Wakati wana Yanga wakiwacheka wana Simba kwa Kutokufuzu, Mchanganuo huu Muhimu wa Alama unawahusu na wauelewe vyema pia

Wakati wana Yanga wakiwacheka wana Simba kwa Kutokufuzu, Mchanganuo huu Muhimu wa Alama unawahusu na wauelewe vyema pia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ufuatao ni Mchanganuo wa Alama wa kwanini Msimu ujao katika Michuano ya Kimataifa Tanzania inaingiza takribani Timu Nne.

Simba SC imechangia Alama (Points) 24 kutokana na Kushiriki Kwake na Kufanya vyema kwa Kujitahidi Kufika hadi Robo Fainali kwa miaka Miwili.

Namungo FC imechangia Alama (Points) 2.5 kutokana na Ushiriki wake na Mafanikio iliyopata kwa Kufika Makundi Kombe la Shirikisho mwaka huu.

Yanga SC imechangia Alama (Points) 0.5 tu kutokana na Kubahatisha Kushiriki na kupata Mafanikio (Matokeo) mabovu katika Michuano ya Klabu Bingwa Afrika Msimu wa mwaka 2016.

Chanzo: EFM Sports Headquarters.

Si tu kwamba ni Jambo la Kishamba (Kimbwiga) bali pia ni Jambo la Ia Kipumbavu (Kipopoma) Kushangilia Kuanguka (Kutokufuzu) kwa Mtu wakati kumbe huyo huyo 'unayembeza' na 'kumdharau' ndiyo anakubeba kwa ' Mbeleko ' ya Mafanikio yake makubwa Msimu ujao wa Mashindanoni ya Kimataifa.

Leo GENTAMYCINE nimeamini kuwa ni kweli Siku zote Furaha ya Masikini ni ama Kuona au Kusikia Tajiri amekufa au amefilisika au amepatwa na balaa au anachafuliwa na Watesi wake (Maadui zake) akisahau kuwa huenda angekuwa anamuombea Mema Tajiri basi Roho Mtakatifu angemshukia Tajiri na Yeye (Masikini) Kusaidiwa nae na hatimaye Ufukara wake kuwa Historia katika Maisha yake.

Mtu unazidiwa Alama (Points) hata na Namungo FC tu aliyechangia zake 2.5 na Wewe uliyechangia ' Uchafu ' wako wa Alama (Points) 0.5 ndiyo Kutwa unapiga Mikelele na Kushangilia Simba SC kuishia Robo Fainali ya CAF kwa kutolewa kwa ' aggregate ' ya 4 - 3.

Masikini wana (tuna) taabu sana Duniani na ndiyo Shida, Nuksi na Mabalaa hazikai mbali nasi na 24 / 7 Mafanikio tunayasikia (na tutaendelea kuyasikia) tu kwa 'aliyebarikiwa' Simba Sports Club hadi mnune, mpasuke na ikiwezekana mfe tu kabisa Kudadadeki zenu.
 
Sisi maskini ndio tabia zetu kufurahia kuanguka kwa mwenye nacho ila nachokiona katika ligi ya tanzania kama Yanga wasipobadilika kuna uwezekano Simba kudominate sana ligi ya ndani maana kama Simba anampiga Vital Al ahyl Kaizer hakuna timu ya bongo inaweza kumfunga Simba kama hiyo mechi Simba anaitaka si Yanga wala Azam hawawezi kufunga mnyama na kufungwa Simba anaweza kufungwa lkn kuna uwezekano akachukua makombe sana ndani ya bongo.
 
Wewe Popoma acha kuweweseka. Mmetolewa na Kaizer Chiefs. Na siyo Yanga.

Sasa iweje umpangie mtu furaha yake?
Nikikumbuka lile kundi lenu mko na Gormahia, APR, halafu mnashika mkia kwa kuambulia pointi moja, nyie ni wanasesere tu.
 
Kwani 4g si ni kitu cha kawaida kwenu guruguja fc !??..mbona 4 express ya sasa imekuwa inawatia hasira sana?
Wakati mnafanywa hivi ulikuwa bado kwenu mnakolala chumba kimoja na mbuzi ndiyo maana unajiropokea tu.
FB_IMG_1613519164902.jpg
 

Attachments

  • IMG-20200718-WA0002.jpg
    IMG-20200718-WA0002.jpg
    18.5 KB · Views: 1
Hatuna haja ya alama wewe..
Pole kwa kutoka wenyewe tens ni kwa Mkapa
 
Ufuatao ni Mchanganuo wa Alama wa kwanini Msimu ujao katika Michuano ya Kimataifa Tanzania inaingiza takribani Timu Nne.

Simba SC imechangia Alama (Points) 24 kutokana na Kushiriki Kwake na Kufanya vyema kwa Kujitahidi Kufika hadi Robo Fainali kwa miaka Miwili.

Namungo FC imechangia Alama (Points) 2.5 kutokana na Ushiriki wake na Mafanikio iliyopata kwa Kufika Makundi Kombe la Shirikisho mwaka huu.

Yanga SC imechangia Alama (Points) 0.5 tu kutokana na Kubahatisha Kushiriki na kupata Mafanikio (Matokeo) mabovu katika Michuano ya Klabu Bingwa Afrika Msimu wa mwaka 2016.

Chanzo: EFM Sports Headquarters.

Si tu kwamba ni Jambo la Kishamba (Kimbwiga) bali pia ni Jambo la Ia Kipumbavu (Kipopoma) Kushangilia Kuanguka (Kutokufuzu) kwa Mtu wakati kumbe huyo huyo 'unayembeza' na 'kumdharau' ndiyo anakubeba kwa ' Mbeleko ' ya Mafanikio yake makubwa Msimu ujao wa Mashindanoni ya Kimataifa.

Leo GENTAMYCINE nimeamini kuwa ni kweli Siku zote Furaha ya Masikini ni ama Kuona au Kusikia Tajiri amekufa au amefilisika au amepatwa na balaa au anachafuliwa na Watesi wake (Maadui zake) akisahau kuwa huenda angekuwa anamuombea Mema Tajiri basi Roho Mtakatifu angemshukia Tajiri na Yeye (Masikini) Kusaidiwa nae na hatimaye Ufukara wake kuwa Historia katika Maisha yake.

Mtu unazidiwa Alama (Points) hata na Namungo FC tu aliyechangia zake 2.5 na Wewe uliyechangia ' Uchafu ' wako wa Alama (Points) 0.5 ndiyo Kutwa unapiga Mikelele na Kushangilia Simba SC kuishia Robo Fainali ya CAF kwa kutolewa kwa ' aggregate ' ya 4 - 3.

Masikini wana (tuna) taabu sana Duniani na ndiyo Shida, Nuksi na Mabalaa hazikai mbali nasi na 24 / 7 Mafanikio tunayasikia (na tutaendelea kuyasikia) tu kwa 'aliyebarikiwa' Simba Sports Club hadi mnune, mpasuke na ikiwezekana mfe tu kabisa Kudadadeki zenu.
Mautopolo yenyewe unafikiri yanaelewa basi yapo yapo tu, ligi ya ndani imewashinda kimataifa tumeyabeba lakini bado yapo yapo tu..
 
Back
Top Bottom