ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Amen RAKutangulia siyo kufika, TZ yaja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen RAKutangulia siyo kufika, TZ yaja!
Mkuu ulitaka afanyeje kwenye hili suala!!!Nyinyi bado mnalala.. No one will wake you up
Hapa minaona ni bajeti ya panya umpe simba kweli!!!Tz uwezi kulinganisha na Rwanda kabisa hata wanunue Airbus A380 kumi , bajeti ya jiji la Arusha tuu ni sawa na bajeti nzima ya Nchi ya Rwanda kwa Mwaka .Rwanda ni Kigali tuu lakini toka nenda nje ya Kigali ndio utajua zaidi hiyo Nchi hipo vipi
Siishi Kenya wala sitaweza kuishi Kenya. Broken English you are right! Nilijifunza English shuleni siongei English ya Kibera. Najivunia lugha yangu Mimi ni mwafrica sio mzungu sijui ninyi na upumbavu wenu mnafikiri kuongea broken English yenu ni ufahari. Kiswahili kimetuunganisha Watanzania ninyi na English yenu ukabila chuki imetawala.sihitaji ujinga wenu uo...kiswahili ndio nini sasa wee???😛😛😛😀😀 wakenya twaongea lugha za maana bana wacha upumbavu wewe.... wee wajua kiingereza??? ama broken english tu ndo wajua
si ivi mnavyozumgumza.... broken english...you tell meSiishi Kenya wala sitaweza kuishi Kenya. Broken English you are right! Nilijifunza English shuleni siongei English ya Kibera. Najivunia lugha yangu Mimi ni mwafrica sio mzungu sijui ninyi na upumbavu wenu mnafikiri kuongea broken English yenu ni ufahari. Kiswahili kimetuunganisha Watanzania ninyi na English yenu ukabila chuki imetawala.
No one knows everything! I do not know everything but I am not ignorant. You are ignorant if not a fool!If you have understood the meaning, why are you showing us your ignorance... '' miss know everything right ''
Siishi Kenya wala sitaweza kuishi Kenya. Broken English you are right! Nilijifunza English shuleni siongei English ya Kibera. Najivunia lugha yangu Mimi ni mwafrica sio mzungu sijui ninyi na upumbavu wenu mnafikiri kuongea broken English yenu ni ufahari. Kiswahili kimetuunganisha Watanzania ninyi na English yenu ukabila chuki imetawala.
Mimi sio huyo uliye quote habari yake!si ivi mnavyozumgumza.... broken english...you tell me![]()
ignorant u say huh??..says the person throwing insults....and how do u know that? from JF please u cannot judge someone from forums where people hide behind anonymity and throw blows at each other....No one knows everything! I do not know everything but I am not ignorant. You are ignorant if not a fool!
si wenu uyu apa😛😛😛😛😛😀😀😀😀...ata bado sijaweka rais akizungumza broken englishMimi sio huyo uliye quote habari yake!
wivuRwanda air wanafanya safari nyingi kwa hasara sana....
Tz uwezi kulinganisha na Rwanda kabisa hata wanunue Airbus A380 kumi , bajeti ya jiji la Arusha tuu ni sawa na bajeti nzima ya Nchi ya Rwanda kwa Mwaka .Rwanda ni Kigali tuu lakini toka nenda nje ya Kigali ndio utajua zaidi hiyo Nchi hipo vipi