Wakati wenzetu wanaongelea katiba mpya sisi wa Tanzania tunaongelea waongeaji wa vyama🤦🏾‍♂️

Wakati wenzetu wanaongelea katiba mpya sisi wa Tanzania tunaongelea waongeaji wa vyama🤦🏾‍♂️

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Yaani ni lini tutaamka na kuanza kushindana kama nchi. Ni lini tutacha utoto kama nchi na kuanza kuleta maendeleo ya nchi.

Badala ya kuongea vitu vya msingi wa TZ wengi wanaongelea waongeaji wa vyama🤦🏾‍♂️ Sijawahi kuona nchi nyingine yeyote ambayo watu wanaongelea waongeaji wa vyama kama TZ tena ni CCM pekee. Kuanzia Nape, Polepole na sasa Makonda!

Tufike mahali tupende nchi kuliko kiki, ushabiki na uchawa. Jamani tutakuwa lini kama nchi 🏃‍♂️
 
HALELUYA AMEFUFUKA BWANA YESU KRISTO

PASAKA NJEMA KWA DINI ZOTE
5bc0d428-aadf-40bf-ba42-f1cfdeaaffdc.jpg
 
Back
Top Bottom