GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Nilipata Kura Milioni 8 na Ruto alipata Kura Milioni 5 cha Kushangaza Tume mbovu ya IEBC ikamtangaza Yeye kuwa Mshindi wa Urais nchini Kenya" amesema Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya Raila Odinga.
Chanzo: Nipashe ya Radio One leo
Pole sana Mzee Odinga ila nikuambie tu wakati Wewe ukiwapigania Wakenya na kutafuta Haki yako Wenzako ( Wapinzani ) wa 'Zuzu Nation' wameshampitisha anayewaburuza kwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 tena kuna Wengine walivyo Mazuzu wameahidi Kumpigia Kampeni.
Chanzo: Nipashe ya Radio One leo
Pole sana Mzee Odinga ila nikuambie tu wakati Wewe ukiwapigania Wakenya na kutafuta Haki yako Wenzako ( Wapinzani ) wa 'Zuzu Nation' wameshampitisha anayewaburuza kwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 tena kuna Wengine walivyo Mazuzu wameahidi Kumpigia Kampeni.