Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

Status
Not open for further replies.

mdhalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2011
Posts
282
Reaction score
273
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.

Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.

Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.

Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.

Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli

mtwara.jpg
 
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.

Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.

Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.

Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.

Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli

View attachment 643078
Nachofurahi ni kua wasaliti wanazidi kujipambanua na kujiweka wazi,
Hapo mwanzo ingetuwia vigumu kuwagundua lakini sasa wameamua kujipambanua wenyewe ili tuwajue,
Ahsante Mungu kwa kuwapa akili hiyo ya kujiweka wazi.
 
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya kisiasa.

Nachuma ambaye ni CUF Lipumba anatarajiwa kujivua uanachama wa CUF na kujiunga na CCM kwa lengo la kugombea tena nafasi ya Ubunge wa Mtwara Mjini kwa iketi ya CCM.

Taarifa zaidi zinadai kuwa mipango yote ya kumteua Nachuma kuwa mgombea kupitia CCM imekamilika, na amehakikishiwa support kubwa na uongozi wa CCM Taifa.

Stay Tuned, Humphrey Polepole aliposema kuna wapinzani zaidi ya 200 wanataka kuhamia CCM hakuwa anatania.

Pichani Mbunge huyo akiwa na Rais Magufuli

View attachment 643078
Na mbunge wa Tanga mjini inasemekana kesho atabwaga manyanga, stay tuned!
 
Nachofurahi ni kua wasaliti wanazidi kujipambanua na kujiweka wazi,
Hapo mwanzo ingetuwia vigumu kuwagundua lakini sasa wameamua kujipambanua wenyewe ili tuwajue,
Ahsante Mungu kwa kuwapa akili hiyo ya kujiweka wazi.
Hata mwenyekiti wa bavicha kawasaliti?
 
Kwa kile kilichotokea kwenye uchaguzi wa madiwani, asilimia kubwa wabunge na madiwani wa upinzani watataka Kwenda upinzani
 
[HASHTAG]#CHADEMAWLLNEVERGIVEUP[/HASHTAG]!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom