Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Ndio, na walipokubaliwa wakapewa masaa mawili lkn rais alipokuja akapata hizo taarifa akawapa siku nzima.Waziri alikuwa anatoa pongezi kwa rais, nenda tiktok hotuba ipo.Hivi ni kweli Waziri alilalamika kwenye —public kwamba alipata tabu ya kumuona Rais? Weka clip hapa tusikie.
Mpo nae makini wakati waziri kuonana nae mtiti inaonekana Kuna maamuzi mengi hafanyi yeye wanafanya machawa tupo kwenye mgogoro wa nchi za maziwa makuu ititokea siku tumevamiwa na waasi au nchi jirani harafu machawa wanamzuia Rais kuonana na mkuu wa majeshi na waziri wa ulinzi na JKT SI watakufa wote mipakani?tupo makini sana
Yaani secretary wa mkurugenzi awe na cheo kikubwa kuliko HR na naibu mkurugenzi iyo inawezekana tu kama watu hao wanamahusiano ya kingonoUtoto gani unaouzungumzia? Wanasema watu wenye Cheo cha juu kwenye Nchi hii ni Rais akitoka Rais anakuja Katibu wa Rais sio makamu wala Waziri Mkuu wala Naibu Waziri Mkuu yaan Katibu wa Rais ana cheo kikubwa
Katibu Mkuu alikuwa Mzee LuhanjoUtoto gani unaouzungumzia? Wanasema watu wenye Cheo cha juu kwenye Nchi hii ni Rais akitoka Rais anakuja Katibu wa Rais sio makamu wala Waziri Mkuu wala Naibu Waziri Mkuu yaan Katibu wa Rais ana cheo kikubwa
AhahahaWacha ujinga wewe ...kwa hiyo elimu ni muhimu kuliko maji ya zamzam ambayo tutaletewa na waarabu ...kwa juhudi za Raisi wetu mtukufu Mufti samia bushiri
Watanganyika ni malofaNi Tanganyika tu Duniani kote ndio imekubali kutawaliwa na mkimbizi kutoka zanzibar. Yaani watu 60m mnakubalije kutawaliwa na mtu anayetoka kwenye eneo la watu wasiofika laki tano??.
Bado nasisitiza Ikulu Kuna changamoto Hasa huyu msaidizi wa Rais analeta mno Uzanzibar Zaidi,
Uwezi amini wakati Mh proffesa Mkenda, anahutubia alipofika hatua ya kusema changamoto walizokutana nazo alipo tamka yakuwa alimtafta Muda MREFU paspo MAFANIKIO na alipofanikiwa alipewa mida wa masaa mawili TU ghafla alitokea mtu pembeni ambae nae ni msaidizi wa msaidizi wa Rais
Akampelekea KIMEMO kilichokuwa kimeandikwa "hacha porojo toa hutuba"
Waziri nae akausoma mchezo yakuwa mambo yake Yale yaliendelea ndiooo alipo mjibu yakuwa "ndo nautubia hapa"
TISS = UVCCM = Chawa wa mama.Eti tuna usalama wa Taifa….Hiiiii naskitika kwa kweli.
Kwahiyo hapo unahisi kuna uhusiano wa kingono kama yasemwayo ni ya kweli?Yaani secretary wa mkurugenzi awe na cheo kikubwa kuliko HR na naibu mkurugenzi iyo inawezekana tu kama watu hao wanamahisiano ya kingono
Ebu tupeni mifano ya nchi ambako Waziri anaweza kuonana na Rais midda wowote anaotaka.Bado nasisitiza Ikulu Kuna changamoto Hasa huyu msaidizi wa Rais analeta mno Uzanzibar Zaidi,
Uwezi amini wakati Mh proffesa Mkenda, anahutubia alipofika hatua ya kusema changamoto walizokutana nazo alipo tamka yakuwa alimtafta Muda MREFU paspo MAFANIKIO na alipofanikiwa alipewa mida wa masaa mawili TU ghafla alitokea mtu pembeni ambae nae ni msaidizi wa msaidizi wa Rais
Akampelekea KIMEMO kilichokuwa kimeandikwa "hacha porojo toa hutuba"
Waziri nae akausoma mchezo yakuwa mambo yake Yale yaliendelea ndiooo alipo mjibu yakuwa "ndo nautubia hapa"
Yaani huyu Kijana ndiye Rais kwa sasa. Angalia hadi protokali imebadilishwa anakaa sambamba na Rais. Nani aliwahi waona makatibu wa mkapa au jakaya wakiwa nyuma yao kwenye hafla za kiserikali? Magufuli alikuwa sahihi kukafukuza wakati Samia akiwa VP.Rajabu mapete nini?
Fafanua zaidii.Yaani secretary wa mkurugenzi awe na cheo kikubwa kuliko HR na naibu mkurugenzi iyo inawezekana tu kama watu hao wanamahisiano ya kingono