mdhalendo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 282
- 273
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.
Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.
Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.
Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.
Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli
Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.
Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.
Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.
Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli