"Wakati watu wanalia kuhusu kikokotoo nilikuwa naona kawaida, sasa nimeona ukali wake" Mtumishi aliyeambulia 10M baada ya kustaafu miaka 33 Magereza

Yeyote anaestaafu? Na mbunge nae anafuata sheria hii?
 
Unapata kulingana na mshahara wako. Commissioner boss mkubwa huyo.
Asante kwa elimu, sasa hicho kikokotoo kikikatwa kinapelekwa wapi yaan mstaafu atakifaidi vipi?

Nilisikiaga watu wanapiga kelele sikufatiliaga kikokotoo ni cha nini na kikikatwa kinapelekwa wapi?
 
Asante kwa elimu, sasa hicho kikokotoo kikikatwa kinapelekwa wapi yaan mstaafu atakifaidi vipi?

Nilisikiaga watu wanapiga kelele sikufatiliaga kikokotoo ni cha nini na kikikatwa kinapelekwa wapi?
Unalipwa kiduchu,inayobaki nyingi wanakulipa kidogo kidogo wakijua baada ya miaka mitatu utakufa inayobaki wanajikopesha mikopo mikubwa isio na riba.
 
hao wanaenjoy privileges na immunities za kipekee sana kulingana na kazi, wajibu na majukumu yao mazito, makubwa mno na ambayo ni muhimu na sensitive sana kwa maslahi ya Taifa. Kwa hiyo, wao wako guided na kanuni na taratibu za bunge ambazo ziko kwa mujibu wa katiba. Just check East Africa parliamentary system, achilia mbali huko duniani 🐒
 
Unalipwa kiduchu,inayobaki nyingi wanakulipa kidogo kidogo wakijua baada ya miaka mitatu utakufa inayobaki wanajikopesha mikopo mikubwa isio na riba.
Unasemaje? Wabunge wa tanzania wamepitisha hii sheria? Embu wacha utani, na watumishi wamekubali?

So wakati wanamlipa kidogo ikitokea akifa na ndugu hawapewi kilicho baki?

Je hicho kikokotoo mstaafu anajua ni sh. Ngapi?
Mbona hii inaumiza jamani? Mbona mm siwezi ivumilia?
 
Ukifa beneficiaries hawaambulii kitu. Wanakupa pesa for 12 years. Kisha wanakata. Hivyo maana yake mwisho kuishi miaka 72 ufe. Ukizidi hapo utajua mwenyewe.
 
Ukifa beneficiaries hawaambulii kitu. Wanakupa pesa for 12 years. Kisha wanakata. Hivyo maana yake mwisho kuishi miaka 72 ufe. Ukizidi hapo utajua mwenyewe.
Hiki ndo kinaendelea tanzania hii?

Kwa hiyo ile ya kila mwezi nusu mshahara wa mstaafu haipo tena? Mbona maumivu.

Mimi niliachaga ualimu nikaenda kusoma kitu nilichokuwa napenda, ingawa nilisota mitaani ila sikuwahi kujuta kuacha ualimu, nilikuwa nauchukia kumbe bora niliuacha.

Mama yangu aliumia sana mimi kuacha ualimu eti nimekosa mshahara wa kila mwezi, eti walimu wanajenga mapema eti itakuwaje?

Nikamwambia mama wewe omba niwe hai, wakati ukifika nitakuwa nakutumia hela bila kusubiri mwisho wa mwezi, na ndivyo ilivyo kwa sasa baada ya msoto wa miaka kama 8.

Wakati nikiwa mwalimu kila mwezi nikifata mshahara nanunua mazagazaga, namtumia mama basi ilikuwa furaha yake kila mwezi mazaga zaga yakishushwa barabarani, basi mashoga zako wanamuonea wivu.

Nilipo acha kazi aliumia eti koz niliyo soma sitopataga kazi nani atamuhudumia? Ni kweli baada ya chuo sikupata kazi.

Yaani kwa ufupi nilipo acha kazi nikaenda kusoma kozi nyingine mshahara ukakatwa, mateso yakaanza ahaaa shoga yangu mama yangu anaumia balaa.

Mungu hana choyo jpm (rip) akatumbua wenye vyeti feki, wenye vyeti halali tukaanza kuwa na dhamani, hata private, ndo kazi ikapatikana, ambayo ni uhuru na ninacho kipata sio kusubiri kikokotoo.

Shoga yangu sasa nyumbani tukiwa tunapiga stori anasema dah waalimu wana maden dah, ila wana mikopo nabaki nacheka, mimi hela ya kusubiri kila mwezi siiwezi.

Hicho kikokotoo kitanikuta nikiwa hai? Kula hela yako ukiwa hai.
 
zipo kanuni na taratibu za bunge ambazo ni kwa mujibu wa katiba, lazima zizingatiwe katika kumpatia mbunge mafao yake 🐒
Jibu swali, mbunge anapitia kikotoo kama huyo mstaafu wa magereza? Swali hili nimeuliza baada ya wewe kusema kila mstqafu anapitia utaratibu HUO.
 
Nigga please!
 
Mm najuta sana, mkataba umeisha toka mwaka jana May, nafutalia pesa zangu lakin bilabila unaambiwa mpk miaka 55-60 wakati hata 40 sijafika mamaeeeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…