Wakati wapiga kura jimboni kwake wakimkana mchana kweupe tena mbele ya rais, Job Ndugai kuburuzwa kortini June 3 2020

Wakati wapiga kura jimboni kwake wakimkana mchana kweupe tena mbele ya rais, Job Ndugai kuburuzwa kortini June 3 2020

Kuna haja ya kumfungulia kesi pia kuhusu zile bilioni 28 alizochota hazina eti za matibabu bila idhini ya Bunge.

Mtu kati.

Ni moja ya wiki stressful sana kwa Job Ndugai.

Wakati huko jimboni kwake Kongwa wapiga kura wake wakimkana mbele ya mwenyekiti wa chama chake Magufuli, huku kuna wananchi wengine wanamburuza kortini.

Kesi hii inatarajiwa kuanza kusikilizwa tarehe 3 June 2020 katika Mahakama Kuu kwa mujibu wa taarifa hii hapa chini.

Kuteswa (siyo kutesa mind you) kwa zamu..... unaweza kusema hivyo!

 
Huyu ndu.guy anajua wazi kabisa kuwa yeye ni dhaifu alafu anajaribu kuji mwambafy acha akasimamishwe kizimbani atueleze watz kisa cha kuikanyaga katiba takatifu ni nini
 
Kuna haja ya kumfungulia kesi pia kuhusu zile bilioni 28 alizochota hazina eti za matibabu bila idhini ya Bunge.
oh yes.... tena fasta!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
IMG_20200528_232510.jpg

😳😳😳😁😁😁
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Uanze kuwakimbia Mkuu wamezidisha uhuni

Hili ni jukwaa huru Mkubwa....

Ina maana humu JF kila member ni aidha CCM ama CHADEMA, right?

Kama unadhani hivyo, nakuhakikishia kuwa, HAUKO SAHIHI kwa 1,500,000%....!!

Kuna watu tuko kinyume na serikali hii na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na John Pombe Magufuli mwenyewe lakini hutatukuta CHADEMA, ACT Wazalendo ama chama chote cha siasa....!!

Grow up mkubwa, acha kuishi ktk UTUMWA na VIFUNGO vya vyama vya siasa....

Penda nchi yako tu, baasi.....!!

Kuwa mzalendo wa nchi yako tu, baasi.....!!

Kumpenda "mtu kiongozi fulani "ama "serikali", it's just an option" isiyo na ulazima wowote....

Serikali na vyama hivi vya siasa vitapita, lakini nchi yako ndiyo hii hii milele, haitapita.....haibadiliki...

Mfano leo hii itokee vyama vyote vya siasa vyote vife, nchi na watu wake yenyewe itakuwapo tu, haitakufa...

Hata ikitokea leo serikali ambayo kwa sasa inaongozwa na John Pombe chini ya CCM, ikalewa POMBE, ikajikwaa na kufa....nchi ya Tanzania na watu wake, itakuwepo tu, haitakufa....!!

Kitakachofanyika ni kutafuta namna nyingine ya kujitawala na kuindesha nchi yetu, yet, maisha yakaendelea bila matatizo yoyote...!!
 
So what
Hili ni jukwaa huru Mkubwa....

Ina maana humu JF kila member ni aidha CCM ama CHADEMA, right?

Kama unadhani hivyo, nakuhakikishia kuwa, HAUKO SAHIHI kwa 1,500,000%....!!

Kuna watu tuko kinyume na serikali hii na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na John Pombe Magufuli mwenyewe lakini hutatukuta CHADEMA, ACT Wazalendo ama chama chote cha siasa....!!

Grow up mkubwa, acha kuishi ktk UTUMWA na VIFUNGO vya vyama vya siasa....

Penda nchi yako tu, baasi. Kuwa mzalendo wa nchi yako tu, baasi...

Serikali na vyama hivi vya siasa vitapita, lakini nchi yako ndiyo hii milele, haitapita.....haibadiliki...

Hata leo hii vyama vya siasa vyote vitakufa, nchi na watu wake wapo tu...

Hata ikitokea leo serikali ambayo kwa sasa inaongozwa na John Pombe, ikatokea imelewa POMBE, ikajikwaa na kufa....nchi ya Tanzania na watu wake, itakuwepo tu....!! Tutatafuta namna nyingine ya kujitawala na kuindesha nchi yetu, yet, maisha yakaendelea bila matatizo yoyote...!!
 
Kajamaa kafupi kweli lol!!!!! Kumbe ndiyo sababu kanapenda KUJIMWAMBAFY
😂😂😂😂
Hahah daah wafupi tunapata tabu saana,ila advantage tuliyonayo ni kwamba kutokana na ufupi wetu inakua ni rahisi kuinama kufika ardhini kwa hio tukiwa kwny ugomvi tuko fasta kuokota mawe kutoka ardhini so utakula mawe ya hatari hahah.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
😂😂😂😂👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

Hahah daah wafupi tunapata tabu saana,ila advantage tuliyonayo ni kwamba kutokana na ufupi wetu inakua ni rahisi kuinama kufika ardhini kwa hio tukiwa kwny ugomvi tuko fasta kuokota mawe kutoka ardhini so utakula mawe ya hatari hahah.
 
Hyu hata siamin km mahakama itamwita hyu n Mungu tu arudie kumchapa na kile kiboko chake kwa kuwa mtesi wa wenzake mpka anyooke na uzur malipo n hapahpa
 
Chadema mtaacha lini unafiki?

Hiyo video ni ya siku nyingi sana
Kwani Rais Magufuli ni wa siku nyingi sana? Itoshe kuwa amekataliwa na wananchi Magufuli akiwa Rais na yeye akiwa Spika.
Kukataliwa kubaya sana
 
Back
Top Bottom