Hiyo anafanya Nan ? Anaeish jangwan au anaeish kweny mito , maziwa na bahari ?Kuchamba kwa karatasi na kubaki na kinyesi makalioni!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo anafanya Nan ? Anaeish jangwan au anaeish kweny mito , maziwa na bahari ?Kuchamba kwa karatasi na kubaki na kinyesi makalioni!?
Tehtehteh,ndo ushangae wa jangwani anajiswafi kwa maji yule ambaye kila siku mvua yanyesha anachamba kwa majani ya miti,alipoendelea kiteknolojia akaanza kuchamba kwa tissue,na suti yake atembea tu na kinyesi makalioni kama kondooHiyo anafanya Nan ? Anaeish jangwan au anaeish kweny mito , maziwa na bahari ?
Hizo Nchi zimeundwa na Sykes-Picot Agreement ni makoloni ya US.Hao siyo waarabu wa saudia, Qatar,uae, Kuwait nk bali waarabu wa syria,libya,iraq ambako ulaya na marekani wameharibu nchi zao
Ustaarabu wa Magharibi ni Superior kwa ustaarabu wa Waarabu.Maisha bora na ustaarab wapi na wapi,mbona unakuwaga bogus sometimes!?
Queen elizabeth alitukuza uislam kwa kutoa haki kwa mwanamke kumiliki na kurithi mali,kitu ambacho ulaya hakikuwepo, waulize wazungu kuhusu salahud din/salahdin,wakwambie walikufa civilization ikoje mashariki ya Kati ukilinganisha na kwao,arabuni hufungi duka,huna hofu ya kukabwa na vibaka,siyo ulaya na marekaniUstaarabu wa Magharibi ni Superior kwa ustaarabu wa Waarabu.
Wewe bada unaongelea mambo ya kale sasa hivi Mwanamke wa Magaharibi ana Haki na kuliko Mwanamke wa Kiarabu na Kiislamu.kitu ambacho ulaya hakikuwepo
Mwanamke wa magharibi si mwanamke bali fisi flan,mwili wake unatumika kutangaza biashara hata zisizo husiana na mwili wake tena katika hali ya kudhalilisha,kutembea uchi kwenye ulingo wa ndondi kunahusiana nini na ndondi?..kuna mantiki gani kupita uchi mbele ya midume kwa kisingizio cha mashindano ya urembo!?..huko ni kukombolewa!?..jike la ulaya ni jambazi,umelioa lakini likikushtaki ulilibaka kitandani ndani ya chumba chenu cha kulala basi utafukuzwa,filisiwa na nyumba uliyojenga kwa tabu litapewa lilale na mwanaume mwingineWewe bada unaongelea mambo ya kale sasa hivi Mwanamke wa Magaharibi ana Haki na kuliko Mwanamke wa Kiarabu na Kiislamu.
Acheni kunyanyasa Wanawake.Mwanamke wa magharibi si mwanamke bali fisi flan
Kule kwenye maelezo yangu mengine umeamua uachane nako sababu kuna ukweli uliokufungua macho siyo!?.. anyway, kwenye uislam mwanamke ni malkia,anatakiwa kulishwa,kuvishwa,malazi,tiba na kuhifadhiwaAcheni kunyanyasa Wanawake.
Mwanamke kuvaa Vazi la kuogelea na kutangaza Biashara kuna ubaya gani?!Kule kwenye maelezo yangu mengine umeamua uachane nako sababu kuna ukweli uliokufungua macho siyo!?
Kwa nini umuweke na kichupi mwanamke apite kwenye ulingo wa ndondi,unalenga nini!?..kwa nini umvalishe nguo fupi awe cheer leader kwenye mechi ya kandanda?..siyo sexual exploitation hiyo,siyo unyanyasaji huo?Mwanamke kuvaa Vazi la kuogelea na kutangaza Biashara kuna ubaya gani?!
Nchi za West sio Taliban Wanawake wana Uhuru hata akiamua anaingia kwenye Porn Industry kama ajira rasmi au hata kwenye Only Fans.
Wewe ni kitu gani kinakukera? Wewe endelea kuwavisha Hijabu Wanawake wako, Nchi za Kimagharibi wako Bize na mambo ya Ubunifu na Ugunduzi na sasa wako kwenye AI wewe endelea kuficha nywele za Wanawake wako na kama una Nyege sana oa hata Hamsini.Kwa nini umuweke na kichupi mwanamke apite kwenye ulingo wa ndondi,unalenga nini!?..kwa nini umvalishe nguo fupi awe cheer leader kwenye mechi ya kandanda?..siyo sexual exploitation hiyo,siyo unyanyasaji huo?
Tunaongelea udhalilishaji wa wanawakeWewe ni kitu gani kinakukera? Wewe endelea kuwavisha Hijabu Wanawake wako, Nchi za Kimagharibi wako Bize na mambo ya Ubunifu na Ugunduzi na sasa wako kwenye AI wewe endelea kuficha nywele za Wanawake wako na kama una Nyege sana oa hata Hamsini.
Na kama Vichupi vinakukera acha kuangalia Masumbwi angalia Kaswida.
Kuvaa Bikini kwa Mwanamke wapi umekuwa ni udhalilishaji?!Tunaongelea udhalilishaji wa wanawake