Vijana wao walizubaaga hivi hivi 🐼
Jumaa Karim 😄