GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni kweli nakiri kuwa Simba SC tunaongoza kwa Uchawi East Africa ila kuna Timu inaongoza kwa Roho Mbaya, Unafiki na Wivu duniani kote.
Na taarifa iwafikie kuwa hadi sasa Tiketi zote za Tsh 5,000/ zimejsha na Nyomi la Watu 60,000 litakuwepo na upo Uwezekano hata Uwanja wa Uhuru nao ukajaa hadi Pomoni na tukauomba tena na hata Uwanja huo wa Chamazi ambao mtacheza na AS Vita Club na kuweka Screen Kubwa ambayo itawafanya Mashabiki wenu waache kuangalia Wachezaji wenu na wawe Wanaitizama Simba SC.
Na taarifa iwafikie kuwa hadi sasa Tiketi zote za Tsh 5,000/ zimejsha na Nyomi la Watu 60,000 litakuwepo na upo Uwezekano hata Uwanja wa Uhuru nao ukajaa hadi Pomoni na tukauomba tena na hata Uwanja huo wa Chamazi ambao mtacheza na AS Vita Club na kuweka Screen Kubwa ambayo itawafanya Mashabiki wenu waache kuangalia Wachezaji wenu na wawe Wanaitizama Simba SC.