Huyo mgogo wacha ashitakiwe, kwa kweli kiburi cha madaraka kimemzidi mno!Mtu kati.
Ni moja ya wiki stressful sana kwa Job Ndugai.
Wakati huko jimboni kwake Kongwa wapiga kura wake wakimkana mbele ya mwenyekiti wa chama chake Magufuli, huku kuna wananchi wengine wanamburuza kortini.
Kesi hii inatarajiwa kuanza kusikilizwa tarehe 3 June 2020 katika Mahakama Kuu kwa mujibu wa taarifa hii hapa chini.
Kuteswa (siyo kutesa mind you) kwa zamu..... unaweza kusema hivyo!
Kwamba pombe alafu nani alewe pombe mbona sijaelewa mkuu hiyo kauli yako ?[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Hili ni jukwaa huru Mkubwa....
Ina maana humu JF kila member ni aidha CCM ama CHADEMA, right?
Kama unadhani hivyo, nakuhakikishia kuwa, HAUKO SAHIHI kwa 1,500,000%....!!
Kuna watu tuko kinyume na serikali hii na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na John Pombe Magufuli mwenyewe lakini hutatukuta CHADEMA, ACT Wazalendo ama chama chote cha siasa....!!
Grow up mkubwa, acha kuishi ktk UTUMWA na VIFUNGO vya vyama vya siasa....
Penda nchi yako tu, baasi.....!!
Kuwa mzalendo wa nchi yako tu, baasi.....!!
Kumpenda "mtu kiongozi fulani "ama "serikali", it's just an option" isiyo na ulazima wowote....
Serikali na vyama hivi vya siasa vitapita, lakini nchi yako ndiyo hii hii milele, haitapita.....haibadiliki...
Mfano leo hii itokee vyama vyote vya siasa vyote vife, nchi na watu wake yenyewe itakuwapo tu, haitakufa...
Hata ikitokea leo serikali ambayo kwa sasa inaongozwa na John Pombe chini ya CCM, ikalewa POMBE, ikajikwaa na kufa....nchi ya Tanzania na watu wake, itakuwepo tu, haitakufa....!!
Kitakachofanyika ni kutafuta namna nyingine ya kujitawala na kuindesha nchi yetu, yet, maisha yakaendelea bila matatizo yoyote...!!
So what
That's means, CUT YOUR HEAD, put a cup at least...!!
Malipo gani? Kwani Mwambe sio mbunge halali?Malipo ni hapahapa .
Nadhani nyote hamjui kusoma aliyeshtakiwa ni Job Ndugai au ni Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tofautisha personality na Taasisi. Mnadanganyana.Wakati mwingine Mungu humshitaki mtu kwa kuwatumia wanadamu
Mtu mmoja anaweza akawa na majina mengi but hakumaanishi ni watu tofauti.Dr Mbunge Mchungaji mama lkn ni yuleyuleNadhani nyote hamjui kusoma aliyeshtakiwa ni Job Ndugai au ni Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tofautisha personality na Taasisi. Mnadanganyana.